Wanasheria wetu! Tumaini jipya?

Wanasheria wetu! Tumaini jipya?

Kwa mfano TLS ikivunjwa halafu wanasheria wakaundiwa bodi kama vile makandarasi na wanataaluma wengine, bado kutakuwa na hizi mbwembwe zinazoendelea?. Hii solidarity itaendelea kuwepo?.
Kwanini TLS ivunjwe?

Hivi TLS ikiongozwa na mwanaccm haishutumiwi kuwa chombo hicho kimejiingiza kwenye siasa,, Bali ikitokea vice versa chombo hicho kuongozwa na mwanachama wa chama cha upinzani ndiyo kinapokea shutuma Kali kuwa kimejiingiza kwenye siasa!

Kwa hiyo kwa nchi hii watawala wetu wanataka kila chombo cha Umma wakiongoze wao!
 
Tasnia ya sheria tayari imeingiliwa na siasa. Inshu ya Pakistani ni ya kipekee kabisa. Musharaf alifukuza wanasheria (majaji) katika utumishi wa umma na ndio ikawa chanzo cha maandamano, migomo na machafuko. Kwa hapa tz mambo ni tofauti. Siasa zinalazimishwa ziingie katika sheria. TLS nayo inalazimishwa iwe ya kisiasa pasipo kuzingatia kwamba ndani ya TLS kila kitu kinaenda kwa utaratibu wake kikanuni.
Siasa zimefanya baadhi ya wanasheria wawe na kiburi, wanavimba vichwa kwa sababu wana wafuasi wa kisiasa. Wanalazimisha walete siasa hadi kwenye masuala ya sheria.
Ifikie hatua umma ufahamu kuwa hakuna siasa mahakamani. Mpinzani au mfuasi wa chama cha upinzani akishindwa kesi wanasema mahakimu au majaji wamenunuliwa, wakishinda wanatamba kuwa mahakama ni mkombozi wao. Mahakama ikishaingiliwa kisiasa hatutakuwa tena na uhuru wa mahakama. siasa ya namna yeyote ile au ya kutoka kwa yeyote yule, ikiwa ni pamoja na umma, ni hatari sana kwa uhuru wa mahakama.
Tasnia ya sheria ibaki kuwa taaluma. Sheria ikihusishwa ma masuala ya siasa hakika taifa litaangukia pabaya.
Umejaliwa ujinga
 
Kwanini TLS ivunjwe?

Hivi TLS ikiongozwa na mwanaccm haishutumiwi kuwa chombo hicho kimejiingiza kwenye siasa,, Bali ikitokea vice versa chombo hicho kuongozwa na mwanachama wa chama cha upinzani ndiyo kinapokea shutuma Kali kuwa kimejiingiza kwenye siasa!

Kwa hiyo kwa nchi hii watawala wetu wanataka kila chombo cha Umma wakiongoze wao!
Sio suala la kuongozwa na nani, ni suala la taaluma ya sheria kuwa na bodi yake. TLS kirefu chake nadhani unakifahamu, maana yangu ni kwamba huu na uwe ni wakati wa mabadiliko kwa manufaa ya maadili ya utendaji kazi wa wanasheria wenyewe.
 
Hakuna jipya hao wote njaa kali tu, wakipewa hela hakuna cha usomi wa utaaluma
Kwann ww ni mjinga mpumbavu!unazani kila mtu nikama ulivyo ww uko tayari kutumwa na dume kwa mama yako mzazi upeleke ujumbe kuwa linamuhitaji wakati ukijua ni mke wa baba ako kisa umepewa pesa,usiwe rahisi kiasi hicho usimsaliti baba ako usizani kila mtu ana maisha kama yako wacha upumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani unazani tunakoelekea ni wapi kama c kufutwa kwa chama cha wanasheria na mahakama kuamua kwa utashi wa sizonje?kwann inafikilia kupitia matakoni kwako wakati kichwa unayo tofauti hapo iko wapi au ww ni mburura? Jinga kabisa ww tena ilibidi na uzao wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann ww ni mjinga mpumbavu!unazani kila mtu nikama ulivyo ww uko tayari kutumwa na dume kwa mama yako mzazi upeleke ujumbe kuwa linamuhitaji wakati ukijua ni mke wa baba ako kisa umepewa pesa,usiwe rahisi kiasi hicho usimsaliti baba ako usizani kila mtu ana maisha kama yako wacha upumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app

Vipi mbona kama umeguswa puru
 
Back
Top Bottom