Wanaume kwanini mna tabia mbaya?

Wanaume kwanini mna tabia mbaya?

Inakuwaje unaacha kunywa chai kwako unaenda kunywa chai hotelini ,unakunywa chai ya maziwa kwanini usinunue kwako maziwa mkeo akapika mkanywa na wanao,,,hujisikii vibaya wala kujishtukia au kujishuku?
Sio jambo jema kabisa,na sio haki yaan wanawake hebu kuweni wakali kabisa waume zenu muwabane wawe wanakunywa chai home kama ni ya rangi mnywe wote,,,halaf muwadai pesa za matumizi waongeze wenzenu wanatanua huko bar bill kubwa laki au zaidi we unakunywa chai ya rangi mnywe chai ya rangi kwa kupenda n mle vizuri

Wanaume na nyie acheni ubahili kama mnavyoonyesha ubavu na ujeuri wa pesa bar,tunawaomba na majumbani mwenu muanze hiyo jeuri muache matumizi ya kutosha watoto wale vizurii, sio watoto kula vizuri mpaka matumbo yanapata mshituko maana hayajazoea kula vyema
Pendeni familia zenu basi ,,wanasema family first
mkiwa bar utasema nyumbani pako vyema ,ukienda nyumbani hovyoo hovyo watoto wanakula kwa kulamba lamba tu hawashibi sio vizuri kabisa
Nadhani nimeeleweka na mjirekebishe mle hotelin kwa sababu maalumu alaa


Endapo nitakuwa nimewatimizia watoto kila kitu, maziwa, siagi, na makorokoro yote, na kazi yangu ni ya kukutana na kuongea na watu (consultation), mara nyingi asubuhi nakutana na watu kwa mazungumzo, na sipendi kunywa chair mapema, pana ubaya gani meeting ya kwanza nikaifanya over breakfast? SHIDA UME CRAME, NA KAMA MME WAKO ANAKUNYWA CHAI YA MAZIWA NJE NA WATOTO YA RANGI, HUO NI UBINAFSI WA MTU .....
 
Gracious ....
Na baba asiye bora kabisa ni yule anayeenda kunywa chai ya maziwa wakati watoto nyumbani hata chai hawaijui

wahenga walisema.....(sijui walichokisema)
Mkuu nimependa ulivyomalizia

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Endapo nitakuwa nimewatimizia watoto kila kitu, maziwa, siagi, na makorokoro yote, na kazi yangu ni ya kukutana na kuongea na watu (consultation), mara nyingi asubuhi nakutana na watu kwa mazungumzo, na sipendi kunywa chair mapema, pana ubaya gani meeting ya kwanza nikaifanya over breakfast?
Tatizo ni kuchenga kula kwako yaan upo tu huna pa kwenda halaf waenda kula hotelini
 
Haha ila sometimes mnatuwazia mabaya bwana. Mkiona Hatupo nyumbani mnajua tunatumbua kumbe tumeshidaa na njaa tu.
Aliye rudi na njaa anajulikana na aliyeshiba anajulikana

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni kuchenga kula kwako yaan upo tu huna pa kwenda halaf waenda kula hotelini

Sasa huyo Mume wako HANA PAKWENDA, unafikiri sisi wote hatuna PAKWENDA KAMA HUYO WAKO? haya tutake RADHI!
 
Inakuwaje unaacha kunywa chai kwako unaenda kunywa chai hotelini ,unakunywa chai ya maziwa kwanini usinunue kwako maziwa mkeo akapika mkanywa na wanao,,,hujisikii vibaya wala kujishtukia au kujishuku?
Sio jambo jema kabisa,na sio haki yaan wanawake hebu kuweni wakali kabisa waume zenu muwabane wawe wanakunywa chai home kama ni ya rangi mnywe wote,,,halaf muwadai pesa za matumizi waongeze wenzenu wanatanua huko bar bill kubwa laki au zaidi we unakunywa chai ya rangi mnywe chai ya rangi kwa kupenda n mle vizuri

Wanaume na nyie acheni ubahili kama mnavyoonyesha ubavu na ujeuri wa pesa bar,tunawaomba na majumbani mwenu muanze hiyo jeuri muache matumizi ya kutosha watoto wale vizurii, sio watoto kula vizuri mpaka matumbo yanapata mshituko maana hayajazoea kula vyema
Pendeni familia zenu basi ,,wanasema family first
mkiwa bar utasema nyumbani pako vyema ,ukienda nyumbani hovyoo hovyo watoto wanakula kwa kulamba lamba tu hawashibi sio vizuri kabisa
Nadhani nimeeleweka na mjirekebishe mle hotelin kwa sababu maalumu alaa
Labda hujui kupika Acha kulalamika nenda kajifunze kupika kwanza.
 
Karibu Rudizi Famu upate Kitimoto safi. ... Karibu Fyatanga upate michemsho na Mbuzi choma. ...
acha hizo kale nyumbani na familia unazani wanao wanafundshwa na nani jinsi ya kula vizuri!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nikisubirigi chai nyumbani huwa nachelewa kazini
 
Back
Top Bottom