Wanaume mnajiamini sana aisee

Wanaume mnajiamini sana aisee

Hayo ndio mambo ya kiume Sasa, heka heka na mbilinge mbilinge kama hizo ndio zinatuweka sawa kichwani.
Mwanaume huwa hatuliii Hadi atulizwe na kitu kizito.
Lakini nyie wanawake Kuna umri ukifika mtulia wenyewe ila unakuta mwanaume ni kibabu lakini yumo tu, Yani humu tuuuu
😅😅😅
 
No wa hivyo wanakuwa wageni kwenye industry,ukiwa mgeni mikoani unaishi na huyo huyo receptionist utakaemsainisha mizigo yako hapo kaunta.

Yeye ndiyo dhamana yenyewe.
 
Wanawake sio waoga , mtu hajakuja kujitambulisha kwenu unamvulia nguo ! Mtakula kutolewa figo bure.
 
Mimi ni muoga kwa kweli nikiwa ugenini napiga master kimoja najilalia zangu fresh
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Na hiyo anayekuja naye ni jasiri, maana unaenda kulala na mwanaume humjui, labda anachuna ngozi, labda mchawi, labda ana maumbile makubwa mno, labd wapo wengi, kwa sh 20k unaenda kulala naye
 
Vipi na aliyeitwa akaja bila kujua anakuja kwa nani na atafwa nini cha zaidi??
 
Huu uzi umekuja kinyumenyume. Ujasiri wa mwanamke kukubali kuingia chumbani na mwanaume usiyejua katokea wapi. Wanaume wengine wamekimbia noma kubwa kama za mauaji au kutoroka jela lakini mnakuwa comfortable kujifungia naye chumbani, tena mnalala chali na kutanua miguu, hamuogopi kuchinjwa? fear who don't fear women.
Umenena sahh. Kuna miaka flan baada ya kuita mzigo hotel nikamla, tulipomaliza tukawa tunapiga story za hapa na pale nikamuuliza hili swali. Nilianzia mbali kidogo kwa kuuliza "kwann unafanya hii kazi mdogo angu?" Akanipa sababu.
Nikamuulizia "una exit plan?,kwamba after sometime ufanye shughulo zongine mbali na hiz?" Hakunipa jibubla maana.
Nikamwambia "jitahid uwe na plan, tafuta pesa kwa malengo,hii kaz yako ni hatar sana. Mfano umekuja humu ndani, mimi hunijui, hujui nina nini kwenye bag, huwenda ni mchuna ngozi je?? Na wewe ni binti mdogo sana, vipi kama mimi no jambazi nikakuua humu ndani?"
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Ana hoja msikilize
 
Umenena sahh. Kuna miaka flan baada ya kuita mzigo hotel nikamla, tulipomaliza tukawa tunapiga story za hapa na pale nikamuuliza hili swali. Nilianzia mbali kidogo kwa kuuliza "kwann unafanya hii kazi mdogo angu?" Akanipa sababu.
Nikamuulizia "una exit plan?,kwamba after sometime ufanye shughulo zongine mbali na hiz?" Hakunipa jibubla maana.
Nikamwambia "jitahid uwe na plan, tafuta pesa kwa malengo,hii kaz yako ni hatar sana. Mfano umekuja humu ndani, mimi hunijui, hujui nina nini kwenye bag, huwenda ni mchuna ngozi je?? Na wewe ni binti mdogo sana, vipi kama mimi no jambazi nikakuua humu ndani?"
Hatari sana Bro, wenyewe hawana muda wa kufikiri hayo.
 
Unaenda kikazi au kibiashara unafika mji mpya mfano Dodoma unapanga chumba halafu unaenda reception unaomba utafutiwe mwanamke wakulala nawewe hujui kama ni jambazi, muuaji au anamagonjwa wewe unachakata papuchi tu.

Ukiamka asubuhi unajikuta huna hata mizigo uliokuja nayo kaiba kila kitu .

Au unakutwa umekufa ulikuwa umesomewa ramani tokea stendi. Unakufa kiboya kisa starehe za muda mfupi.
unatolewa kwenye taarifa za habari umezima , ukiwa na taulo la gesti shida inakuwaga nini eti?? Hamuwezi kula baada ya kutoka safari.

Unakuta wengine wachawi wanakula hadi allowance ya uliyopewa ofisini unaanza kukopa , au mtaji wa kitu kilichokuleta hebu acheni ujinga . Acheni.

Kingine unakuta kakupa UTI, gono ,kaswende , au busha zinavimba au unaotwa malenge lenge , jingine ukute umeambukizwa ukimwi sasa shida yote yanini????.

Eti ?????
Sema tu unamke mzuri anaheshima anajipenda na hana kasoro kakuzalia ila umekuwa keroo tu mnaboa aisee .

Tulieni basi hata muweze kulea mliowaleta duniani ndio maana mnatekwa mnakutwa mmekufa kisa watoto wa watu wake.zawatu mnawachakata.

Goodevening Equation x
Vipi mzee katumia pesa yote ya biashara
 
Back
Top Bottom