Wanaume : Kwanini mnapenda kula bar?

Wanaume : Kwanini mnapenda kula bar?

Wanawake wa siku hizi kupika ni kama adhabu yani hata akipika ni masimango matupu.Barmaid wanaburudisha lazima tule bar dadeki zenu.
 
Kwanza mleta mada hapa unaonesha dhairi ulivyo local woman with zero exposure, Wewe badala ya kumsema mumeo mwenye tabia hizo za kwenda kwenye mataputapu na kushushia na bite za vichwa vya kuku, utumbo na miguu ya kuku badala yake unataka kugenalise watu hapa.

Tena futa kauli ---- maana wenye Mabar wakikusikia wanaweza kukudai fidia ambato ukoo wako mzima hawa uwezo wa kulipa.

jifunze upya kusubmet mada zako hapa usidhani kila anayesoma ni wa level yako.

Hotel zote unazozijuwa wewe zina bar na watu kila siku tunakunywa humo na kula tena vyakula ambavyo kuandaa makwetu kwa ubora huo ni nadra, sasa wewe kwakuwa hujui pub ni nini na bar ni nini ndio maana umesmuwa kuja kujambajamba hapa.

Huna tofauti yoyote na wale wsnaodhsni kila dawa ya meno ni colget na dawa viatu ni kiwi tu.
Una bifu naye au ndo tumeambiwa tuache kuomba PM maana mwisho wa yote ndo haya makubwa madogo yana nafuu
 
Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.

Kweli Mama JJ. Wanaume wengi tuna tabia mbaya. Utaona mtu kidoleni ana pete kuuuuubwa ya ndoa ikimaanisha kuwa ana mke wake nyumbani lakini siku za mapumziko (Jumamosi, Jumapili na siku za sikukuu) anapata milo yote baa, kuanzia kifungua kinywa mpaka chakula cha usiku. Cha ajabu ni kwamba ananunua vyakula hivyo vilivyotayarishwa katika mazingira hatarishi kwa bei mbaya. We should be ashamed of ourselves.
 
Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.

Je njia mnapika nyumbani? kila siku mnawahachia ma mecury ( Hg) kupika chakula, alafu unataka nije nile chakula home? je kina utofauti gani na cha bar? mjirekebishe na muanze kuwapikia waume wenu nasi tutakula nyumbani
 
Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.

Punguza jazba na hiv vichwa ni vya nini? Vya watu au?................
 
Je njia mnapika nyumbani? kila siku mnawahachia ma mecury ( Hg) kupika chakula, alafu unataka nije nile chakula home? je kina utofauti gani na cha bar? mjirekebishe na muanze kuwapikia waume wenu nasi tutakula nyumbani

Haha haha haaaaaa You dont know thw value of a wife
 
Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.

nna wasiwasi kama ulishawahi kuonja msosi wa huko
Siku ukionja unaweza kuja na story ingine hapa
 
Wakianza kupewa masharti na daktari; usile chumvi, usile mafuta, usile sukari etc (God Forbid) wataanza kula nyumbani wenyewe....
 
Bar kuna huduma nying tofauti na nyumbani...baamedi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom