Wax ya asili: chemsha sukari kg moja then itatokea kama asali hvi then wapaka kwenye ngozi kwa kutumia spatula/kisu au something bapa, ikiwa ya moto unapuliza hih hiii hiiii.... afta that wachukua waxing stripe kama huna nenda supmartkt au kitambaa na kubandika juu yake kama unagundishia vile then wavuta kama unabandua sticker mahali,,,kwishney habari ya nywele-u do this twice/thrice until all the hair is gone..huko salon kuna heater za kuchemchia sukari...kwanza umeuliza yatengenezwaje me nimejibu na ucvyotaka sory,,,,