Wanaume kwanini mna tabia mbaya?

Wanaume kwanini mna tabia mbaya?

Kuna mazingira ambayo kweli yanafanya mtu ashindwe kunywa chai nyumbani asubuhi...

Sidhani kama kweli mwanaume anaweza kaa na kikombe saa kumi na mbili labda na nusu huku anatakiwa awahi ofisini, kwa mie pia Siwezi kabisaa.... Chai nanywa saa nne kazini nyumbani hata iwe tayari Siwezi....

Ni vyema tuu wawe wanashiriki chakula cha jioni na familia na kuhusu hela, mwanaume anaejitambua naamini lazima aache matumizi ya kutwa nzima na wengine hufanya manunuzi ya mwezi mzima.... Nasisitiza wapo wanaume wanaojali mnoo familia zao, suala la kunywa chai asubuhi kwa kweeli huwashinda weengi, halafu ukute maza house amelala beki tatu ndo anaandaa chai....
 
Yaani wewe ndiyo wa kunisuprise hivyo.

Geahabibu umewaona wanaofanya tusahau nyumbani eeh.
hahahhahhh
suprise attack....haahhah
haya kama ulikua unarudi nyumbani em uje hapa tupate heinken manake nilikumiss sana baba naniliu
 
Kuna mazingira ambayo kweli yanafanya mtu ashindwe kunywa chai nyumbani asubuhi...

Sidhani kama kweli mwanaume anaweza kaa na kikombe saa kumi na mbili labda na nusu huku anatakiwa awahi ofisini, kwa mie pia Siwezi kabisaa.... Chai nanywa saa nne kazini nyumbani hata iwe tayari Siwezi....

Ni vyema tuu wawe wanashiriki chakula cha jioni na familia na kuhusu hela, mwanaume anaejitambua naamini lazima aache matumizi ya kutwa nzima na wengine hufanya manunuzi ya mwezi mzima.... Nasisitiza wapo wanaume wanaojali mnoo familia zao, suala la kunywa chai asubuhi kwa kweeli huwashinda weengi, halafu ukute maza house amelala beki tatu ndo anaandaa chai....
wewe una akili sana sana yani sana, nimesoma comment yako mpaka nimetabasamu
 
Chai inakua tayari SAA 4,unakunywa na masumango kibao

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Una hakika wewe ni mke wa ndoto yake? Kipenzi cha roho yake?! Au amekuoa kwa kufuata uhalisia sio hisia.! Kama uliolewa kwa uhalisia kwamba imefikia kipindi jamaa anataka mke mwenye sifa fulani nawe ukaangukia hapo pole..!!!
je una hakika hao watoto ni wake?
sabbu kama uliwatafuta kwingine ili yeye awakuze na kuwatunza ingali ukijua kuwa baba mhusika wa watoto yupo. (wanawake mnalijua hili)
sio wanaume wote wana ujasiri wa kukuambia zaidi utaona vitendo tu..
mwisho jiongeze changamsha akili yako sio wanaume wengi now days wanapenda magolikipa walio mabingwa wa kudaka.!
unachokipata shukuru kikubwa usilale njaa.

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Hivi umesoma mada ukaelewa?rudia hata mara tatu kusoma uelewe bahati sina nguo chafu leo za kufua
 
hahahhahhh
suprise attack....haahhah
haya kama ulikua unarudi nyumbani em uje hapa tupate heinken manake nilikumiss sana baba naniliu
Nilikumiss pia aseeh. Sitaki kuamin Wahenga walikuficha acha niamini ni majukumu tu.

baba klaree.
 
Hahaha Ela za vikoba na michezo mbona hamtaki Ku share

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona ivo ujue hajui kupika au ana kelele mob so bora kusogea pembeni for a break
Sio kweli ni tabia tu yakutojali familia kwanini unachopenda usimwelekeze mkeo mtu anaacha pesa kiduchu mke apike nini, mimi ukila huko na nyumbani lazima ule kama utaweka mpaka masikioni ni wewe na hizo tabia huanza pale pesa inapoanza kupatikana kabla no

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom