Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
[
mmm....:typing:
siku hizi sio wakongo tu. Nimetoka saluni sahv mkaka wa kichaga kaniseti. Ukiniona mwenyewe utanitamani. Hahahaha! Siku hz hakuna kazi ya kike wala kiume. Wanawake wenyewe zege tunabeba.
mmm....:typing: