Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,857
yani wakati ananinyongorota nikawa nataka kujitetea kwa kukimbia lakini ilishindikana kukimbia ikabidi tuu nimpe simu yake na sikufanikiwa hata kufanya nilichotaka kufanya kwa bahati nzuri nilifanikiwa kuchungulia kwenye call logs nikaona namba yangu hata hajaisavu...shikamoo mwanaume aiseeeee
Kama una uchi na mtoto ana nini[emoji15] [emoji15] [emoji15]??
Muwe mnaacha kufananisha papuchi zenu na vitu vya nsingi bhana
Unanifananisha na nani mkuu??[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Nakufananisha au ni ww??
Ulikua umeanza kukagua call logs za simu yake ili iweje?kitu gani
Kosa lako umesema ulichukua utadhani simu yako, ulitakiwa uombe kutumia simu ya mwenzako ndipo akupatie na kama ina privacy zaidi akunyime bila kukunyonga mkono.habari za leo wanajamvi.....jamani leo nimestaajabu.Leo nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kua sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu...Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane naombeni kujuzwa
.... nikapata simu ya msiba sasa kwa kua sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla ....
Sasa kwanini ulitaka kukimbia nayo? ni marufuku kushikiana simuhabari za leo wanajamvi.....jamani leo nimestaajabu.Leo nikiwa nimetolewa dinner na shemeji yenu mtarajiwa huku tukibadilishana mawazo ya hapa na pale nikapata simu ya msiba sasa kwa kua sina salio la kutosha nikasema nichukue simu ya shem wenu ili nipate kujua zaidi juu ya msiba lakini mwenzenu Ile nimeshika simu tuu nikashangaa ghafla nimevutwa mkono yani mkono umenyongorotwa kidogo nitoe damu...Ile nataka kukimbia nayo nikavutwa mpaka mkono kidogo nivunjike. Hivi jamani wanaume mna nini ni vitu gani au siri zipi ambazo hampendi zijulikane naombeni kujuzwa
Risasi kisa simu yako nini unachoficha
Ukitaka kufa kwa presha fuatilia simu za hao viumbe.
Pia chukulia ni kawaida na usitake kujua kwa nini amekuvuta huo mkono. Ni kumi kwa mmoja wenye kutaka simu zishikwe na wenzi wao hivyo wala usitake ugomvi usiokuwa na sababu.
Mapenzi na simu ya mwanaume wapi na wapi. Ungeomba tu salió kistaarabu nikuwekee kwenye simu yako.mapenzi gani haya sasa? inamaana kuna nini ambacho sipaswi kukijua
KivipiValentine naiona chungu
Sasa kama hukuniomba ukanipora unategemea nini kweli hapo.nikukunyongoroa tuAsante mkuu Lakin ungeona jinsi alivyoninyonga ungenihurumia kwa kweli aiseeeee[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Hahahaa! Sasa si tutajaa sana?Haya ndio maneno lunch ya valentine is on me