Wanaume embu nisaidini hili

Wanaume embu nisaidini hili

Wewe uko tayari kumpenda mtu wakati yeye anakuona wa kawaida tu? Unapotoa ushauri use all ur senses. Hakuna mtu atakayepoteza muda wake kupenda sana huku anayependwa not paying right attention! Labda zuzu. By the way wakati unamwona akupendaye wa kawaida sana utakuwa unampenda nani wakati huo? Lazima kuwe na substitute.

Kwahiyo wewe unadhani unayemdondokea na yeye kakudondokea kwa kiwango kile kile!! we endelea kuamini unavyoamini, bahari nzuri sijakushauri wewe so sikuona sababu ya kuni-attack kiasi hicho hapo kwa red, you could simply ignore my advice!
 
Story ya kweli. Una miaka minne, umbali ni dar kwa arusha .... yamejirudia sana matatizo kila siku.... nadhani matatizo yakizidi ni tatizo kwa kweli na unachosha mwili na roho pia

Asante,
Hujasema kama hilo Swala ni lako/linakuhusu wewe mwenyewe ama ni la mtu mwingine,
Ila, Ili nisikuchoshe kwa maswali zaidi naomba niseme:

Nionavyo mimi,
Hapo kuna kitu (sababu) tena inaweza kuwa kubwa tu na ambayo inautafuna mti wa uhusiano husika chini kwa chini na pengine mti huo ushaoza kabisa unasubiria kisababu hata kidogo tu udondoke kabisa.

MASHAKA
Kauli hizi:
1."Sihangaiki na wewe" anayodai mhusika kupewana huyo jamaa yake.
2."Pamoja na kuwa nina udhaifu nimeomba msamaha...."

Zote zinaonyesha udhaifu, kutokujiamini,kutokujitambua, na kutokujielewa pia kwa upande wa Mwanamke, .

Aidha,"Sihangaiki na wewe",maana yake; Huenda pia Mwanamke ana vijitabia-tabia ambavyo jamaa kachoka navyo na ndio maana ameamua kumpotezea.
AU tena Kakuchoka, Huna thamani tena kwake kama mwenza,.
Na Hii kama unaakili timamu ndio ushapatiwa tiketi ya daraja la kwanza kwamba CHAPA LAPA.unasubiria reporting time tu.
(Yaani kajisababu kadogo hivi, Ili wewe ndio uonekane chanzo cha mparaganyiko)
NG'ATUKA. NDIO ITAKUUMA LAKINI ITAKUFARIJI KUWA UMEACHA NA HUKUACHWA.

-As for, "Kuomba msamaha"- Huku ukijua kuwa wewe ndiye uliekosewa;
Mdada yeyote akinilete kesi ya aina hii,
Nitamsamehe tu kama mtuhumiwa ana ndoa nae lakini u-gelfrend/boyfrend?-Naweza hata kukunasa vibao.
Hii ndio sifa kubwa ya mtu asiejiamini na mwenye adabu ya uoga, Ni sifa mbaya,mbaya,mbaya.na haifai hata kidogo kwa Mwanamke.

Hunijui, sikujui lakini;
However you look, Whatever you have and regardless of Your individual weaknesses.
You have to Know that; You are blessed With a unique beauty and have dignity as well.
Asitokee Mpuuzi yeyote kwa sababu yoyote ile akapelekea ujione hujatimia, hunathamani Au hufai kama Mwanamke.
Kwani ana nini chamno? Jiulize kabla hujawa nae ulikuwa huishi? Ulizaliwa nae? Je Duniani yupo pekeyake?
Kama ishu ni kuwa anakufurahisha na pengine ukiachana nae utakosa furaha lakini furaha yako isiishie kuondoa utu wako, utulivu wa akili na thamani yako kama mwanamke.Yapo mengi ya msingi unaweza kuyafuatilia kwa mustakbali wa maisha yako ya baadae kuliko kuhangaika na kuumiza kichwa kumfikiria mtu ambae hata sababu ya kero zake huielewi.

Umelielekeza swali lako upande wa jinsia ya Wanaume, pengine ukiamini ndiko utakapopata majibu sahihi,
Naomba nikukosoe kuwa pengine hukua sahihi sana.
Majibu sahihi zaidi utapata kwa wanawake wenzako ambao siajabu utakutana na ambao walikumbwa na madhila ya aina yako.


SULUHISHO
Lamsingi,
Wahusika wakae/waonane ana kwa ana na sababu ziwekwe upenuni.
Zama hizi uwe umeolewa au hujaolewa si za kukimbizana na Mapenzi,
Kama mmoja kamchoka mwenzake muambiane tu kama mlivyoambiana wakati wa kutongozana.

Mwisho, Nakualika Usome Siginecha yangu.
 
Story ya kweli. Una miaka minne, umbali ni dar kwa arusha .... yamejirudia sana matatizo kila siku.... nadhani matatizo yakizidi ni tatizo kwa kweli na unachosha mwili na roho pia

pole sana miss chaga,karibu kwangu tugangane majeraha hata mie ni mhanga wa mapenz,niko arusha,ni pm namba yako nikutafute.
 
Kwahiyo wewe unadhani unayemdondokea na yeye kakudondokea kwa kiwango kile kile!! we endelea kuamini unavyoamini, bahari nzuri sijakushauri wewe so sikuona sababu ya kuni-attack kiasi hicho hapo kwa red, you could simply ignore my advice!

When giving advice in a wide forum like recipients are many not just one person. Don't be as niche as that.
 
Kwa maneno rahisi, haumvutii tena.
Aisee, mpaka unaruhusu akufanyie yote hayo ina maana umeshindwa kusoma alama za nyakati.
Wakati wa usichana tulikuwa tunafundana jinsi ya kuona dalili hovyo, kiasi kwamba unamuacha kabla hajakuacha; it is good for your esteem na maumivu sio mengi.

Katika kauli za ajabu hii naona inaongoza. At the end of the day, ishu sio nani kamuacha mwenzake from the onlookers or observers point, the main issue ni nani ali-invest sana kwenye hiyo relationship. Unaweza ukamwacha mtu, lakini yeye akawa poa na wewe ndio ukaumia and then lose all the self esteem you were hoping to get by dumping him/her.

Either way, binadamu hata tunapoona dalili zote sio rahisi kuamini kwa sababu we dont want to be hurt. Ni namna ya Binadamu kujilinda na maumivu. Sio kwamba hajui kama relationship iko kwenye rocks ila hataki kuamini na anajipa moyo maybe he will change. Kitu cha muhimu ni ku-demand better things and when you see that there is no way you are going to get them bora kujitoa tu.
 
Uwe na mvuto kimapenzi. Yaani ujiweke vizuri.

Kwa mfano, ukiwa umejaaliwa ile chakula ya mtoto, si mbaya mara moja moja kuonyesha ubunifu. Onyesha ule mgawanyo (cleavage), nifanyie shimmy, vaa sketi zenye slit....

Ukivaa viatu vya kokoko basi badili mwendo...tembea kaa Naomi Campbell kwenye catwalk

Kuwa msafi, nukia vizuri, floss meno, kuwa na meno meupe, paka viondoa harufu (deodorant) - kama antiperspirant zinakupa shida basi uwe unaweka armpit pads kuzuia jasho kuvuja kwenye kitop chako...


In a nutshell, be a lady in the street but a freak in the sheets.

You done it for me Nyani Ngabu
miss chaga usihangaike na mambo makubwa we need these minor things. Just that usitafute ndumba
 
Last edited by a moderator:
wanawake sijui kwanini mna akili nzito hivyo! Hapo unashindwa nini kugundua jamaa kakuchoka na hakutaki? Duh!
 
Kwa picha niliyoipata naona huna tofauti na dem wangu. Yeye akipiga simu maneno yake ni (habari za huko? Huko wazima? Haya badae) hadi sasa nimeyazoea. Mwanamke mpenzi wako akiwa mbali jitahid kumrdhisha akutofautishe na marafik zake anaochat nao, pia muoneshe unafuture. Other wise atakuchoka tu na utabaki kuhisi amepata mtu mwingine kumbe kashakuchoka.
 
huu ni mwaka wanne so nilitukana akiwepo .. asante mkuu unakumbu kumbu ... ila bad enough nazidi kuwaita majina mabaya kutokana na hili

jaribu kuacha kuita viumbe vya mwenyezi Mungu kwa majina mabaya, pia jifunze kukubali matokeo, kusamehe na kuendelea na maisha bila kuwa na chuki na mtu yeyote. Maisha ni matamu sana kama utakuwa unakumbuka mazuri tu uliyotendewa na watu na kusahau mabaya yote uliyotendewa na watu wengine.
 
jaribu kuacha kuita viumbe vya mwenyezi Mungu kwa majina mabaya, pia jifunze kukubali matokeo, kusamehe na kuendelea na maisha bila kuwa na chuki na mtu yeyote. Maisha ni matamu sana kama utakuwa unakumbuka mazuri tu uliyotendewa na watu na kusahau mabaya yote uliyotendewa na watu wengine.
Sawa mkuu nisamehe
 
Kwa picha niliyoipata naona huna tofauti na dem wangu. Yeye akipiga simu maneno yake ni (habari za huko? Huko wazima? Haya badae) hadi sasa nimeyazoea. Mwanamke mpenzi wako akiwa mbali jitahid kumrdhisha akutofautishe na marafik zake anaochat nao, pia muoneshe unafuture. Other wise atakuchoka tu na utabaki kuhisi amepata mtu mwingine kumbe kashakuchoka.

Kwa hiyo niongee maneno gani matamu ..
 
Katika kauli za ajabu hii naona inaongoza. At the end of the day, ishu sio nani kamuacha mwenzake from the onlookers or observers point, the main issue ni nani ali-invest sana kwenye hiyo relationship. Unaweza ukamwacha mtu, lakini yeye akawa poa na wewe ndio ukaumia and then lose all the self esteem you were hoping to get by dumping him/her.

Either way, binadamu hata tunapoona dalili zote sio rahisi kuamini kwa sababu we dont want to be hurt. Ni namna ya Binadamu kujilinda na maumivu. Sio kwamba hajui kama relationship iko kwenye rocks ila hataki kuamini na anajipa moyo maybe he will change. Kitu cha muhimu ni ku-demand better things and when you see that there is no way you are going to get them bora kujitoa tu.

Sawa mkuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom