Wanaume mliopata wapenzi JF mliwezaje?

Wanaume mliopata wapenzi JF mliwezaje?

Manake huyo bwana nilishawahi kumuuliza kuwa mtu fulani unadate nae....akakataa katakata asa nashangaa siku hiyo napata simu kutoka kwa jamaa akisisitiza ...nikamwambia we si ulisema humjuu,akasema ohhhhh unajua nilikuwa sijakuelewa......nyooooo!!!!!
Hahahahahahhah
Kumbe bidada wale wahusika unawapata bila chenga?
 
Na roho juu haiishi leo..manake lazima kujiuliza..mmh na hii trend asije ibuka mwingine na biography tena!

Hahahaaaaaa......manake kwa kiwewe chao mpaka pm moja ikaja kwangu....hahahaaaaa......watu wanataka watafune kimya kimya
 
Kumbe bidada wale wahusika unawapa bila chenga?

Yaani nawauliza bila aibu maana alinisumbua sana nimtongozee huyo binti....tuliunda mpaka ki-group cha wasap cha mtu 3, baadae nikakifuta kumbe ndo sijui washabanduana,na yule demu nae yuko kimya nikasema watajua wao.....heheheeh si nashangaa juzi baada ya miezi kama 2 napata simu kwa huyo bwana kuomba asitajwe.....hahahha!!!!
 
Kukutana jamii forum, raha saana.....
Kuna mamiii wa jf.. nampendaga saaana..
She is my future wife.....
cute b
Njoo hapa bby
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi si mambo ya usawa jamani, mbona wapo wadada humu pia wanatongoza wakaKa.Watu wanavutiwa na points zinazotolewa humu,au mtu avatar tayari ameshapenda. Humu hata watu wakiumbuana hawakomi
 
Huyo Nyani Ngabu atachemka tu....hana ubavu wa kutaja....ndio maana nasema labda aje na ID yake isiyofahamika ila hatakuja kwa hiyo yake maarufu

Na akitaja kwa ID yake itakua kukamilisha tetesi tu maana watu walishataja wakabakiza majina.
 
Last edited by a moderator:
Na akitaja kwa ID yake itakua kukamilisha tetesi tu maana watu walishataja wakabakiza majina.

Hahahhahaha......umeona eeeeee......watu hawataki kuanikana.
Ila Pm jamani zingekuwa zinawekwa kwa zamu jkwaani,sijui tungeangalianaje Id zetu...maana unaweza kudhani unatongozwa na mgeni kumbe jitu ni lizoefu halafu linakuchora tuuuu.
JF raha sana
 
Na akitaja kwa ID yake itakua kukamilisha tetesi tu maana watu walishataja wakabakiza majina.

Yaani kuna kidume huyo anajifanyaga yuko serious MMU au Siasani au umkute Habari mchanganyiko.....yaani anajifanya hapendi kuwaona wala.kudate na wanawake wa humu....hahahaah,Si nikafungua Id mpya(siitaji asije kushtuka) yaani nashangaa nakesha nae usiku kucha Pm
Asa najiuliza....anadhani mtu mpya au.....kumbe jitu la zamani namchora tu. hahahahaah!!!!
Ndo yale ya 'New wine in old bottle'
 
uwiii nakutafuta sana wewe leo tukutane kwenye kubeti

ila usiseme mengine yaleeeeeeeeeeee
Hahahaaaa!

Bro, umenichekesha sana! brazameni wa long time ago!

Ok, ngoja nikabeti kwa wazee wenzangu, naona pesa ipo na leo!...
 
Hahahhahaha......umeona eeeeee......watu hawataki kuanikana.
Ila Pm jamani zingekuwa zinawekwa kwa zamu jkwaani,sijui tungeangalianaje Id zetu...maana unaweza kudhani unatongozwa na mgeni kumbe jitu ni lizoefu halafu linakuchora tuuuu.
JF raha sana
Mzima lakini shosti? Lile jukwaa unaliendeleza au umeshastaafu?
 
mbele ya papuchi hakuna serious ukimjulia wewe unachange topic na jina unaelekea anakotaka plan A ikifeli unakuja na B HUYU UMEMPATIA endelea hadi aingie tunduni aombe poo

Yaani kuna kidume huyo anajifanyaga yuko serious MMU au Siasani au umkute Habari mchanganyiko.....yaani anajifanya hapendi kuwaona wala.kudate na wanawake wa humu....hahahaah,Si nikafungua Id mpya(siitaji asije kushtuka) yaani nashangaa nakesha nae usiku kucha Pm
Asa najiuliza....anadhani mtu mpya au.....kumbe jitu la zamani namchora tu. hahahahaah!!!!
Ndo yale ya 'New wine in old bottle'
 
Mi nshawala mademu wengi tu wa humu JF.

Ukishawajulia wala hawasumbui kabisa.

Kwa hesabu ya haraka haraka nshakula kama 13 hivi tokea nijiunge mwaka 2006.

Ipo siku ntawaorodhesha kwa majina yao (ya humu JF) kabisa.

Stay tuned and don't change that dial.....

13? Kwa ID hiyo hiyo au una IDs nyingi kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom