Wanaume mliopata wapenzi JF mliwezaje?

Wanaume mliopata wapenzi JF mliwezaje?

Mi nshawala mademu wengi tu wa humu JF.

Ukishawajulia wala hawasumbui kabisa.

Kwa hesabu ya haraka haraka nshakula kama 13 hivi tokea nijiunge mwaka 2006.

Ipo siku ntawaorodhesha kwa majina yao (ya humu JF) kabisa.

Stay tuned and don't change that dial.....

Ina maana sipo kwenye Limenyu lako au huwa unaniruka makusudi?
Najisikia kunyanyapaliwa aisee.
 
Dah mim leo ndio nimejua kama brother ni mkwongwe humu ndani alikuwa miongoni mwa mafounder wa hi kitu alifaa apewe hata uadmini kama akina fang, na innovetor big up to you brother hao watoto ulistahili kuwatafuna tu, ni haki yako wewe sindo ulikuwa unawaonesha njia watakuambia nini tena

Mpe hata dada yako....hahahaha naona mnapeana moyo.....mweeeee
 
Nimekuwa nikiwaza sana kuhusu wanaume walifanikiwa kupata wapenzi au michepuko humu JF kwamba waliwezaje? Na confidence waliitoa wapi? yakujiamini kiasi hicho, nasema hivyo kwa sababu ukijaribu kufatilia michango na maoni ya watu kuhusu maswala ya kimapenzi, kiuchumi na kielimu utabaini ya kwamba kila mtu JF yuko vizuri sana katka nyaja zote hizo.

mfano; Mapenzi kila mwanaume ni fundi wa kugegeda tena mwenye uwezo wakumaliza dak. 60 kwa mbao moja, ukiachana na hivyo wanajisifu wanajua sana mapenzi na taaratibu ya kumuweka sawa mwanamke ili umegegede afurahie tendo.

hapo juu ni mfano moja wapo tu, ya majifuno na masifa wanayojipa wanaume wa JF ukiachana na habari za kila mwanaume wa JF Isipokuwa mimi, wote waliobaki wamesoma hadi chuo, na maisha yao kwa sasa yako DAR.(hapakua na sababu ya kuandika kwa herufi kubwa)

Bwebwe zote hizo ndio zimenifanya leo niwaulize nyie wanaume muliopata wapenzi humu kwamba muliwezaje? maana mimi naona kama sina vingezo kwa sababu elimu yangu ni darasa la saba kugegeda natumia dak 5 hadi 8 kufunga mbao na sijui kuada

Fanyia kazi niliyokua highlight!
 
Ahaaaaa......safi sana.

Sasa kabla hatujakubaliana nikupe siku ngapi, tukubaliane kwanza kuhusu hili:

Nikiyataja utanipa/ fanyia nini na nikishindwa kuyataja utaamua mwenyewe nikupe/ nikufanyie nini.

Sawa?

Haya nimekuelewa...
Ukishindwa kuyataja itabidi unipe 'unachoona kinafaa'
Na pia ukifanikiwa kushinda na ukawataja nitakupa kitu ambacho marasta wengi hawakili kwa wanyama ila kwa binadamu wanakila
 
Mwache atishie kujamba wakati anaharisha...mekumiss pande zile bibi wewe...

Juzi kati tu hapa aliambiwa kuhusu dada fulani alitiaje huruma alivyokua anajitetea!!
Utadhani hana kifanyio halafu kasingiziwa kumpa ujauzito mwanafunzi.

Halafu nyie wenye vidomo domo ndo nawapenda sana.

Ni mwendo wa kuwakunja hadi nagonga shingo ya uzazi.
 
Back
Top Bottom