juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,483
Pole Aliogopa Ungeona Yale Majina 97 Ya Makondakta, Alafu Ungezimia Kwa Mshtuko.Kakuokoa Na Mengi.
mwisho kivipi mkuuUsishangae huo ndio mwisho wa penzi
mmh jamani hata kuomba kutumia nayo ni kaziNakumbuka wakati nimempeleka mchumba wangu home Bi mkubwa alituambia ni marufuku kushika simu ya mwenzako bila ridhaa yake ili muishi kwa amani, mpk leo hii kila mtu anaheshimu simu ya mwenzake
nimeomba mkuu Lakin bado nikanyongwa je ningejichukulia tuuUnachukua bila kuomba? Ulikosea
wewe utaona.. kuna mambo yatapungua ukiangali kwa makini ..mwisho kivipi mkuu
tatizo Ile simu ya msiba ilinichanganya nisingeishika leo ningekua najinywea wine yangu tamuuuuBadala ya kuomba vocha/salio, wewe unakimbilia simu. Ulikuwa na lako jambo.
yangu huwa anashika muda wowote akijisikiaYeye mwenyewe utakuta wala hajihangaishi na yako, kwanini usiombe akuongezee salio, na shida yako sidhani kama ilikua kupiga simu, ilikua ni kukagua simu,
Habari za leo wanajamvi.....
Jamani leo nimestaajabu. Nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kuwa sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba
Lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu...Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane naombeni kujuzwa
Asante mkuu nashukuru
hii mada niliiona Jana lakini nikaona ykipuuz tyu
iko hivi usilalamike wanaume tunanini
lalamika mume wangu ana nini
naonge kwasababu mie pia mwanaume uwezi kutubebesha lawama kwa michepuko ya mumeo
kaa chini na mumeo swala la kukataza kuona sm yake sio jambo la tuseme ni icon ya wanaume wote
binafsi mke wangu anatumia sana sm yangu sometimes hata nikiwa na baf anapokea even my boss ameni call
jambo la mumeo usitubebeshe wanaume wote
wanapenda sana simu za wake zao zao sasa ni mtihanWanaune bana,ila simu za wake zao wanapeenda kuzifatilia
Michepuko nayo inahusika kweli, kwa uwiano wa male VS female ni 1:4 kwahiyo lazima tuwasaidie na wenzenu, mnataka wafe nautamu wao alafu wataenda kujibu nn siku yamwisho. Hata mitume kwenye vutabu vitakatifu walikuwa na wake zaidi ya mmojaMmh pole. Ukiona hivo ana michepuko yake mingine