Wanaume kupaka rangi kucha mabinti

Wanaume kupaka rangi kucha mabinti

Wala isikutishe hawa ni wenzako tu! ila kilakitu ni maamuzi na kila mtu anapanga maisha yake mwenyewe.....pia mtu ujikuna pale anapojifikia.
Kuhusu costumer care hapo ndiyo usipime wangu!....yaani sisi cha kwanza ni costumer care and kno ur costumer na mengine yanafuatia.
Kuhusu artificial things hilo ni swala lingine na linahitaji mjadala mpana sana! ila niseme tu hakuna kitu ambacho most of wanawake wanapenda kama nywele zao,kucha na sura zao....na %80 ya huduma ya hivyo vitu 3 ni artificial matirial na vinacost pesa sana....na pia usisahau kuwa urembo ni gharama

Yaani si wenzangu ki-lifestyle.......................inategemea mtu anachukulia vipi urembo..........hakuna mwanamke asiyependa kuwa mrembo..............ila nadhani kila kitu kiwe kwa kiasi.......................ni mtazamo wangu tu my dear.
 
naomba turudi kwenye mada wapendwa maana naona mnaanza matangazo ya huduma zinazopatikana kwenye office zenu.hoja ya msingi mnaridhika wanaume kushika miguu kisingizio kupaka rangi??
Mkuu kwanza uelewe mimi ni HE na si SHE.....tukirudi kwenye mada ni kama nilivyokuelezea toka awali kuwa hii ni kazi tu kama kazi nyingine.....mfano ni kama pale madoctor wanapowapapasa wadada na wamama kwenye haya mahospital yetu au pale fundi wa nguo za kike anapompima mteja wake size ya kiuno kuendana na nguo yake. kwahiyo hapa hakuna swala la kizingizio'ila hapa kunakitu kinaitwa kufuata huduma kama unavyozifuata huduma nyingine
 
Unaenda salon zinazotoa huduma ya wax so as to remove unwanted hair around ure pubic area down...aka brazillian wax...need i say mo??
Nashukuru kwa kumuelewesha dada angu huyu....maana mimi nashindwa kabisa kuelezea in deep section hiyo hapa hadharani kutokana na unyeti wake
 
Unaenda salon zinazotoa huduma ya wax so as to remove unwanted hair around ure pubic area down there...na brazillian wax ni kuziondoa zote...need i say mo??
 
Mmh dada Lizzy!....naona unafatilia mjadala huu kwa karibu sana! Je unajifunza au umejifunza nini?
Najifunza kwamba hamna ubaya wowote mtu kujipa kile anachotaka.Kama mtu ana uwezo na anataka kwenda kupakwa rangi na mkaka saluni poa tu...kama anajipaka mwenyewe poa tu...kama mpenzi wake anampaka vile vile poa ili mradi mhudumiwa na mhudumia wote hawana tatizo lolote.
 
Najifunza kwamba hamna ubaya wowote mtu kujipa kile anachotaka.Kama mtu ana uwezo na anataka kwenda kupakwa rangi na mkaka saluni poa tu...kama anajipaka mwenyewe poa tu...kama mpenzi wake anampaka vile vile poa ili mradi mhudumiwa na mhudumia wote hawana tatizo lolote.
Yaah forsure....umenena vizuri sana!.....unajua mtu anaweza paka rangi mwenyewe "hilo sikatai" lakini linapokuja swala la kupendeza zaidi ni lazima uende saloon.....mfano kunakitu kinaitwa french ya griterz'hii ni ngumu sana mwanamke kujipaka mwenyewe! ni lazima utahitaji mtu profeshino ili akupake na upendeze
 
Mtazamo wako ni sawa na wangu. Siwezi kuspend all that money kwenye hivyo vitu aisee. Na hajabu unadhani hiyo gharama utaiona basi akishamaliza kupambwa; mpaka ajiongeleshe ndio ujue how much it has costed her. Kazi ipo.


Yaani si wenzangu ki-lifestyle.......................inategemea mtu anachukulia vipi urembo..........hakuna mwanamke asiyependa kuwa mrembo..............ila nadhani kila kitu kiwe kwa kiasi.......................ni mtazamo wangu tu my dear.
 
to be honest hii thread imekuwa very usefull kuliko nilivyotarajia
 
Yaani si wenzangu ki-lifestyle.......................inategemea mtu anachukulia vipi urembo..........hakuna mwanamke asiyependa kuwa mrembo..............ila nadhani kila kitu kiwe kwa kiasi.......................ni mtazamo wangu tu my dear.
Usijari my dear.....kama bado unaswali kuhusiana na mambo ya urembo niulize tu....kama litakuwa ndani ya uwezo wangu nitakujibu tu
 
And who is doing that? Hata kama ni mwanamke mwenzangu siko tayari kumvulia chupi aisee. Hayo mambo mengine hacha yatupite tu.


Unaenda salon zinazotoa huduma ya wax so as to remove unwanted hair around ure pubic area down there...na brazillian wax ni kuziondoa zote...need i say mo??
 
And who is doing that? Hata kama ni mwanamke mwenzangu siko tayari kumvulia chupi aisee. Hayo mambo mengine hacha yatupite tu.
Hapo sasa ni choice iz ur'z....ukipenda kufanyiwa na staff wakike sawa....au ukipenda kuhudumiwa na staff wa kiume pia ni sawa tu....yaani hapo ni wewe tu
 
Yaah forsure....umenena vizuri sana!.....unajua mtu anaweza paka rangi mwenyewe "hilo sikatai" lakini linapokuja swala la kupendeza zaidi ni lazima uende saloon.....mfano kunakitu kinaitwa french ya griterz'hii ni ngumu sana mwanamke kujipaka mwenyewe! ni lazima utahitaji mtu profeshino ili akupake na upendeze
Hapo kwenye “kupendeza zaidi lazima uende saloon“ sikubaliani nawe hata chembe.Wengine hatujaenda saloon miaka na bado tunaamini tunapendeza nevertheless.Urembo wa mtu anaujua mtu mwenyewe...sio lazima wote tuweke kope/kucha na nywele za bandia kupendeza.Au kupaka unachoongelea....na kupaka hayo yote bado sio guarantee ya kupendeza kwahiyo usijaribu kutudanganya tukabanane huko saloon kwakuamini bila hivyo hatuwezi kupendeza!
 
Mkuu kwanza uelewe mimi ni HE na si SHE.....tukirudi kwenye mada ni kama nilivyokuelezea toka awali kuwa hii ni kazi tu kama kazi nyingine.....mfano ni kama pale madoctor wanapowapapasa wadada na wamama kwenye haya mahospital yetu au pale fundi wa nguo za kike anapompima mteja wake size ya kiuno kuendana na nguo yake. kwahiyo hapa hakuna swala la kizingizio'ila hapa kunakitu kinaitwa kufuata huduma kama unavyozifuata huduma nyingine

Hapa unadanganya bana..........tofauti ipo.........................mwanamke kupimwa nguo na fundi hakufanani na kufanyiwa massage na mpaka rangi mwanaume................kitendo cha massage peke yake chaweza kuwa sehemu ya maandalizi (fore play) kwa mwanamke/mwanaume.


Kumbuka hii massage inafanywa na vijana wakiume.....................na kuna wadada/wanawake ambao miguu au nyayo zao................ni miongoni mwa sehemu zenye msisimko wa kimapenzi........................ukikuta na kaka mwenyewe anayake moyoni + nidhamu ya kazi zero,

....................inakuwa tafrani..............mimi hii naona ni changamoto............hata kama wengine hamkubali,iko hivyo!
 
Hapo kwenye "kupendeza zaidi lazima uende saloon" sikubaliani nawe hata chembe.Wengine hatujaenda saloon miaka na bado tunaamini tunapendeza nevertheless.Urembo wa mtu anaujua mtu mwenyewe...sio lazima wote tuweke kope/kucha na nywele za bandia kupendeza.Au kupaka unachoongelea....na kupaka hayo yote bado sio guarantee ya kupendeza kwahiyo usijaribu kutudanganya tukabanane huko saloon kwakuamini bila hivyo hatuwezi kupendeza!

Mpe ukweli huyo Lizzy...............hebu fikiria mwenyewe..............unakutana na mdada....................rangi ya bandia,nywele za bandia,kucha kabandika,kope kabandika......chaaaa!Mi nachoka kabisa...........yote hiyo kutokujiamini!
 
Back
Top Bottom