Wanasheria wetu! Tumaini jipya?

Wanasheria wetu! Tumaini jipya?

Nakubaliana Na Mtoa Mada.
Wanasheria Wametumia Akili
Sana Awamu Hii. Kwa Kupinga
Kuburuzwa, Kufuata Maagizo,
Kuhusishwa Na Siasa Chafu
Za Ruling Party Na Mwisho
Kuwashinda Wale Watoa Amri.
Viva [HASHTAG]#lawyers[/HASHTAG].
raisi wao mwenyewe ngangari kinoma na wafuasi wake wanatusaidia........... serikali kutambua kwamba kuna sheria za nchi

cc Fatma Karume
 
saw nakuelewa. but nikukumbushe kuwa huwezi kuwatetea watu wakati wewe uhatalini kupotezwa. mawakili sasa wanatapata kujinasua na swala la kuwekwa mfukoni mwa mkulu. sasa wote wamevulungwa na lissu kama amejitoa kimasomaso. hivyo kisa cha lissu ndiyo vuguvugu lilipoanzia. nafikri tunapaswa tutulie kwanza ikifika mawakili wajinasua kwenye mikono ya mkuu ndiyo wataweza kufanya na mengine makuu ya kuijulisha serikali kuwa mamlaka yao hayaamanishi kutenda wanavyotaka kwa kuwa wanadola.
ujinga huu
 
tungemfanyia kolabo

Sent using Jamii Forums mobile app
009.jpeg
 
Wanasheria kama maofisa wa mahkama muhimili wa kusikiliza, kutenda na kusimamia haki, wanao wajubu mkubwa kuisaidia jamii yetu kupinga utawala wa kibabe usiojali misingi ya utawala bora na kuzika demokrasia.

Tatizo wengi waoga wamejificha kwenye makoti ya suti nyeusi wanazovaa. Wasimwachie T. Lissu peke yake japo anaweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndo uchafu gani huo ulioutaja mimi nawahesabiaga ssm vichaa kwahiyo sipanic hata iweje
Acha kujificha nyuma ya kejeli ambapo ukweli unaujua! Lisu alisema atamshtaki Makonda mkashangilia! Yule meya wenu Jacob kila siku alikuwa akileta thread za kutaka kumfikisha Makonda mahakamani mkawa mnashangilia, sasa sijui hizo kesi zimeishia wapi?

......
 
Wanasheria hawa ambao utawala wa kikwete wamekua mabilionea wa kutupa!


Kesi wanashinda matajiri!


Kesi miaka kumi haijaisha!

Labda tumaini kwenye siasa hizi za bongo za maji taka.
Kuuza sura Kila Siku front page.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika mengi lakini yameongozwa na intellectual pride.

Hizo fani nyingine na zenyewe hazina umuhimu kama walionao wanasheria?.

TLS iliundwa wakati wa mkoloni, mahitaji ya mwanasheria wakati ule sio ya leo hii.

Kuwepo kwa bodi ya wanasheria hakumaanishi kwamba maslahi ya wanasheria yatashindwa kutimizwa kwa kigezo cha maslahi ya wenye kuongoza nchi. Wanasheria hawawezi kukwepa kuwa na regulatory body katika nyakati hizi.

Lipo ombwe ambalo kwa uwepo wake, mambo mengi muhimu yanaweza kushindwa kufanyika kwa faida ya wanasheria wenyewe.

Tatizo naloliona ni wanasheria wenyewe kuingiziwa mindsets za uanaharakati na taasisi nyingine.

Kumbuka kuwa wanasheria na wenyewe kwa muda mrefu wamekuwa ni sehemu ya mfumo mbovu ndani ya mfumo unaopaswa kuwa msafi mbele ya jamii. Wamekuwa sehemu ya corrupt culture ambayo imekuwa ikiisumbua Tanzania tangu enzi za awamu ya pili mpaka leo.
sawa nimekuelewa. nikweri wanasheria nao ni kati ya corrup system. sasa tatizo naona sheria yetu inamipenyo mingi ya watenda makosa kukwepa. hivyo wahalifu wengi wa rushwa na watumia madalaka wanatumia wakiongozwa na mawakili hawa. sasa tatizo liko wapi?. mimi naona serikali baada ya kuweka vipengele vituri vya sheria wao wanahangaika na watafadhili sheria. tafadhili kamili ya mawakili ni watafadhili sheria na siyo watunga sheria. serikali itunge sheria nzuri basi.
 
Katika wanasheria ninao wakumbuka na nitakao endelea kuwa kumbuka... RIP Mchungaji mtikila... huyu mpaka nikaja kusikia kuwa baadhi ya kesi zake zimekuwa zikitumika kufundishia wanafunzi wa sheria (Naomba kulekebishwa kama sio kweli) kama ni kweli ina maana ameleta mchango mkubwa mno na vile vile alikuwa mtu aliyekuwa ana leta attention ikifika kuwa ana mashitaka mahakamani na ana ibwaga serkali-ebu tukumbuke kisa chake cha kuitaka kuitambua Tanganyika na bendera yake... ni moja ya mambo ya kuvutia toka kwake

sikumbuki kama alikuwa akiwa na jopo la kumtetea mahakamani kama walivyo wanasheria nguli wa sasa wanao tetewa na jopo la mawakili 29 na kazalika...

huyu mtu alikuwa na ujasili ulio pitiliza...

Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, amin...
 
Umeongea vitu vya msingi na hii ni changamoto ya kimfumo kikatiba, hapa unajadili mamlaka ya Rais kuwa jaji na pia kuwa mbunge kikatiba, mada haiko huko. Nadhani mada si board iliyotaka kuundwa, bali utendaji wa kisiasa wa TLS, tunahoji Tls ni tawi la chama cha kisiasa ama haki pekee inayozisimamia ni haki za kisiasa?

Hapo tu, kiufupi, wenye hekima wanahisi TLS inamezwa na cdm hivyo ikapoteza muelekeo wake wa kusimamia haki za jamii, kisiasa, kiuchumi, na kijamii. Wanafunzi wamekatwa asilimia 15 ya mikopo kinyume na mikataba, nyongeza za mishahara (haki za mtumishi) hazipo, manyanyaso mengi ktk jamii yote madogo, Lisu mchochezi mawakili kibao az if mwenyewe asingeweza kuisaidia mahakama kutenda haki, huyu naye kaguswa tena kwa nia njema ya utekelezaji wa majukumu ya kazi, mawakili 30. Hapo tu ndo penye shida.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtapasuka mwaka huu Poleni sana... LISU na wanachama wako wa TLS endeleeni kukaza VYUMA
...wameanza kuwaelewa !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom