korojani
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 231
- 237
Mashiko yapo na hoja zake wakili Karume ni za msingi, iweje askari wa kiume akamshike mwanamke?Mtani...hivi kweli unaona/unadhani hiyo kesi aliyoifungua bi Karume ina mashiko?
Na kweli ni kesi ya kuwakilishwa na mawakili 29?
Hata kesi ya karne [O.J. Simpson murder trial] O.J. hakuwakilishwa na mawakili 10....
Au ni kiki tu hizo?
Huu ndo unaitwa udhalilishaji, yule mama ata akisema alishikwa nyeti zake nani atabisha?
Kuna haja ya askari polisi angalau kujifunza kufuata sheria na taratibu na wasifanye kazi kwa mazoea.