Wanaume : Kwanini mnapenda kula bar?

Wanaume : Kwanini mnapenda kula bar?

Nadhani kabla ya kuwalalamikia wanaume ujaribu kuangalia wanawake wao wanasaidia vipi kutowasukuma kula vyakula vya bar, mahotelini na magengeni maana kusema ukweli watu wengi wanaenjoy zaidi kula chakula cha nyumbani ikiwa ni kizuri/kitamu kuliko kwenda kula out.

Sasa kama mwanamke jikoni analipualipua tu au anamuachia dada wa kazi apike kama alivyozoea kijijini kwao unategemea mumewe awe anarudi kula nyumbani wakati uwezo wa kula chakula kizuri nje anao?! Jitazame wewe mwanamke, make an effort...hakikisha siku zote chakula unachomwandalia mumeo na familia kwa ujumla ni chakula ambacho usipokuwepo nyumbani wanakimiss na kutamani mama arudi. Ukiwa vizuri jikoni hata kama mna hela ya kwenda kula Kempiski kila siku, mumeo/familia yako watachagua wewe uwaandalie chakula badala ya kula out kila wanapopata nafasi.

Kuna wanaume hata wale kwa ndugu/jirani, hata warudi nyumbani usiku wa manane lazima wale chakula walichoandaliwa nyumbani na sio kwa kulazimishwa. . .naongea kutokana na experience kwahiyo najua wewe kama mwanamke ni kichocheo namba moja kwa tabia ya mumeo kutokula nyumbani. Either sio msafi, hujui kupika, unamwachia dada wa kazi apike siku zote, umejaa gubu.
 
Mama yuko bize toka asubuhi anapita pita kama anasherehe. Chakula cha mchana kinaliwa saa tisa na hakieleweki hata test ya chakula imepotea. Mi naona waacheni tu wale hotelini au kwa mpango wa kando.
 
Mfano mzuri, Je kiepe cha kukaanga mwenyewe nyumbani na kiepe cha kibandani kipi kitamu? Mama JJ
 
Last edited by a moderator:
Uzuri wa bar unagonga msosi huku unatizama paja za warembo zilizoiva... Mambo adimu hayo home hayaonekani
 
sasa kama wewe unapika chakula kibichi kila siku,chumvi uweki unaachiwa hela ya kuku unaenda kununua dagaa chenji unaendea saluni sasa kweli tutaacha kula baa kweli, alafu pia kuna vyakula vingine kama kitimoto kwa sisi tuliopanga uswahilini hatuwezi kupika nyumbani 'that why' tunajimwaga bar big up 'B' Bar sinza,kifumbu,kwa Charles hilary,kamanyola shekilango kuna midudu ya hatari.
 
Nadhani kabla ya kuwalalamikia wanaume ujaribu kuangalia wanawake wao wanasaidia vipi kutowasukuma kula vyakula vya bar, mahotelini na magengeni maana kusema ukweli watu wengi wanaenjoy zaidi kula chakula cha nyumbani ikiwa ni kizuri/kitamu kuliko kwenda kula out.

Sasa kama mwanamke jikoni analipualipua tu au anamuachia dada wa kazi apike kama alivyozoea kijijini kwao unategemea mumewe awe anarudi kula nyumbani wakati uwezo wa kula chakula kizuri nje anao?! Jitazame wewe mwanamke, make an effort...hakikisha siku zote chakula unachomwandalia mumeo na familia kwa ujumla ni chakula ambacho usipokuwepo nyumbani wanakimiss na kutamani mama arudi. Ukiwa vizuri jikoni hata kama mna hela ya kwenda kula Kempiski kila siku, mumeo/familia yako watachagua wewe uwaandalie chakula badala ya kula out kila wanapopata nafasi.

Kuna wanaume hata wale kwa ndugu/jirani, hata warudi nyumbani usiku wa manane lazima wale chakula walichoandaliwa nyumbani na sio kwa kulazimishwa. . .naongea kutokana na experience kwahiyo najua wewe kama mwanamke ni kichocheo namba moja kwa tabia ya mumeo kutokula nyumbani. Either sio msafi, hujui kupika, unamwachia dada wa kazi apike siku zote, umejaa gubu.

Nimeyapenda maelezo yako
 
Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....,
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.

Mweeee,sa ka mke hajui kupika je?
 
Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.
baby kesi yetu umeamua kuileta huku tena, si tungeyamliza tu nyumbani. wasiwasi wangu majibu ya jf bilashaka yatapiga shoka ndoa yetu. jamani mjibuni vizuri baby wangu asikasilike.
 
Tunapenda kula bar kwa sababu tunapenda kuangalia mademu wakali wa bar
 
mkuu Eiyer,

do you know that most of the women are the catalyst for men to get their foods in the bars?

mimi haitokaa itokee niwe na mke nisiyejua ladha ya mapishi yake!!!!!!!

wengi wao wanasingizia muda, eti ohh dear, i have no time to cook for you!

WTF!!!!!!!!!!!!

kwangu utapika tuuuuuu!!! hata kama mi unsugared porridge!

Wangetumia muda huu kujiuliza wangesaidia sana kuliondoa hili tatizo!
 
Wanawake wengi hamna adabu unamuandalia mumeo chakula alafu wewe umelala unategemea niendelee kula mpaka mjirekebishe ndo tutakula nyumbani la cvyo Kama kawa
 
Maswala ya kutupikia masoseji, makuku na mavyakula ya supermarket nan anataka? Kitu natural toka kwa mama muuza.
 
Kwa mfano leo nimelala shift ya usiku kazini nimerudi ikabidi nijipumzishe kidogo nimeamka saa 9 alasiri nimekuja mezani hakuna chai ,mpaka saa hizi chakula bado kinapikwa ,kwanini nisiende baa wanawake akikuzoea majanga tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom