Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

Wanaume mnaboa na mitongozo yenu khaaa!

Wew bado under 26 banah ebu achana na mapovu kama ya single mazaa hahah

After futar tokea bhaja cafe tule nyama.
Unajua sisi under 26 tunapata sana shida kesho nishtue nitokee hapo tukafuturu
 
Yeeeee ya kweli kabisa kanike mayooo

Ona mpaka nachanganya .

.macho yako yakuniangaliaga hii mpaka moyo unafanya mwaaaaa

Ila nakupendaga duhu
Hahahahahah haya bhn mm sitaki
 
Kunammoja alinitongoza nikamwambia Nina Mume akanambia we jifikirie kwanza Mie Niko tayari muachemmeo uje kwangu
 
Back
Top Bottom