Wanasheria wa Yanga walisomea wapi?

Wanasheria wa Yanga walisomea wapi?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,969
Niko Open University nasomea sheria huu mwaka wa saba sijagraduate

Pamoja na ukilaza wangu nilishangaa Yanga walipoenda CAF kulalamikia goli la Aziz Ki kule South Africa,na ishu ya derby ya Simba kuipeleka CAS

Bado kesi za madai kwa wachezaji na makocha wanaoachana nao kienyeji.zote huwa wanashindwa

Kama wanasheria sio vilaza basi viongozi ni wahuni

Jitafakarini.
 
Niko Open University nasomea sheria huu mwaka wa saba sijagraduate

Pamoja na ukilaza wangu nilishangaa Yanga walipoenda CAS kulalamikia goli la Aziz Ki kule southna ishu ya derby ya Simba

Bado kesi za madai kwa wachezaji na makocha wanaoachana nao

Kama wanasheria sio vilaza basi viongozi ni wahuni
Kwa vile bado unasoma, hujakamilika kujadili maswala ya kisheria. Kuhusu goli la Aziz Ki, barua ya Yanga haikuwa inalalamika na wala haikupelekwa CAS bali ilipelekwa CAF kuregister dissatisfaction yao na usimamizi wa mchezo huo, na wala hawakusema matokeo yabadilishwe.

Kesi ya sasa iliyoko CAS inatokana na Yanga kuamini kuwa msimamizi mkuu wa mpira hapa Tanzania kashindwa kusimamia mchezo huo kwa haki.

Kwa vile hujamaliza undergraduate, kazana umalize shule kwanza. Mambo ya undegrdauate isiyalete hapa.
 
Niko Open University nasomea sheria huu mwaka wa saba sijagraduate

Pamoja na ukilaza wangu nilishangaa Yanga walipoenda CAS kulalamikia goli la Aziz Ki kule southna ishu ya derby ya Simba

Bado kesi za madai kwa wachezaji na makocha wanaoachana nao

Kama wanasheria sio vilaza basi viongozi ni wahuni
RUssia
 
Kwa vile bado unasoma, hujakamilika kujadili maswala ya kisheria. Kuhusu goli la Aziz Ki, barua ya Yanga haikuwa inalalamika na wala haikupelekwa CAS bali ilipelekwa CAF kuregister dissatisfaction yao na usimamizi wa mchezo huo, na wala hawakusema matokeo yabadilishwe.

Kesi ya sasa iliyoko CAS inatokana na Yanga kuamini kuwa msimamizi mkuu wa mpira hapa Tanzania kashindwa kusimamia mchezo huo kwa haki.

Kwa vile hujamaliza undergraduate, kazana umalize shule kwanza. Mambo ya undegrdauate isiyalete hapa.
Hayo malalamiko na hiyo appeal ilikuwa haimake sense hata bushlawyer angeona hapa hakuna msingi wa malalamiko
Otherwise tuamini pale wenye akili ni wawili tu
 
Niko Open University nasomea sheria huu mwaka wa saba sijagraduate

Pamoja na ukilaza wangu nilishangaa Yanga walipoenda CAS kulalamikia goli la Aziz Ki kule southna ishu ya derby ya Simba

Bado kesi za madai kwa wachezaji na makocha wanaoachana nao

Kama wanasheria sio vilaza basi viongozi ni wahuni
IMG-20250501-WA0091.jpg

IMG-20250501-WA0090.jpg


Mkeka huo hapo kutoka CAS
 
Upewe ww hy kazi sasa
Mimi naamini tatizo ni uhuni waviongozi kuwapumbaza mashabiki.hakuna mwanasheria mjinga hivyo
Hiyo kazi siiwezi lakini kuna tatizo hata asiyejua sheria analiona
 
Kwa vile bado unasoma, hujakamilika kujadili maswala ya kisheria. Kuhusu goli la Aziz Ki, barua ya Yanga haikuwa inalalamika na wala haikupelekwa CAS bali ilipelekwa CAF kuregister dissatisfaction yao na usimamizi wa mchezo huo, na wala hawakusema matokeo yabadilishwe.

Kesi ya sasa iliyoko CAS inatokana na Yanga kuamini kuwa msimamizi mkuu wa mpira hapa Tanzania kashindwa kusimamia mchezo huo kwa haki.

Kwa vile hujamaliza undergraduate, kazana umalize shule kwanza. Mambo ya undegrdauate isiyalete hapa.
Hebu mtutolee kelele zenu yani mnajiona nyie ndo mnahaki sana kwny kuhairishwa kwa derby..ila hamuoni kabisa sabb ya simba ya kusema haitacheza mpk watolee ufafanuzi wa wale mabaunsa unga unga waliozuia basi kuingia...ila mnajua mnachekesha sana...
Ndo maana kesi zote chalii
No reasoning at all
 
Hebu mtutolee kelele zenu yani mnajiona nyie ndo mnahaki sana kwny kuhairishwa kwa derby..ila hamuoni kabisa sabb ya simba ya kusema haitacheza mpk watolee ufafanuzi wa wale mabaunsa unga unga waliozuia basi kuingia...ila mnajua mnachekesha sana...
Ndo maana kesi zote chalii
No reasoning at all
CAS imewaambia wasipocheza wapokwe point mpaka mwiko utoke nyuma
 
Ukiachilia mbali wanasheria wao kuwa mazuzu , Mashabiki wao ndiyo mazuzu zaid sababu huwa wanashupalia na kukaza shingo kwa vitu visivyowezekana
 
Ukiachilia mbali wanasheria wao kuwa mazuzu , Mashabiki wao ndiyo mazuzu zaid sababu huwa wanashupalia na kukaza shingo kwa vitu visivyowezekana
Mzungu alishasema wenye akili kule wawili tu
 
Hivi inamaana club nzima hakuna washauri jamani wa kuwaongoza maana hii ni aibu kwa taasisi...
 
"Kwa kuzingatia yaliyotajwa hapo juu, rufaa iliyowasilishwa na Klabu ya Michezo ya Young Africans itahesabiwa kuwa imeondolewa, na mchakato wa kesi CAS 2025/A/11298 Young Africans Sports Club dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania na Klabu ya Simba utasitishwa na kufutwa kwenye orodha ya kesi za CAS."



Tafsiri isiyokuwa rasmi
 
Back
Top Bottom