mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,969
Niko Open University nasomea sheria huu mwaka wa saba sijagraduate
Pamoja na ukilaza wangu nilishangaa Yanga walipoenda CAF kulalamikia goli la Aziz Ki kule South Africa,na ishu ya derby ya Simba kuipeleka CAS
Bado kesi za madai kwa wachezaji na makocha wanaoachana nao kienyeji.zote huwa wanashindwa
Kama wanasheria sio vilaza basi viongozi ni wahuni
Jitafakarini.
Pamoja na ukilaza wangu nilishangaa Yanga walipoenda CAF kulalamikia goli la Aziz Ki kule South Africa,na ishu ya derby ya Simba kuipeleka CAS
Bado kesi za madai kwa wachezaji na makocha wanaoachana nao kienyeji.zote huwa wanashindwa
Kama wanasheria sio vilaza basi viongozi ni wahuni
Jitafakarini.