Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
nimezoea magimbi mapopcorn sishibi.Nimeshafika home sasa.....karibu popcorn na juice ya guava
nimezoea magimbi mapopcorn sishibi.Nimeshafika home sasa.....karibu popcorn na juice ya guava
kuna wengine wanakuwa kama vinyago. Unatamani kumwambia shogaa hebu toa hilo dude kichwani. Mtoto wa kike Mikucha hiyo tena vidole vyote, hata downstairs sijui wanajisafishaje................hebu fikiria mwenyewe..............unakutana na mdada....................rangi ya bandia,nywele za bandia,kucha kabandika,kope kabandika......chaaaa!Mi nachoka kabisa...........yote hiyo kutokujiamini!
kuna wengine wanakuwa kama vinyago. Unatamani kumwambia shogaa hebu toa hilo dude kichwani. Mtoto wa kike Mikucha hiyo tena vidole vyote, hata downstairs sijui wanajisafishaje.
Yaaani...unakuta mtu akitaka kuguswa kichwa na mpenzi anaruka utadhani kachomwa sindano ghafla...kucha hataki kugusa maji eti zitabanduka au zitaharibika...kope nazo ukiangalia urefu umezidi ukubwa wa macho...nyusi nazo kanyoa na kuchora akiondoa mchoro anabaki kituko.Yani ni full plastic...kubebana na mizigo yote hiyo ya kazi gani?!Mpe ukweli huyo Lizzy...............hebu fikiria mwenyewe..............unakutana na mdada....................rangi ya bandia,nywele za bandia,kucha kabandika,kope kabandika......chaaaa!Mi nachoka kabisa...........yote hiyo kutokujiamini!
Yaaani...unakuta mtu akitaka kuguswa kichwa na mpenzi anaruka utadhani kachomwa sindano ghafla...kucha hataki kugusa maji eti zitabanduka au zitaharibika...kope nazo ukiangalia urefu umezidi ukubwa wa macho...nyusi nazo kanyoa na kuchora akiondoa mchoro anabaki kituko.Yani ni full plastic...kubebana na mizigo yote hiyo ya kazi gani?!
Duh we nowmaaaa!!Yaaani...unakuta mtu akitaka kuguswa kichwa na mpenzi anaruka utadhani kachomwa sindano ghafla...kucha hataki kugusa maji eti zitabanduka au zitaharibika...kope nazo ukiangalia urefu umezidi ukubwa wa macho...nyusi nazo kanyoa na kuchora akiondoa mchoro anabaki kituko.Yani ni full plastic...kubebana na mizigo yote hiyo ya kazi gani?!
Anyway nilikuwa napata sapper....but am back again....,Hapa unadanganya bana..........tofauti ipo.........................mwanamke kupimwa nguo na fundi hakufanani na kufanyiwa massage na mpaka rangi mwanaume................kitendo cha massage peke yake chaweza kuwa sehemu ya maandalizi (fore play) kwa mwanamke/mwanaume.
Kumbuka hii massage inafanywa na vijana wakiume.....................na kuna wadada/wanawake ambao miguu au nyayo zao................ni miongoni mwa sehemu zenye msisimko wa kimapenzi........................ukikuta na kaka mwenyewe anayake moyoni + nidhamu ya kazi zero,
....................inakuwa tafrani..............mimi hii naona ni changamoto............hata kama wengine hamkubali,iko hivyo!
Hahhaha....yani kaaazi kweli kweli.Hata hivyo acha wawepo maana wote tukisema hatutaki kina MSHIKACHUMA watakosa kazi/biashara za kufanya!Hapo kwenye bold.............nimejikuta nacheka..............anakuwa kama wale wanasesere tuliotumia enzi hizo.................Waache wafurahie maisha...................nao wana type zao..........ambao wanajua kabisa "nikiwa na fulani........nywele marufuku kugusa........kucha niguse kwa tahadhari...............macho niache kama yalivyo".......................
Kundi unalolizungumzia wewe ni kundi la wasichana wasiyotulia wala kujiheshimu....kwa bahati mbaya wadada kama hawa ni nadra sana kuja ofisini kwetu kutokana na mazingira na hata bei zetu pia.....hawa utawakuta salon za mwenge na sinza. Sisi tunadili na wanawake wenye heshima zao....wanasuka nywele za heshima,weaving za heshima na kucha za heshima.kuna wengine wanakuwa kama vinyago. Unatamani kumwambia shogaa hebu toa hilo dude kichwani. Mtoto wa kike Mikucha hiyo tena vidole vyote, hata downstairs sijui wanajisafishaje.
Sababu....?!Duh we nowmaaaa!!
Safety last kaingia mitini.....maana kakutana na hoja mzito na kashindwa kupambananazo....kwaufupi amekubali kuwa kazi ya salon ni kazi tu kama kazi nyingineMshika chuma wewe unafanya hii kazi? Naona unaijua sana halaf unaitetea ile mbaya.
Safety last sijui yuko wapi.
Hahahahhha!Eti wanasuka NYWELE ZA HESHIMA...WEAVING ZA HESHIMA na KUCHA ZA HESHIMA. Ndo zinakuaje hizo?!Na zisizo naheshima zinatuzosuka Mwenge nazo zinakuaje?!Hus na Balle kweli tunakosa mengi....maana hatusuki nywele za heshima!Kundi unalolizungumzia wewe ni kundi la wasichana wasiyotulia wala kujiheshimu....kwa bahati mbaya wadada kama hawa ni nadra sana kuja ofisini kwetu kutokana na mazingira na hata bei zetu pia.....hawa utawakuta salon za mwenge na sinza. Sisi tunadili na wanawake wenye heshima zao....wanasuka nywele za heshima,weaving za heshima na kucha za heshima.
Kabla sijajibu naomba uende ukajibu thread yangu!!Sababu....?!
Lizzy ukienda salon za kiprofeshino' unawekwa weaving vizuri sana,kucha vizuri sana na hata hizo kope vizuri sana na hautojua kama huyu mtu amebandika kope! na hivyo vyote unakaanavyo kwa mda mrefu sana.....na unakuwa free kufanya kazi zote na havitoki wala kuvimba.....sema baadhi ya salon za uswazi ndizo zinatuharibiaYaaani...unakuta mtu akitaka kuguswa kichwa na mpenzi anaruka utadhani kachomwa sindano ghafla...kucha hataki kugusa maji eti zitabanduka au zitaharibika...kope nazo ukiangalia urefu umezidi ukubwa wa macho...nyusi nazo kanyoa na kuchora akiondoa mchoro anabaki kituko.Yani ni full plastic...kubebana na mizigo yote hiyo ya kazi gani?!
namshanga huyu! Nywele za heshima twende kilioni au! Mtu anakuja na pesa yake utampangia cha kusuka! Hzo nywele za wafu toka lini zikawa za heshima. Huyu inabidi alipie maana naona yupo kwenye matangazo ya biashara.Hahahahhha!Eti wanasuka NYWELE ZA HESHIMA...WEAVING ZA HESHIMA na KUCHA ZA HESHIMA. Ndo zinakuaje hizo?!Na zisizo naheshima zinatuzosuka Mwenge nazo zinakuaje?!Hus na Balle kweli tunakosa mengi....maana hatusuki nywele za heshima!
Gani hiyo?!Alafu jibu kwanza...i call the shots around here!Kabla sijajibu naomba uende ukajibu thread yangu!!
Ohhh puhhhleeeeez!Nwy vyovyote vile sidanganyiki wala sishawishiki.Besides....kucha zangu sipendi kupaka sana rangi ili kama kuna kauchafu nione.Kope zinanitosha...na nywele naprefer kusuka rasta au kuachia zangu hata kama zaweza kua sio za heshima.Lizzy ukienda salon za kiprofeshino' unawekwa weaving vizuri sana,kucha vizuri sana na hata hizo kope vizuri sana na hautojua kama huyu mtu amebandika kope! na hivyo vyote unakaanavyo kwa mda mrefu sana.....na unakuwa free kufanya kazi zote na havitoki wala kuvimba.....sema baadhi ya salon za uswazi ndizo zinatuharibia
Hapana mie sijasema kama wewe usuki nywele za heshima....kwanza sijajua kama huwa unaenda salon au lah.....na kama unaenda basi sijui unaenda salon gani. Ila naamini kitu kizuri ambacho utapata pale mwenge ni kusuka tu' lakini siyo style zote....wanasuka baadhi ya styleHahahahhha!Eti "wanasuka NYWELE ZA HESHIMA...WEAVING ZA HESHIMA na KUCHA ZA HESHIMA." Ndo zinakuaje hizo?!Na zisizo naheshima zinatuzosuka Mwenge nazo zinakuaje?!Hus na Balle kweli tunakosa mengi....maana hatusuki nywele za heshima!