Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Ngoja nikuongezee ufahamu.....hayo maji chumvi ni dawa ya kung'arisha meno Colgate cha mtoto.
Endapo siku hiyo timu ya simba ikiwa uwanjani....utasafishia wapi?
Ngoja nikuongezee ufahamu.....hayo maji chumvi ni dawa ya kung'arisha meno Colgate cha mtoto.
hahahaha Madam angekuwa hapa Jay F ningemunganusha nae pimu tu
Nimeishia kucheka tu maana unasema hayo ukute kwenye hiyo shingo ya uzazi hakikaribii hata kwa mbali... Yale yale ya kada.
Unaishia kupiga deki tu.
Akhuu staki...
Unasamejee? bandia?? chizi? akavua utamrukia??? nitafute nikupe mchogo.
Endapo siku hiyo timu ya simba ikiwa uwanjani....utasafishia wapi?
Okey,ila wtsp sikuoni mbona!
Shem si unakuwa kama silent killer tu...
Fungua IDs mpya za kutosha halafu kwenye kutongoza unajifanya ni mtu maarufu wa kitambo...
Btw uko poa wewe?
Vale kwani utapigwa kwenu wakijua nimekununulia kijoti?
Niaje tena...unataka kuchomoa?
Aah schezi na nyie tena,wewe na Nyani Ngabu sio watu wazuri
Nipo wangu....
Kila kitu kiko poa mwaya....ngoja nakurukia hukohuko
Kwa hapa Watu8 umeniingiza kwenye choo cha kike sijakuelewa unamanisha nini?
Wekundu wa Msimbazi wala hawanipi jakamoyo.
Nikishapiga viroba kaa vinne hivi najitoa fahamu halafu moto chini.
Mie niko poa shem.
Ila humu Jf watu wanatafunwa sana....ila mimi sipo....
Kwahiyo mtu anaweza jifanya maarufu wa humu na akamega mzigo?
Nyie wanaume nyie....haahahahahh
kuhusu kuwanasa humu JF Hilo naweza, tatizo kwenye vitendo venyewe ndio kazi? ndio hapa kuna shughuli.
Mie niko poa shem.
Ila humu Jf watu wanatafunwa sana....ila mimi sipo....
Kwahiyo mtu anaweza jifanya maarufu wa humu na akamega mzigo?
Nyie wanaume nyie....haahahahahh