Wanaume kupaka rangi kucha mabinti

Wanaume kupaka rangi kucha mabinti

basi kama ivyo ata wale wanofanya kazi ya kuwapaka rangi kucha masalooni ni mabiti?au tuwaitaje?
 
Mabinti wenyewe ndicho wanachopenda, wewe weka salon yako wahudumu wakiume then uone watakavyomiminika, si walichasema hata gari ya kuendesha 'ke' mwenzao hawapendi.
 
Mabinti wenyewe ndicho wanachopenda, wewe weka salon yako wahudumu wakiume then uone watakavyomiminika, si walichasema hata gari ya kuendesha 'ke' mwenzao hawapendi.
kweli wanawake mna mambo!
 
Na nyie mnavyoenda saluni kuoshwa videvu na kutekenywa masikio au nalo sio tatizo!
 
Na nyie mnavyoenda saluni kuoshwa videvu na kutekenywa masikio then mkimaliza mnachukua na namba zao za cm! Hiyo ni sawa?
 
Na nyie mnavyoenda saluni kuoshwa videvu na kutekenywa masikio then mkimaliza mnachukua na namba zao za cm! Hiyo ni sawa?
 
Na nyie mnavyoenda saluni kuoshwa videvu na kutekenywa masikio then mkimaliza mnachukua na namba zao za cm! Hiyo ni sawa?
si sawa na ni sawa!mm nazungumzia mwanaume kupaka kucha rangi ni kama wameingilia ajira ambayo ni maalum kwa akina dada najua hakuna ubaguzi kwenye maswala ya ajira na kila mtu anauhuru wa kufanya kazi anayoipenda,"ulishajiuliza kwanini madereva wote wa daladala ni wanaume"si kwamba ladies hamwezi kuendesha daladala ila muktadha wa kazi ilivyo unamfaa mwanaume pekee ,so kuwapaka wanawake kucha rangi haiendani na wajih wa mwanaume,mdada kuwa salon ya kiume she fit to be there coz nature ya kazi inamfaa kuifanya!
 
Back
Top Bottom