Wanaume embu nisaidini hili

Wanaume embu nisaidini hili

Dada kuna tofauti kati ya mwanaume na mume, pia kuna tofauti kati ya mwanamke na Mke. Sasa we we ulipata mwanaume badala ya mume ndio maana hakuwa na busara. Hakufai, Lakini kwa upande wako nawe kama unamakosa jirekebishe.
 
Habari zenu wanaJF

Kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. Nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
  • Mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje?


  • Mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe. Wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini?


  • Ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani?


  • Unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ?


  • Pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo?
Wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi ila theory practical nitafanya mwenyewe.

Naombeni msaada wenu please.

Asante mbarikiwe

Griiiii hapo bibie umepatikana yaani uwe hot zaid ya hapo ? hapana kule kapata aliyekuzid so anazuga tu ila toto lenye IQ kama hili unataka liwe hot kiaje tena wanaume mungu anatuona mjue tunawapa wakati mgum sana hawa wadada
 
Dada kuna tofauti kati ya mwanaume na mume, pia kuna tofauti kati ya mwanamke na Mke. Sasa we we ulipata mwanaume badala ya mume ndio maana hakuwa na busara. Hakufai, Lakini kwa upande wako nawe kama unamakosa jirekebishe.
sawa mkuu
 
Dada kuna tofauti kati ya mwanaume na mume, pia kuna tofauti kati ya mwanamke na Mke. Sasa we we ulipata mwanaume badala ya mume ndio maana hakuwa na busara. Hakufai, Lakini kwa upande wako nawe kama unamakosa jirekebishe.

huyo jamaa lazima atakuwa kamchoka na mara nyingi ukiona mwenza complaints haziishi ujue hapo keshakuchoka
 
Griiiii hapo bibie umepatikana yaani uwe hot zaid ya hapo ? hapana kule kapata aliyekuzid so anazuga tu ila toto lenye IQ kama hili unataka liwe hot kiaje tena wanaume mungu anatuona mjue tunawapa wakati mgum sana hawa wadada
sema ndiyo tunazidiana
 
Kiufup kama jamaa atakuwa ajajitambua unampenda kwa dhat au yeye bado ajajitambua
Mapenz nini

Japo unaumia jikaze
Ila mimi najua mwanaume huwa haachagi mwanamke kwa dizain hyoo huwa tunakausha ili ukibuba unarud taratbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom