Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,190
chakula cha bar kina dawa za kienyeji zinazoongeza uimara wa uume..
^^
Hii toleo jipya kwangu
^^
chakula cha bar kina dawa za kienyeji zinazoongeza uimara wa uume..
mimi nadhani nyinyi akina mama ndio mnapaswa kuja na majibu ya hili swali lakoWakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.
@Mokoyo umemaliza kila kituwanawake wa siku hizi hawafahamu kupika na kama wanafahamu ni wajeuri wanakesha facebook, JF etc. Bora kula bar ambapo unakaribishwa vizuri na kwa bashasha na wahudumu
^^
Hii toleo jipya kwangu
^^
Ni ubinafsi tu wa wanaume.
Nimeiona kwenye vijiji vingi huku kwenye jimbo lá Zitto. Nyumbani mlo mmoja tena saa kumi na mbili jioni, lkn baba mwenye nyumba asubuhi yuko mgahawani anakula wali maharage na chai, mchana mishikaki na ugali/wali jioni ndio ananunua 'kamemelo' kopo 2 za unga na dagaa fungu mbili (hawafiki hata 100 ukiwahesabu) huyo nyumbani. Watoto na wake walishinda shambani na kurudi na mizigo ya kuni.
Sasa mjini, wababa kaacha nyumbani 10,000 ndio mkate, mboga ya mchana na usiku, unategemea ktk família ya watu 6 utakuta mezani mchemsho wa kuku kweli zaidi ya wali, beans, mchicha na tango kama tunda?
Hizo excuse za Housegirl kwani bar anayepika sio bar girl/boy?
miss u..
naomba uache ku mention vidume wengine
haki hiyo ni yangu peke yangu lol
Kwanza mleta mada hapa unaonesha dhairi ulivyo local woman with zero exposure, Wewe badala ya kumsema mumeo mwenye tabia hizo za kwenda kwenye mataputapu na kushushia na bite za vichwa vya kuku, utumbo na miguu ya kuku badala yake unataka kugenalise watu hapa.Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.
inategemea na anayekipika kama mwanzo mwisho ni housegal hakuna mwanaume kwenye hii sayari ambaye ameoa atakubali kuwa chakula cha hg ni kitamu.kama hupiki nyumbani kwako wewe mwanamke eidha majukumu ya kikazi what ever uvivu wako mwache tu ale bar hii ndio mentality yao.hakuna mwanaume anayepikiwa na mkewe akala bar labda wachache sana na kama mkewe hajui kupikaWakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.
Nyumbani sijawahi kuwa na house girl, we kula huko shiba ila ujue ukija nyumbani lazima umalize sahani nzima ya ugali wa mtama, hii sheria imenisaidia hata kama anakula nyumbani lazima ale.
Mh! UheshimikeEti chakula cha bar kichafu!!??? Tatizo unaishi manzese, utapata wapi bar nzuri?
Wanawake hamuishi gubu,mara siachi hela yakutosha! khaaa....
Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.
inategemea na anayekipika kama mwanzo mwisho ni housegal hakuna mwanaume kwenye hii sayari ambaye ameoa atakubali kuwa chakula cha hg ni kitamu.kama hupiki nyumbani kwako wewe mwanamke eidha majukumu ya kikazi what ever uvivu wako mwache tu ale bar hii ndio mentality yao.hakuna mwanaume anayepikiwa na mkewe akala bar labda wachache sana na kama mkewe hajui kupika
aione watu8
aisee ni kazi ila kazana tu mwaya huo ni mti wa haluwa huo hahahahhaahhehehehehehehe mwenyewe kama matusi ya kwenu.
Mmu ndio chumbani, uani, jikony, na verandani kwetu; inahuu?
Mimi mzima mwaya, majukumu tu si unajua kumtunza sukari ya mmu ilivyo ngumu. Lol