Wanaume matajiri wanawaoa maroboti ya kike

Wazungu mi cjawah kuwaamini. Kuna siku usiku wa manane uko na limdoli lako unataka ule mbususu mara likakugeuka kwa nguvu likakutoa marinda yote cjui utaenda kushtak wap
 
Zikiletwa bongo DP atakuja kulalamika hapa kwamba hazina maji kama wanawake wa kichaga na Kipare
 
Kitu hata hakipigi mizinga wala haombi ombi pesa wa kazi gani?

Mwanamke mzuri ni yule anayehongeka
 
Back
Top Bottom