Wanaume : Kwanini mnapenda kula bar?

Wanaume : Kwanini mnapenda kula bar?

Ni ubinafsi tu wa wanaume.
Nimeiona kwenye vijiji vingi huku kwenye jimbo lá Zitto. Nyumbani mlo mmoja tena saa kumi na mbili jioni, lkn baba mwenye nyumba asubuhi yuko mgahawani anakula wali maharage na chai, mchana mishikaki na ugali/wali jioni ndio ananunua 'kamemelo' kopo 2 za unga na dagaa fungu mbili (hawafiki hata 100 ukiwahesabu) huyo nyumbani. Watoto na wake walishinda shambani na kurudi na mizigo ya kuni.

Sasa mjini, wababa kaacha nyumbani 10,000 ndio mkate, mboga ya mchana na usiku, unategemea ktk família ya watu 6 utakuta mezani mchemsho wa kuku kweli zaidi ya wali, beans, mchicha na tango kama tunda?

Hizo excuse za Housegirl kwani bar anayepika sio bar girl/boy?

Apike hata nyasi kwa uwezo tulionao nitakula. Ila wajibu wake kasahau. Nyodo nyingi sana. Chai asbh mpaka ugomvi, lunch ya saa saba utaipata saa tisa. Menu yenyewe kama makapi ya nguruwe. Atajiju. Bar Moja
 
Last edited by a moderator:
Wakienda bar wanakula makongoro, mapupu, vichwa, ulimi etc.....
vyakula vimepikwa na kuandaliwa kwenye mazingira machafu
Comeon grow up and change ur bad habits. Chakula kizuri chapatikana nyumbani.

kama wanaume wanapenda kula Bar,...wanawake wanapenda kula wapi?
 
Mimi huwa sielewi kabisa hii tabia. Naongozana na washikaji tumetoka job tunarudi home, wanasema tupitie bar tupate soda moja tupoze koo. Mnafika pale jamaa anatandika ulimi nusu na ndizi tatu halafu ndio anaenda home. Sasa mi nawaambia sili kwa sababu nikila hiyo michemsho home ntashindwa kula, na wife anapika kishenzi. Msosi anaoandaa siwezi ulinganisha na hivyo vya bar. Jibu lao nimepewa limbwata. Sielewi kabisa yaani!!!
 
Na wala usijisumbue kuwaelewa kaka yangu...waache with time watakuja kukuelewa (watajua mjanja nani kati yako na wao)

Ila kukushauri tu usipende kuwa na urafiki na watu ambao mko tofauti kitabia...baba yangu uwa ananisimulia alivyoanza kunywa pombe sababu ya marafiki wakati kwao ni swala tano...alianza kunywa ameshamuoa mama na ana watoto 4...na ikafika kipindi bila bia hawezi kulala.

Marafiki marafiki si wazuri. Alikuwa akienda disco anawashangaa wenzie wanavyokunywa na kuvuta sigara...taratiibu nae akajiunga.


Mimi huwa sielewi kabisa hii tabia. Naongozana na washikaji tumetoka job tunarudi home, wanasema tupitie bar tupate soda moja tupoze koo. Mnafika pale jamaa anatandika ulimi nusu na ndizi tatu halafu ndio anaenda home. Sasa mi nawaambia sili kwa sababu nikila hiyo michemsho home ntashindwa kula, na wife anapika kishenzi. Msosi anaoandaa siwezi ulinganisha na hivyo vya bar. Jibu lao nimepewa limbwata. Sielewi kabisa yaani!!!
 
Nadhani kabla ya kuwalalamikia wanaume ujaribu kuangalia wanawake wao wanasaidia vipi kutowasukuma kula vyakula vya bar, mahotelini na magengeni maana kusema ukweli watu wengi wanaenjoy zaidi kula chakula cha nyumbani ikiwa ni kizuri/kitamu kuliko kwenda kula out.

Sasa kama mwanamke jikoni analipualipua tu au anamuachia dada wa kazi apike kama alivyozoea kijijini kwao unategemea mumewe awe anarudi kula nyumbani wakati uwezo wa kula chakula kizuri nje anao?! Jitazame wewe mwanamke, make an effort...hakikisha siku zote chakula unachomwandalia mumeo na familia kwa ujumla ni chakula ambacho usipokuwepo nyumbani wanakimiss na kutamani mama arudi. Ukiwa vizuri jikoni hata kama mna hela ya kwenda kula Kempiski kila siku, mumeo/familia yako watachagua wewe uwaandalie chakula badala ya kula out kila wanapopata nafasi.

Kuna wanaume hata wale kwa ndugu/jirani, hata warudi nyumbani usiku wa manane lazima wale chakula walichoandaliwa nyumbani na sio kwa kulazimishwa. . .naongea kutokana na experience kwahiyo najua wewe kama mwanamke ni kichocheo namba moja kwa tabia ya mumeo kutokula nyumbani. Either sio msafi, hujui kupika, unamwachia dada wa kazi apike siku zote, umejaa gubu.

kwa uchambuzi huu , nitafute nina zawadi yako besti yangu.........

Mama yuko bize toka asubuhi anapita pita kama anasherehe. Chakula cha mchana kinaliwa saa tisa na hakieleweki hata test ya chakula imepotea. Mi naona waacheni tu wale hotelini au kwa mpango wa kando.

hebu waambie wabadilike bana..........
 
Haijalishi wakati mwingine huwa tunataka matatizo wenyewe, eti mwanaume anarudi anakwambia ameshiba unachukulia poa tu, lazima aandike statement amekula wapi so siku nyingine lazima ale kiduchu coz chakula changu lazima ale.

Chakula chako chenye ulazima wa kula ni kimoja tu. (DUDU) Vingine utavumilia tu
 
Chakula chako chenye ulazima wa kula ni kimoja tu. (DUDU) Vingine utavumilia tu

wewe huwezi kula changu coz sio mume wangu wala hiyo dudu hutakaa uonje. Chakula mume wangu anakula hata kama amekula huko. kwako hayakuhusu naongelea kwa mume wangu.
 
wewe huwezi kula changu coz sio mume wangu wala hiyo dudu hutakaa uonje. Chakula mume wangu anakula hata kama amekula huko. kwako hayakuhusu naongelea kwa mume wangu.

Nilimaanisha mumeo. Mimi nina imani sitaionja kwa kweli.
 
Huyu mleta mada sijawahi kuelewa kama ni me au ke.

Maanake ana mada ambazo
amejitambulisha kama "ke" na nyingine "me" au anazo zote nini?

Mara Grace aliyejaaliwa Mara Mama jj Mara Bujibuji.

Unaweza tongoza njemba mwenzio humu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom