Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,758
Ni wahenga wala hakuna wengineNilikumiss pia aseeh. Sitaki kuamin Wahenga walikuficha acha niamini ni majukumu tu.
baba klaree.
Umemuelewa lakini mleta thread?
Ni wahenga wala hakuna wengineNilikumiss pia aseeh. Sitaki kuamin Wahenga walikuficha acha niamini ni majukumu tu.
baba klaree.
Ongea kiukweli ukweli.Kumbe achana nae huyo usigeuke nyuma
Wengi wao wana tabia hiyo yaan nimeona live kabisa mtu anaamka kwake saa tatu anaenda hoteli jiran kunywa chai ni haki hiyo kisa home kuna chai ya rangi ? Si maziwa yanunuliwe mnunue vitafunio mnywe wote,Kuna mazingira ambayo kweli yanafanya mtu ashindwe kunywa chai nyumbani asubuhi...
Sidhani kama kweli mwanaume anaweza kaa na kikombe saa kumi na mbili labda na nusu huku anatakiwa awahi ofisini, kwa mie pia Siwezi kabisaa.... Chai nanywa saa nne kazini nyumbani hata iwe tayari Siwezi....
Ni vyema tuu wawe wanashiriki chakula cha jioni na familia na kuhusu hela, mwanaume anaejitambua naamini lazima aache matumizi ya kutwa nzima na wengine hufanya manunuzi ya mwezi mzima.... Nasisitiza wapo wanaume wanaojali mnoo familia zao, suala la kunywa chai asubuhi kwa kweeli huwashinda weengi, halafu ukute maza house amelala beki tatu ndo anaandaa chai....
Na home mpeleke nyamaGadem...!!
Bora tujilie zetu nyama choma pale kwa Martha...
Nikikupikia mimii,hta mama yako mzazi hajawah kupika chakula nachopika mieTatzo we mwanamke hujui kupika
Welcome back.Ni wahenga wala hakuna wengine
Umemuelewa lakini mleta thread?
Mnalijua jukwaa la chit chat au mnapoteza lengo??Nilikumiss pia aseeh. Sitaki kuamin Wahenga walikuficha acha niamini ni majukumu tu.
baba klaree.
Nyama si nzuri kwa watoto...Na home mpeleke nyama
Wanasingizia hivyo hebu waambie banaSio kweli ni tabia tu yakutojali familia kwanini unachopenda usimwelekeze mkeo mtu anaacha pesa kiduchu mke apike nini, mimi ukila huko na nyumbani lazima ule kama utaweka mpaka masikioni ni wewe na hizo tabia huanza pale pesa inapoanza kupatikana kabla no
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Ha hanha mzee nenda kaache af nakuja kukupitia kumbe shemej amesharud enhee?Haya bwana tumekuskia na ulivyoandika kwa Uchungu umefanya nigeuze njiani ndiyo nilikuwa naenda kuianza weekend na Heineken.
Kuna mazingira ambayo kweli yanafanya mtu ashindwe kunywa chai nyumbani asubuhi...
Sidhani kama kweli mwanaume anaweza kaa na kikombe saa kumi na mbili labda na nusu huku anatakiwa awahi ofisini, kwa mie pia Siwezi kabisaa.... Chai nanywa saa nne kazini nyumbani hata iwe tayari Siwezi....
Ni vyema tuu wawe wanashiriki chakula cha jioni na familia na kuhusu hela, mwanaume anaejitambua naamini lazima aache matumizi ya kutwa nzima na wengine hufanya manunuzi ya mwezi mzima.... Nasisitiza wapo wanaume wanaojali mnoo familia zao, suala la kunywa chai asubuhi kwa kweeli huwashinda weengi, halafu ukute maza house amelala beki tatu ndo anaandaa chai....
Siwezi kuwa mchepukoOngea kiukweli ukweli.
Mimi mchepuko wako, je utakubali kugawana na mke wangu wewe uchukue 2000 yeye 8000 kwa siku?
Yawezekana wakwake walibebana tu ndiye hajui kupikaUna uhakika ni asilimia mbili na umejuaje?
Ni report nipewe ban basi ufurahiMnalijua jukwaa la chit chat au mnapoteza lengo??
Peleka wewe na maziwa ,na matunda sio mpaka waandikiwe na madaktariNyama si nzuri kwa watoto...
Tukisema ukweli tunalalamik??wanawake bana wanapenda sana kulalamika, sasa mtu kula hotel kuna tatzo gani?
Watoto wanatakiwa wale maharage na ugali ili wakue...Peleka wewe na maziwa ,na matunda sio mpaka waandikiwe na madaktari
Halaf nani tutasaidizana humuNi report nipewe ban basi ufurahi