Wanaume kwanini mna tabia mbaya?

Wanaume kwanini mna tabia mbaya?

Nilikumiss pia aseeh. Sitaki kuamin Wahenga walikuficha acha niamini ni majukumu tu.

baba klaree.
Ni wahenga wala hakuna wengine

Umemuelewa lakini mleta thread?
 
Pole Geahabibu ....

Kuachwa kubaya. .. bahati mbaya ni kwamba ni asilimia 2 tu ya wanawake walioolewa wanaojua kupika. ... strange! !!!!
Jamani tunajua si % ndogo hivyo duuu

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mazingira ambayo kweli yanafanya mtu ashindwe kunywa chai nyumbani asubuhi...

Sidhani kama kweli mwanaume anaweza kaa na kikombe saa kumi na mbili labda na nusu huku anatakiwa awahi ofisini, kwa mie pia Siwezi kabisaa.... Chai nanywa saa nne kazini nyumbani hata iwe tayari Siwezi....

Ni vyema tuu wawe wanashiriki chakula cha jioni na familia na kuhusu hela, mwanaume anaejitambua naamini lazima aache matumizi ya kutwa nzima na wengine hufanya manunuzi ya mwezi mzima.... Nasisitiza wapo wanaume wanaojali mnoo familia zao, suala la kunywa chai asubuhi kwa kweeli huwashinda weengi, halafu ukute maza house amelala beki tatu ndo anaandaa chai....
Wengi wao wana tabia hiyo yaan nimeona live kabisa mtu anaamka kwake saa tatu anaenda hoteli jiran kunywa chai ni haki hiyo kisa home kuna chai ya rangi ? Si maziwa yanunuliwe mnunue vitafunio mnywe wote,
Nikwambie familia nyingi za kitanzania wanaokula vizuri ni asilimia chache kwa wenye uwezo na wanaojielewa,kuna hawa sasa wana uwezo lakin kula vizuri mwiko,,,kuna ambao uwezo hawana kweli,,,
Chunguza hilo utaniambia
 
wanawake bana wanapenda sana kulalamika, sasa mtu kula hotel kuna tatzo gani?
 
Sio kweli ni tabia tu yakutojali familia kwanini unachopenda usimwelekeze mkeo mtu anaacha pesa kiduchu mke apike nini, mimi ukila huko na nyumbani lazima ule kama utaweka mpaka masikioni ni wewe na hizo tabia huanza pale pesa inapoanza kupatikana kabla no

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Wanasingizia hivyo hebu waambie bana
 
Haya bwana tumekuskia na ulivyoandika kwa Uchungu umefanya nigeuze njiani ndiyo nilikuwa naenda kuianza weekend na Heineken.
Ha hanha mzee nenda kaache af nakuja kukupitia kumbe shemej amesharud enhee?
 
Kuna mazingira ambayo kweli yanafanya mtu ashindwe kunywa chai nyumbani asubuhi...

Sidhani kama kweli mwanaume anaweza kaa na kikombe saa kumi na mbili labda na nusu huku anatakiwa awahi ofisini, kwa mie pia Siwezi kabisaa.... Chai nanywa saa nne kazini nyumbani hata iwe tayari Siwezi....

Ni vyema tuu wawe wanashiriki chakula cha jioni na familia na kuhusu hela, mwanaume anaejitambua naamini lazima aache matumizi ya kutwa nzima na wengine hufanya manunuzi ya mwezi mzima.... Nasisitiza wapo wanaume wanaojali mnoo familia zao, suala la kunywa chai asubuhi kwa kweeli huwashinda weengi, halafu ukute maza house amelala beki tatu ndo anaandaa chai....

Ahsante umeongea uhalisia kabisa, mfano Mimi kila siku naondoka nyumbani saa 10 alfajiri, kama nikisema nipate breakfast home hiyo itakua ni daku sasa. Kikubwa ni kuijali familia yako kama unavyojijali na kuyatekeleza majukumu yako kama baba.
 
Back
Top Bottom