muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,474
- 10,063
Huyo mpuuzi mbususu haiombwi kifala hivyo!...umefanya vizuri kumnyima kenge huyo.Ni rafiki yangu sana tunapeana madili mengi ila suala la kunilazimisha nilale kwake kwa nguvu mpk kunifungua mlango limeniudhi sana… na nia hubadilika inawezekana alikuwa nayo nzuri ila baadae angebadilisha nia