Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
- Thread starter
- #41
Mwanaume kupaka kucha rangi mwanamke ndo chanzo cha umaskini ktk hii nchi hakuna ubunifu wowote hapo ni uchafu tu ,limekuwa janga la kitaifa ingekuwaa amri yangu kungekuwa na kazi mwanaume hatakiwi kufanya yaani "Mr kucha" nchi inahitaji maombi ya emergency