Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,109
- 136,801
Utasema kiki sisi tunasema Mshikamano
Call it what you want.
It's a stunt.
Utasema kiki sisi tunasema Mshikamano
Mtani,wapi nilipotaja kesi ya Wakili Msomi Fatma Amani Karume? Au unataka maoni yangu? Ni kwamba,mahakama iko kwa ajili ya kumaliza mabishano na kupata tafsiri ya sheria. Hivyo,yuko sawa kwa mujibu wake.Mtani...hivi kweli unaona/unadhani hiyo kesi aliyoifungua bi Karume ina mashiko?
Na kweli ni kesi ya kuwakilishwa na mawakili 29?
Hata kesi ya karne [O.J. Simpson murder trial] O.J. hakuwakilishwa na mawakili 10....
Au ni kiki tu hizo?
Mkuu povu la Kizungu... Stumt with positive effect.. Hatuwezi kukaa na Serikali isiyokubali kukosolewa... Sasa kule waadabishana kwa vifungu....Call it what you want.
It's a stunt.
Mtani,wapi nilipotaja kesi ya Wakili Msomi Fatma Amani Karume? Au unataka maoni yangu? Ni kwamba,mahakama iko kwa ajili ya kumaliza mabishano na kupata tafsiri ya sheria. Hivyo,yuko sawa kwa mujibu wake.
Jiongeze, umeshaambiwa ni alama ya solidarity forever. Acha mahaba.Mtani...hivi kweli unaona/unadhani hiyo kesi aliyoifungua bi Karume ina mashiko?
Na kweli ni kesi ya kuwakilishwa na mawakili 29?
Hata kesi ya karne [O.J. Simpson murder trial] O.J. hakuwakilishwa na mawakili 10....
Au ni kiki tu hizo?
Jijibu mwenyewe. Umeuliza maswali mepesi,ya kitoto na ya kiutabiri. Wivu unakusumbua. Kama umeshindwa kuwa Mwanasheria,fanya ulichofanikiwa kukiweza.Kwa mfano TLS ikivunjwa halafu wanasheria wakaundiwa bodi kama vile makandarasi na wanataaluma wengine, bado kutakuwa na hizi mbwembwe zinazoendelea?. Hii solidarity itaendelea kuwepo?.
Kwanini hilo lifanyike sasa? Tatizo nini? Woga!? Juu ya nini? Kunguru mwoga hukumbiza bawa lake mwenyeweKwa mfano TLS ikivunjwa halafu wanasheria wakaundiwa bodi kama vile makandarasi na wanataaluma wengine, bado kutakuwa na hizi mbwembwe zinazoendelea?. Hii solidarity itaendelea kuwepo?.
Siwezi kujijibu kwa sababu mimi sio mwanasheria, na ni mtu ambaye ni mwepesi kuheshimu taaluma za watu.Jijibu mwenyewe. Umeuliza maswali mepesi,ya kitoto na ya kiutabiri. Wivu unakusumbua. Kama umeshindwa kuwa Mwanasheria,fanya ulichofanikiwa kukiweza.
Linaweza lisifanyike sasa, lakini maandalizi ya kesho huanzia leo.Kwanini hilo lifanyike sasa? Tatizo nini? Woga!? Juu ya nini? Kunguru mwoga hukumbiza bawa lake mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni Wana UKAWA sio wanasheriaMiaka ile ya 2000 wakati wa Gen P. Musharaf wa Pakistan, vyama vingine vyote vya siasa vikiwa vimebanwa mbavu na kuminywa hasa.... Likatokea jambo la nadra sana, sikumbuki vizuri ilikuwaje lakini nakumbuka wanasheria walichokonolewa wakachokozwa
Hawakukubali wakaandaa maandamo ya amani kuelekea Islamabad mji mkuu wa Pakistan, maandamano hayo yalitokea miji mingine mikuu kama Peshawar, Lahore na Karachi
Nakumbuka wiki ya maandalizi ya yale maandamano wanasheria walitishwa sana... Lakini wakashikilia msimamo wao wa kuandamana kwa amani.... Na hatimaye wakaandamana.......
Huku kwetu kuna kila dalili ya yale ya Pakistan kujirudia.... Ni wazi na sio siri vyama vya siasa vile vyenye nguvu vimebanwa kila kona na vinafanyiwa hujuma zisizoisha kila uchao, viongozi wanakatishwa tamaa kwa malundo ya kesi, hujuma ni nyingi mno na kesi pia ni nyingi.... Ni mkakati maalum uliosukwa kwa ufundi kudhoofisha na hatimaye kuua kabisa vyama makini vya upinzani
Lakini siku zote penye nia pana njia! Wote tunajua hofu waliyokuwa nayo watawala kwa Lisu kuchaguliwa kuwa rais wa chama cha wanasheria Tanganyika! Tulishuhudia vibweka vya kila aina.... Wanasheria wakagoma kuburuzwa, wakagoma kupangiwa wakagoma kupelekeshwa! Na kubwa kuliko yote wakagoma KUNUNULIWA.....
Mshikamano wao wakati ule wa uchaguzi likikuwa jambo geni, wengi walidhani baada ya pale wataachana njiapanda.... HAWAKUFANYA HIVYO..... kauli yao imekuwa SOLIDARITY FOREVER!
Mambo ya nadra yameendelea kutokea kwenye kaliba hii ya wasomi wanataaluma mahiri.... Tumeshuhudia kwenye kesi ya Lisu, tumeshuhudia kwenye kesi ya mwanamama machachari Bi Fatma Karume.... kuna bonding ya aina yake kwa hii kaliba ya sheria... Mamlaka hazipedi kabisa hili jambo lakini pengine ndio ule wakati umetimia sasa..... A long way to freedom
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ina muktadha mpana! Sijamaanisha muda huuLinaweza lisifanyike sasa, lakini maandalizi ya kesho huanzia leo.
Miaka ile ya 2000 wakati wa Gen P. Musharaf wa Pakistan, vyama vingine vyote vya siasa vikiwa vimebanwa mbavu na kuminywa hasa.... Likatokea jambo la nadra sana, sikumbuki vizuri ilikuwaje lakini nakumbuka wanasheria walichokonolewa wakachokozwa
Hawakukubali wakaandaa maandamo ya amani kuelekea Islamabad mji mkuu wa Pakistan, maandamano hayo yalitokea miji mingine mikuu kama Peshawar, Lahore na Karachi
Nakumbuka wiki ya maandalizi ya yale maandamano wanasheria walitishwa sana... Lakini wakashikilia msimamo wao wa kuandamana kwa amani.... Na hatimaye wakaandamana.......
Huku kwetu kuna kila dalili ya yale ya Pakistan kujirudia.... Ni wazi na sio siri vyama vya siasa vile vyenye nguvu vimebanwa kila kona na vinafanyiwa hujuma zisizoisha kila uchao, viongozi wanakatishwa tamaa kwa malundo ya kesi, hujuma ni nyingi mno na kesi pia ni nyingi.... Ni mkakati maalum uliosukwa kwa ufundi kudhoofisha na hatimaye kuua kabisa vyama makini vya upinzani
Lakini siku zote penye nia pana njia! Wote tunajua hofu waliyokuwa nayo watawala kwa Lisu kuchaguliwa kuwa rais wa chama cha wanasheria Tanganyika! Tulishuhudia vibweka vya kila aina.... Wanasheria wakagoma kuburuzwa, wakagoma kupangiwa wakagoma kupelekeshwa! Na kubwa kuliko yote wakagoma KUNUNULIWA.....
Mshikamano wao wakati ule wa uchaguzi likikuwa jambo geni, wengi walidhani baada ya pale wataachana njiapanda.... HAWAKUFANYA HIVYO..... kauli yao imekuwa SOLIDARITY FOREVER!
Mambo ya nadra yameendelea kutokea kwenye kaliba hii ya wasomi wanataaluma mahiri.... Tumeshuhudia kwenye kesi ya Lisu, tumeshuhudia kwenye kesi ya mwanamama machachari Bi Fatma Karume.... kuna bonding ya aina yake kwa hii kaliba ya sheria... Mamlaka hazipedi kabisa hili jambo lakini pengine ndio ule wakati umetimia sasa..... A long way to freedom
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kutukubali. Fahamu kuwa tasnia yetu hairandani na porojo,utapeli na propaganda. Ni mambo ya kifungu kwa kifungu;hoja kwa hoja. Mambo yako mahakamani mkuu!
Hapa issue si ukubwa wa kesi au aina ya kesi, it's significance of the caseMtani...hivi kweli unaona/unadhani hiyo kesi aliyoifungua bi Karume ina mashiko?
Na kweli ni kesi ya kuwakilishwa na mawakili 29?
Hata kesi ya karne [O.J. Simpson murder trial] O.J. hakuwakilishwa na mawakili 10....
Au ni kiki tu hizo?
Hiyo kesi haina mashiko yoyote yale.Hapa issue si ukubwa wa kesi au aina ya kesi, it's significance of the case
Mtani...hivi kweli unaona/unadhani hiyo kesi aliyoifungua bi Karume ina mashiko?
Na kweli ni kesi ya kuwakilishwa na mawakili 29?
Hata kesi ya karne [O.J. Simpson murder trial] O.J. hakuwakilishwa na mawakili 10....
Au ni kiki tu hizo?