Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,984
- 142,254
Nyani Ngabu nilifikiri umtu mzima lakini kwa majibu yako yananipa mashaka. JF imeingiliwa sitaki kukuweka kwenye kizazi cha .com.
Una maana gani unaposema ulifikiri mi ni mtu mzima?
Na ni nini kilichokufanya ufikirie hivyo? Unadhani nina umri gani?
Huwa nashindwa kuelewa kwa nini watu hudhani mimi ni mzee au sijui mtu mzima.
Nashindwa kuelewa kabisa.