Wanaume mnajiamini sana aisee

Wanaume mnajiamini sana aisee

Ungekua mwanaume ungeelewa inavyokua kwanza ujue starehe namba moja ya mwanaume ni papuchi hasa ikiwa mpya kwake ni kitendo cha kufurahisha moyo unapokutana na tundu jipya.
Pili wanaume wako makin hasa wanaonunua malaya kinga kwanza au upime maana hali mbaya labda uwe mwanaume ziro brain.

Tatu ni sababu za nature wanawake wa nne wanawaza kuingiliwa na kutawaliwa na mwanaume mmoja ila mwanaume mmoja kwa mwanamke mmoja hatoshi
Acheni umaraya
 
Ahahahahaaaa..!!
BTW, kwa mfano, huyo anayetafutwa ili "akaliwe" na huyo mwanaume, ni wewe, je.!! Una hizo UTI, gono, kaswende etc???
Hilo limdomo lako huwa akili miguuni kwani nani kasema ni mimi na isitoshe umeoa yakazi gani??
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Ajali kazini na ajali haina kinga.
 
Mbona na wewe ulisema siku ile kwamba umewachoka wakaka wa JF waongo,wewe ulivyokutana nao ulikuwa unawajua??I miss you
 
Huu uzi umekuja kinyumenyume. Ujasiri wa mwanamke kukubali kuingia chumbani na mwanaume usiyejua katokea wapi. Wanaume wengine wamekimbia noma kubwa kama za mauaji au kutoroka jela lakini mnakuwa comfortable kujifungia naye chumbani, tena mnalala chali na kutanua miguu, hamuogopi kuchinjwa? fear who don't fear women.
Una hoja usikilizwe 😂, ila watu wana risk sana asee
 
Back
Top Bottom