Wanaume mliopata wapenzi JF mliwezaje?

Wanaume mliopata wapenzi JF mliwezaje?

Umepona kipenzi changu?? Yani niliikuta hapa live eti umetangulia... loh!
Nilikosa hata cha kuandika, kurudi tena nikakuta taarifa za tofauti.
Pole mwaya.

Shoga angu we acha tu...yaani niliandaliwa na jeneza kabisa ila Mungu akasema NOO.....ila kiukweli nilikuwa naumwa mpaka ilibidi niwe nameza dawa za maumivu ili niweze kutembea na kuzunguka nje. Mzima lakini bibie?
 
Ualimu wako uliiPOIshia, ndio wangu ulipoanzia?? hujaelewa nini? hapo.

Labda yeye kaelewa kwa vile ni mwalimu kama ulivyobainisha.
Ila mimi sijaelewa...
Waliochangia ndio wamenishawishi kuchangia maana hata sina hakika nipo sawa na mada au nipo nje ya mstari.
 
Haya nimekuelewa...
Ukishindwa kuyataja itabidi unipe 'unachoona kinafaa'
Na pia ukifanikiwa kushinda na ukawataja nitakupa kitu ambacho marasta wengi hawakili kwa wanyama ila kwa binadamu wanakila

Yessssssssssssssssss

Uvinza oyooooooooooooooooooooo...............mwendo wa kupiga mbizi baharini kusaka chumvi oyooooooooo.

Je, chumvi ipi bora? Ya Madame B au ile ya Uvinza?

Je, chumvi ya Madame B ina madini ya Iodine?

Lejend ataleta mrejesho.
 
Juzi kati tu hapa aliambiwa kuhusu dada fulani alitiaje huruma alivyokua anajitetea!!
Utadhani hana kifanyio halafu kasingiziwa kumpa ujauzito mwanafunzi.

Yaani ana mikwara huyo.....na tuone kama atawataja
 
Shoga angu we acha tu...yaani niliandaliwa na jeneza kabisa ila Mungu akasema NOO.....ila kiukweli nilikuwa naumwa mpaka ilibidi niwe nameza dawa za maumivu ili niweze kutembea na kuzunguka nje. Mzima lakini bibie?

Ashukuriwe Mungu kwa kweli.
Kikubwa uzima.
 
Labda yeye kaelewa kwa vile ni mwalimu kama ulivyobainisha.
Ila mimi sijaelewa...
Waliochangia ndio wamenishawishi kuchangia maana hata sina hakika nipo sawa na mada au nipo nje ya mstari.

Weeee!! naye! unafata mkumbo tu. ulikuwa wapi? kuhoji awali?
 
Me too....nipo mamii na nishaumwaga upu.pu tayari.....au nimechanganya madesa?
Nyani Ngabu hana ubavu wa kuwataja labda aje na ID ingine....

Ha haaa umechanganya mafile bana,ila tumefurahi kukuona ulingoni tena my mpenzi. Mungu bado anamakusudi nawe
 
Last edited by a moderator:
Yessssssssssssssssss

Uvinza oyooooooooooooooooooooo...............mwendo wa kupiga mbizi baharini kusaka chumvi oyooooooooo.

Je, chumvi ipi bora? Ya Madame B au ile ya Uvinza?

Je, chumvi ya Madame B ina madini ya Iodine?

Lejend ataleta mrejesho.

Kumbe nawe mfuasi wa kusafisha mustach kwa maji chumvi.....hahahahahahh
 
Nasikia ukitumia ID ya mtu maarufu unatafuna vichwa kimya kimya...

Kwa kuanzia hebu tembelea nyota ya Nyani Ngabu
naona ana bahati ya kutafuna warembo humu kama alivyokueleza hapo juu...

Hahahaaa... kama yule alietumia ID yako.
 
Last edited by a moderator:
Nasikia ukitumia ID ya mtu maarufu unatafuna vichwa kimya kimya...

Kwa kuanzia hebu tembelea nyota ya Nyani Ngabu naona ana bahati ya kutafuna warembo humu kama alivyokueleza hapo juu...

Thubutu yenu bora mfungue mpya.....hizi za long hazikawii kwenda kukulipua jukwaa lingine.
 
Last edited by a moderator:
Nasikia ukitumia ID ya mtu maarufu unatafuna vichwa kimya kimya...

Kwa kuanzia hebu tembelea nyota ya Nyani Ngabu naona ana bahati ya kutafuna warembo humu kama alivyokueleza hapo juu...

Ha ha haaa,kama yako ilivyotembelewa. Jamaa kafaudu kwa nyota yako lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom