Kila siku mimi huwa nawaambia wadada wenzangu ndoa haitafutwi wala hailazimishi wakati ukifika inakuja yenyewe, kwani bila ndoa hawezi kuishi miaka 28 kitu gani bwana, kuna watu wanamiaka zaidi ya 30 wala hawana pressure na ndoa. sasa yeye nani alimwambia eti ukihamia kwa mwanaume ndo unaolewa? kwanini asingekaa kwake waowane kwanza ndo waishi pamoja, unaigiza umeolewa kumbe hakuna, kwanini anajirahisi sana hajui anajishusha thamani? Mwambie mme wake yupo anakuja huyo hakuwa mme wake, ila asidanganyike tena kuhamia kwa mwanaume kabla ya ndoa, anajutia chumba kwani vyumba vya kupanga vimeisha?