Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,912
- 70,668
Wangejua wasingethubutu kuinua mikono kutupigaHahahaha
Msikubali kupigwa jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangejua wasingethubutu kuinua mikono kutupigaHahahaha
Msikubali kupigwa jamaa
Lakini Kwa bahati mbaya anagawa k yake kwa mdogo wako! Hivyo 50 ni herufi anafaa kuwa mdogo wako. Tiririka tuHuu Uzi naogopa kuchangia maana wewe ni Dada yake mama yangu kiumri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mm ndiyo siwezi kabisa kukaa nawe bila ya kukukonyoa makwenzi au makofi na hv mashavu yako yamenona hivyo[emoji87]Ujumbe mzuri mama,Nasikitika hawatakuelewa.
Kiukweli kumpiga mtu siyo vizuri kabisa. Lakini sikubaliani na msemo wa " there is no reason to hit a woman" . kiukweli there are million reasons to hit a woman, we (gentlemen) just don't it out of compassion and love.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashavu umeyaona wapi?Kama mm ndiyo siwezi kabisa kukaa nawe bila ya kukukonyoa makwenzi au makofi na hv mashavu yako yamenona hivyo[emoji87]
Sent using Jamii Forums mobile app
wakizingua na wapigwe kwa maana hakuna namnaTangu nazaliwa huu mwaka wangu wa 50 wa kuzaliwa, sijawahi kuona Mama yangu Mzazi anapigwa na Baba yangu Mzazi...
Tangu naolewa huu NI mwaka wangu wa ndoa Miaka 30 sijawahi KUMWONA MUME WANGU ananipiga labda kama ananipiga mechi (dyudyu)
Hivi kwani sikuhizi vijana wamekuwaje? Mbona vijana Mnapiga wake zenu shida Nene?
Nipo na dadangu hapa ananiambia sijui Mwimbaji Martha Mwaipaja ameachana na mumewe kisa Amepigwa
Na mumewe anajiita Nabii
Sa mbona watumishi wa Mungu mnatuchanganya lakini
Ila sio mbaya maana Yesu alisema siku ya mwisho kutakuwa na Manabii wa Uongo!
Alafu kuna kasheria kamepita kanasema mwanamke ukipigwa mumeo anafungwa so watoto wangu muwe na akili ya kukimbilia kwenye dola mkipigwa
Jamaani wadogozangu wanaume naombeni msipige wake zenu mkioa plz...
WANAUME ACHENI KUPIGA WAKE ZENU.
unanzaje kumpiga mwenzi wako iwe ke/me....how....tuko tofauti sana.....mmoja kati yenu atakaeinua mkono....elewa ndoa ndio imekufa hapo........mwanamke anapigwa na u****ooo...