Wanaume mnajiamini sana aisee

Wanaume mnajiamini sana aisee

Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Huu ujumbe ni kama umetulenga akina sisi😀
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Ukweli mchungu, wanaume wengi hawajijali wala hawathamini afya zao wametanguliza ngono mbele sana
 
Hakuna shida yoyote maana aliyekufa akitoka kanisani ama msikitini na Aliyefia louge akichakata mbususu wote watazikwa ardhini.

Hayo magonjwa uliyosema yapo kwa ajiri ya binadamu wala sio miti na wadudu. Pia elewa ndo yanawa weka mjini magnesium na ma Dr am 4 real PhD
Asante Sanaa mkuu 😊
 
Hayo ndio mambo ya kiume Sasa, heka heka na mbilinge mbilinge kama hizo ndio zinatuweka sawa kichwani.
Mwanaume huwa hatuliii Hadi atulizwe na kitu kizito.
Lakini nyie wanawake Kuna umri ukifika mtulia wenyewe ila unakuta mwanaume ni kibabu lakini yumo tu, Yani humu tuuuu
Wanaume huwa tunapenda bingili bingili baiyooyoo😎
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Makasiriko on air 😊
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Aliekuambia hao wake zetu Wana time na sisi nani!!?
Aliekuambia hai wake zetu Wana muda kutuwaza na kufikiri namna kutufanya TU relax nani!!?

Wanajua kutafuta visa na kuomba hela plus michambo!

Mwanamke unaongea kama cherehani plus mambo ya chibi chini kama jasusi!!

Nakuambia machangudoa ndio watu pekee wenye mapenzi ya dhati Tena ya moyo mkuu kuliko hayo makombora tulioyatunza ndani muda wowote yanalipuka!!

Mwanamme analindwa na mungu TU yeye ndio wa kutuonea huruma na ssio nyinyi visirani plus mtimanyongo!!

Nawaombea Sana machangudoa coz wapo real wanatafuta pesa kuliko nyie mnaotafuta pesa na uwekezaji binafsi Kwa mgongo wa ndoa!!

Unakuta make anajenga Kwa siri huku unaishi nae ndani !huku mtoto mmoja TU kabebesha baba kama watatu Ili apate kampani ya mishe zake!!

mungu wabariki machangudoa na ma baa made na ayalaani manamake yalioolewa kumbe majasiriamali kutumia ndoa!!!
 
Aliekuambia hao wake zetu Wana time na sisi nani!!?
Aliekuambia hai wake zetu Wana muda kutuwaza na kufikiri namna kutufanya TU relax nani!!?

Wanajua kutafuta visa na kuomba hela plus michambo!

Mwanamke unaongea kama cherehani plus mambo ya chibi chini kama jasusi!!

Nakuambia machangudoa ndio watu pekee wenye mapenzi ya dhati Tena ya moyo mkuu kuliko hayo makombora tulioyatunza ndani muda wowote yanalipuka!!

Mwanamme analindwa na mungu TU yeye ndio wa kutuonea huruma na ssio nyinyi visirani plus mtimanyongo!!

Nawaombea Sana machangudoa coz wapo real wanatafuta pesa kuliko nyie mnaotafuta pesa na uwekezaji binafsi Kwa mgongo wa ndoa!!

Unakuta make anajenga Kwa siri huku unaishi nae ndani !huku mtoto mmoja TU kabebesha baba kama watatu Ili apate kampani ya mishe zake!!

mungu wabariki machangudoa na ma baa made na ayalaani manamake yalioolewa kumbe majasiriamali kutumia ndoa!!!
1. Ni kweli anayemtetea mwanaume ni Mungu pekee
2. Wanawake wengi wanatuona kwa jicho la UCHUMI TU
 
Back
Top Bottom