Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Hapa JF kuna raia wao hata hawashindi huku jukwaani...
Anachofanya ni kufungua ID mpya halafu anaenda kuzeveza wachuchu huko PM akijifanya ni memba maarufu kama wewe hivi...
Kwa hiyo huko PM mchuchu anakuwa anajua anachat na tajiri wa kisukuma Shy land kumbe ni mla vumbi mwingine tu...
Afu kuna thread ishawahi kuletwa hapa....yaani kuna watu hawaonekani jukwaani mwezi mzima,lakini yuko online.....ila sasa Pm ndo jukwaa lake....hahahahaa.....uwiiiiiii!!!!
Last edited by a moderator: