Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

Yule mbwa amelala kwenye udongo maporini kaacha taifa ujinga wake unatusumbua @#$#&@++#+@# kabisa, na mbwa wenzake walikuwa wanashangilia
 
Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini.

Daa inauma Sana aisee
---

Mapendekezo au hoja mbili kati ya tatu ilizowasilishwa na Tanzania kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) yamepigwa chini.

Serikali iliwasilisha hoja hizo baada ya ICSID, Julai 2023 kutoa hukumu, hivyo walitaka Mahakama hiyo kufuta hukumu inayoelekeza kulipa fidia ya Dola 109 milioni za Marekani (Sh272 bilioni) kampuni ya Indiana Resources (IDA).

Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa ya ICSID hela hiyo imefikia Dola za Marekani 112.9 milioni (Sh282 bilioni) pamoja na gharama za ziada za Dola 4.2 milioni (Sh10.5 bilioni) ambayo ni jumla ya zaidi ya Sh292 bilioni.

Kwa mujibu wa hukumu hiyo riba ya Dola za Marekani milioni moja (Sh2.5 bilioni) itaongezeka kila mwezi hadi Tanzania itakapolipa kiasi hicho au Indiana itakapozuia mali ya Tanzania itakayoendana na thamani ya madai hayo.

Desemba 2023, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania alitoa barua ya uthibitisho kwa ICSID kwamba Tanzania ingelipa bila masharti na bila kubatilishwa kiasi chote cha fedha hiyo ndani ya siku 45 baada ya uamuzi wa mwisho wa kubatilisha. Hata hiyo ni takribani miezi miwili sasa tangu hilo litokee.

Mapitio ya Tanzania kubatilisha kesi yatafanywa Machi 15, 2024 na wadai kujibu Aprili 26, 2024. Kisha kila upande utakuwa na majibu yao mtawalia.

Mei 24, 2024 na Juni 21, 2024 kutakuwa na mkutano wa pamoja wa wiki tatu kabla ya tarehe ya mwisho ya maamuzi.

Mwananchi
Je, hizo bilioni 300 zikilipwa je, hiyo kampuni ya indiana Jones itaendelea na shughuli zake za kuchimba madini nchini au itafutiwa kibali chake moja kwa moja?

Umefika wakati sasa wa serikali kuajiri wataalam wa kushauri masuala kama ya mikataba khasa wa kutoka katika nchi zenye uzoefu wa masuala ya madini kama Botswana.
 
Mahakama zao

Walalamikaji wao?

What else .
Hilo ni tatizo na ni jukumu la serikali kuwa makini itungapo sheria kama za madini kwani hizi kampuni nyingi zina watu wazito nyuma yake na hata maslahi ya nchi husika.

Ukisikia kampuni yatoka Canada, Australia UK na US ni lazima watu wa TISS (rejea mada yangu ya mapendekezo ya kuifanyia mabadiliko TISS, soma hapa: Mapendekezo: Serikali ipitie upya Sheria ya Usalama wa Taifa na TISS iundwe upya kwa maslahi ya taifa ) wawe wametayarisha report nzuri (kupitia idara ya intelligensia ya nje) yenye kuweza kukupa mwanga kabla hujatoa maamuzi makubwa.

Kwa kuwa hayati Magufuli alikuwa na nia njema ya kulinda rasilimali na maslahi ya nchi, lakini alipaswa kuangalia matokeo ya maamuzi yake "ramifications" na pia kutengeneza jopo zuri la washauri ambao wana uzoefu wa kimataifa wataotengeneza "mitigations" dhidi ya matishio yoyote ya kushtakiwa huko nje.
 
Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini.

Daa inauma Sana aisee
---

Mapendekezo au hoja mbili kati ya tatu ilizowasilishwa na Tanzania kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) yamepigwa chini.

Serikali iliwasilisha hoja hizo baada ya ICSID, Julai 2023 kutoa hukumu, hivyo walitaka Mahakama hiyo kufuta hukumu inayoelekeza kulipa fidia ya Dola 109 milioni za Marekani (Sh272 bilioni) kampuni ya Indiana Resources (IDA).

Hata hivyo kwa mujibu wa taarifa ya ICSID hela hiyo imefikia Dola za Marekani 112.9 milioni (Sh282 bilioni) pamoja na gharama za ziada za Dola 4.2 milioni (Sh10.5 bilioni) ambayo ni jumla ya zaidi ya Sh292 bilioni.

Kwa mujibu wa hukumu hiyo riba ya Dola za Marekani milioni moja (Sh2.5 bilioni) itaongezeka kila mwezi hadi Tanzania itakapolipa kiasi hicho au Indiana itakapozuia mali ya Tanzania itakayoendana na thamani ya madai hayo.

Desemba 2023, Mwanasheria Mkuu wa Tanzania alitoa barua ya uthibitisho kwa ICSID kwamba Tanzania ingelipa bila masharti na bila kubatilishwa kiasi chote cha fedha hiyo ndani ya siku 45 baada ya uamuzi wa mwisho wa kubatilisha. Hata hiyo ni takribani miezi miwili sasa tangu hilo litokee.

Mapitio ya Tanzania kubatilisha kesi yatafanywa Machi 15, 2024 na wadai kujibu Aprili 26, 2024. Kisha kila upande utakuwa na majibu yao mtawalia.

Mei 24, 2024 na Juni 21, 2024 kutakuwa na mkutano wa pamoja wa wiki tatu kabla ya tarehe ya mwisho ya maamuzi.

Mwananchi
wanaotuwamisha Ni wakuu wa chama chako wanaoteua mabumunda, matapeli na mazwazwa kusimamia sehemu nyeti.
ChoiceVariable hamia Chadema upate Raha.
 
Hilo ni tatizo na ni jukumu la serikali kuwa makini itungapo sheria kama za madini kwani hizi kampuni nyingi zina watu wazito nyuma yake na hata maslahi ya nchi husika.

Ukisikia kampuni yatoka Canada, Australia UK na US ni lazima watu wa TISS (rejea mada yangu ya mapendekezo ya kuifanyia mabadiliko TISS, soma hapa: Mapendekezo: Serikali ipitie upya Sheria ya Usalama wa Taifa na TISS iundwe upya kwa maslahi ya taifa ) wawe wametayarisha report nzuri (kupitia idara ya intelligensia ya nje) yenye kuweza kukupa mwanga kabla hujatoa maamuzi makubwa.

Kwa kuwa hayati Magufuli alikuwa na nia njema ya kulinda rasilimali na maslahi ya nchi, lakini alipaswa kuangalia matokeo ya maamuzi yake "ramifications" na pia kutengeneza jopo zuri la washauri ambao wana uzoefu wa kimataifa wataotengeneza "mitigations" dhidi ya matishio yoyote ya kushtakiwa huko nje.
Hata uwe makini kiasi gani hutaweza shinda kama mahakama ni zao.

Kwa kutambua hilo ndio maana awamu ya tano ikaja na sheria ya kulinda rasilimali za nchi kwa kuweka kifungu kinachosema mashauri yote yanahohusiana ma rasilimali za nchi lazima yasikilizwe katika mahakama za hapa nyumbani.
Ila kwa upofu awamu hii ya sita wameifuta hicho kifungu cha sheria kwa mashinikizo ya mabeberu na walioleta haya yote ni DP world.

Ndio utajua namna tusivyo na viongozi wanajali maslahi ya taifa.

Jambo lililofanyika na awamu ya sita ni baya mno ambalo kama watu wangekuwa serious uongozi huu ungetakiwa kujiuzulu.
 
Shida ya huyu poyoyo ChoiceVariable ni mod maana akiamua ku quote post yako hata ukimuweka kwenye ignore list he can do that as he/she wishes,

Ila ni level za hakina babalevo kwenye kichwa chake kalishwa chuki na Magufuli bila ya kuelewa huyo mtu what he stood for.

Matokeo yake analalamikia upuuzi ule-ule ambao ulikuwa ugomvi wa Magufuli. Ukimueleza sasa huu si ndio ulikuwa ugomvi wa marehemu atakwambia sio yule alikuwa gaidi and nonsense to do na uwezo wake mdogo.

Personal I had put this idiot on my ignore list I don’t know how due to his to his/her moderato-ration acrobats I am seeing this.

Ndio kama hii kesi ukisoma hoja za mtu kama JokaKuu yeye ana mlaumu Magufuli tu kufuta mkataba but no legal arguments hata kupitia ICSD argument za claimant kwanini tulikosea (like seriously) if you are gonna blame the government at least use their weak arguments to justify your position,

Ile sio kesi ya kushindwa hata kwa mtu aliepitia module tu ya law of contract ulaya ya diploma (huko ndio wana cover in depth), mtu ambae kasoma law of contract kwenye degree hana research pana kama kwenye diploma ya business management on the same topic

And it varies kila chuo Mwalimu anachagua what to cover.

Mie nime sikiliza ile kesi (up to point of defence argument became unbearable just stupid) Ila sio ya kushindwa Tanzania; shida ni kwamba wanasheria hawana uwezo tu.

Indiana ni public listed company sioni watanzania kuhusika kuhujumu hiyo kesi ni kwamba wanasheria wetu hawana uwezo tu.

Kama walishindwa kuelewa IGA wachangiaji wa hoja kutoka kwenye hiyo taasisi includes jopo la wataalamu wa hiyo taasisi yenu sijui gani ya wanasheria, pamoja na previous presidents kama Lissu, Fatma Karume, Nshala, Shivji and other nonsense; michango ya wale inaweza kupigiwa makofi Tanzania. Ila ni watu ambao uwezo ni mdogo sana kwenye mikataba ya kibiashara and this why you loose.

Ile sio kesi ya kushindwa mimi, sishindwi ile kesi ya Indiana believe or not; na kama kuna watu wanajua contract law humu na wenye uwezo wa kudadavua mambo basi Lissu, Nshala, Shivji, Feleshi, Msabdo, Mayala, wanasheria wa serikali wote awashindi kesi na mimi; Tanzania labda Shadrack (don’t know who this guy is) Ila anauelewa mpana wa maswala ya kesi za biashara.

So acheni kumlaumu Magufuli kwa kesi mnazopeleka vilaza kutetea. Kipi bora ulipe billion 300 au umpe mmbongo mwenzio ata nusu billion atumie muda wake kudadavua hiyo kesi akupe defence lines.

Shida sio Magufuli, ila uwezo mdogo wa wanasheria.
 
Hata uwe makini kiasi gani hutaweza shinda kama mahakama ni zao.

Kwa kutambua hilo ndio maana awamu ya tano ikaja na sheria ya kulinda rasilimali za nchi kwa kuweka kifungu kinachosema mashauri yote yanahohusiana ma rasilimali za nchi lazima yasikilizwe katika mahakama za hapa nyumbani.
Ila kwa upofu awamu hii ya sita wameifuta hicho kifungu cha sheria kwa mashinikizo ya mabeberu na walioleta haya yote ni DP world.

Ndio utajua namna tusivyo na viongozi wanajali maslahi ya taifa.

Jambo lililofanyika na awamu ya sita ni baya mno ambalo kama watu wangekuwa serious uongozi huu ungetakiwa kujiuzulu.

..mbona aliposaini mkataba na mabwana zake wa barrick alikubali kesi zikasikilizwe nje ya nchi?
 
Shida ya huyu poyoyo ChoiceVariable ni mod maana akiamua ku quote post yako hata ukimuweka kwenye ignore list he can do that as he/she wishes,

Ila ni level za hakina babalevo kwenye kichwa chake kalishwa chuki na Magufuli bila ya kuelewa huyo mtu what he stood for.

Matokeo yake analalamikia upuuzi ule-ule ambao ulikuwa ugomvi wa Magufuli. Ukimueleza sasa huu si ndio ulikuwa ugomvi wa marehemu atakwambia sio yule alikuwa gaidi and nonsense to do na uwezo wake mdogo.

Personal I had put this idiot on my ignore list I don’t know how for some and his moderators acrobats I am seeing this.

Ndio kama hii kesi ukisoma hoja za mtu kama JokaKuu yeye ana mlaumu Magufuli tu kufuta mkataba but no legal arguments hata kupitia ICSD argument za claimant kwanini tulikosea (like seriously) if you are gonna blame the government at least use their weak arguments.

Ile sio kesi ya kushindwa hata kwa mtu aliepitia module tu ya law of contract ulaya ya diploma (huko ndio wana cover in depth), mtu ambae kasoma law of contract kwenye degree hana research pana kama kwenye diploma ya business management on the same topic

And it varies kila chuo Mwalimu anachagua what to cover.

Mie nime sikiliza ile kesi sio ya kushindwa Tanzania; shida ni kwamba wanasheria hawana uwezo tu.

Indiana ni public listed company sioni watanzania kuhusika kuhujumu hiyo kesi ni kwamba wanasheria wetu hawana uwezo tu.

Kama walishindwa kuelewa IGA wachangiaji wa hoja kutoka kwenye hiyo taasisi includes jopo la wataalamu wa hiyo taasisi yenu sijui gani ya wanasheria, pamoja na previous presidents kama Lissu, Fatma Karume, Nshala, Shivji and other nonsense; michango ya wale inaweza kupigiwa makofi Tanzania. Ila ni watu ambao uwezo ni mdogo sana kwenye mikataba ya kibiashara and this why you loose.

Ile sio kesi ya kushindwa mimi, sishindwi ile kesi ya Indiana believe or not; na kama kuna watu wanajua contract law humu na wenye uwezo wa kudadavua mambo basi Lissu, Nshala, Shivji, Feleshi, Msabdo, Mayala, wanasheria wa serikali wote awashindi kesi na mimi; Tanzania labda Shadrack (don’t know who this guy is) Ila anauelewa mpana wa maswala ya kesi za biashara.

So acheni kumlaumu Magufuli kwa kesi mnazopeleka vilaza kutetea. Kipi bora ulipe billion 300 au umpe mmbongo mwenzio ata nusu billion atumie muda wake kudadavua hiyo kesi akupe defence lines.

Shida sio Magufuli, ila uwezo mdogo wa wanasheria.
We nyumbu Mayor Quimby ulitangaza kusepa jf ,naona umerudi kuandika pumba zako Kwa Kasi.😁😁
 
ChoiceVariable bila ya wewe kufanya miujuza yako specifically only you know how to kwa kutumia ID ya Faana ili niisome hii mada na kuchangia nisingeona huu ujinga wako ninapo log in because you are ignored on my list.

Like I have always told you wewe umelishwa visenti tu hujui unasimamia nini.

Magufuli was great kwa taifa Ila kuna wasaidizi wake walikuwa washamba as JF addicts tunaelewa misuko suko aliyopitia Max (na tunampa pole) aikuwa rahisi kwakwe kipindi kile hasa miaka ya mwanzo kabla Magufuli kuwa comfortable kwenye uraisi Melo alipitia kipindi kigumu we get that.

Lakini aina maana kila kitu alichofanya Magufuli for national interest kilikuwa ovyo.

Hizo kesi nchi aishindwi kwa sababu yalikuwa maamuzi ya hovyo (kama unavyokerekwa) ni kwamba wanasheria wetu hawana uwezo hapo ndio kwenye tatizo.

And you’re not gonna come off my ignore list, because deep down you’re pathetic like I have always told you.
 
ChoiceVariable bila ya wewe kufanya miujuza yako specifically only you know how to kwa kutumia ID ya Faana ili niisome hii mada na kuchangia nisingeona huu ujinga wako ninapo log in because you are ignored on my list.

Like I have always told you wewe umelishwa visenti tu hujui unasimamia nini.

Magufuli was great kwa taifa Ila kuna wasaidizi wake walikuwa washamba as JF addicts tunaelewa misuko suko aliyopitia Max (na tunampa pole) aikuwa rahisi kwakwe kipindi kile hasa miaka ya mwanzo kabla Magufuli kuwa comfortable kwenye uraisi Melo alipitia kipindi kigumu we get that.

Lakini aina maana kila kitu alichofanya Magufuli for national interest kilikuwa ovyo.

Hizo kesi nchi aishindwi kwa sababu yalikuwa maamuzi ya hovyo (kama unavyokerekwa) ni kwamba wanasheria wetu hawana uwezo hapo ndio kwenye tatizo.
Acha ujinga wewe mbuzi Faana ndio nani?
 
..mbona aliposaini mkataba na mabwana zake wa barrick alikubali kesi zikasikilizwe nje ya nchi?
Huwezi acha ilaumu awamu ya sita kwa kufanya mambo yenye kuhatarisha rasilimali zetu.

Wapinzani mnaiunga mkono awamu hii inayofanya mambo mabaya na ya hatari kwa rasilimali zetu.

Nyie ndio mnaoongoza kwa kuimba kuwa anaupiga mwingi na kuingia nao maridhiano, hivyo kwa hili na nyie mnawajibika.
 
ChoiceVariable see the difference I know more about the system set up than you do (ulie part of it).

Mie sio wa mchezo mchezo nina kichwa kinachochemka kweli kweli.

You are on my ignore list, ujiulizi unawezaje kuni quote? Only you have the powers to change the settings.

Sijaja kwenye hii mada kujizibana na poyoyo kama wewe I know you are very limited knowledgeably na wala huijui CCM zaidi ya kucheza chawa tu.

Hoja hapa ilikuwa ni kesi ya Indiana humo kuna arguments za::
Lupa Golf field (unajua hata ilipo au kama ina yield ya tsh 300 billion).
Wanadai IFC instrument ya $7.2 million
Kupewa retention licence (kama sehemu yao ya madai)
Kuna Buffer Tanzania Ltd change of names kifissdi za kampuni ndani ya Tanzania.
Unaufahamu wa licence za madini zinazotolewa Tanzania na hao wadai walipewa ipi. And it’s duration ya kufanya exploration.

To name a few of the matters ndio maana ukatumia njia uzijuazo ili nichabgie mada yako, because you know I am for real.

Na Hiyo sio kesi ya kushindwa, ila hao watu ni vilaza tu kama wewe.

Kuna sijui TTL migogoro ya walikuwa na licence gani ya retention, prospecting au mining na zote zina muda; mind you Indiana wamerithi tu hiyo mikataba.

Mimi sio wa uwezo wako pound to pound; muulize Jakaya Kikwete atakwambia tumeshatuma watu harudi tumpe kazi mpaka tumechoka.

Hiyo sio kesi ya kushindwa sema mna wanasheria vilaza kama mods wa JF kama wewe; it takes a lot to full. I am actually very very clever.

99% ya wachangiaji wa hiyo case you don’t even what’s it’s about. Hao ndio watanzania zaidi ya kusema Magufuki hafai au kusingizia watu serikalini wanahujumu.

Hamjui hata Indiana ni public listed company Australia, hamjui shareholders; basically you people are just ignorant (kuna wazee wengine huwa wanakereka nikiwa naandika hivi sina adabu) but the. how do you address nonsense beyond.

Hawa watu uki wauliza what mining licence is deputed in the court kati ya Tanzania na Indiana wote waliochangia hii mada they can’t tell you.

Sasa kuna jina gani lingine la kuwaita watu wa hii zaidi ya neno wajinga, Kama ata elementary cause of dispute hawajui ndio watu kujadili kesi kesi kweli.

Just pathetic people, huo ndio ukweli wenyewe.
 
Magufuli ametuachia shida kubwa, kuvunja mikataba kibabe sasa yako wapi.
Taja hoja ya contract breach Indian waliyopeleka ICSD, justification yao ya madai ya tsh 300 kama ni halali based on breach and lost of initial investment.

Hizo kesi mnashindwa kwa sababu mnawaza ngono, mnabeba vimada wa kwenda nao NY wakuwaburudisha, mnabebana marafiki, mnakariri lines of defence badala ya kuelewa msingi wake kwa mapana. Jamaa wakiwa wa twist kidogo kwenye maswali nje ya kukariri kasheshe.

Lipeni hayo madeni kwa uzembe wenu.

Like seriously kama mmeshindwa kuelewa mantiki ya kitu chepesi kama IGA hiyo nchi aiwezi kushinda kesi ya mkataba nje ya Tanzania,

Narudia tena ni mimi ndio niliestua nchi hatuna mkataba wa kukadhia kesi na Sourh Africa ndio wakaenda na hiyo argument. Ile ilikuwa rahisi haya mengine ni technical arguments Ila kwa kile nilichokiona ICSD shida ni uwezo mdogo wa ku-argue
 
Taja hoja ya contract breach Indian waliyopeleka ICSD, justification yao ya madai ya tsh 300 kama ni halali based on breach and lost of initial investment.

Hizo kesi mnashindwa kwa sababu mnawaza ngono, mnabeba vimada wa kwenda nao NY wakuwaburudisha, mnabebana marafiki, mnakariri lines of defence badala ya kuelewa msingi wake kwa mapana. Jamaa wakiwa wa twist kidogo kwenye maswali nje ya kukariri kasheshe.

Lipeni hayo madeni kwa uzembe wenu.

Like seriously kama mmeshindwa kuelewa mantiki ya kitu chepesi kama IGA hiyo nchi aiwezi kushinda kesi ya mkataba nje ya Tanzania,

Narudia tena ni mimi ndio niliestua nchi hatuna mkataba wa kukadhia kesi na Sourh Africa ndio wakaenda na hiyo argument. Ile ilikuwa rahisi haya mengine ni technical arguments Ila kwa kile nilichokiona ICSD shida ni uwezo mdogo wa ku-argue
Mkuu, tatizo hilo la ( incompetent legal experts and advisers) ndilo ambalo huko nje wameligundua na watahakikisha they dwell in perpendicularly.

Pili, serikali au taasisi nyingi za nje huwa (interested) kufahamu how the incoming government work mechanism assert itself na huwa tayari kukabiliana nayo.

From day one serikali ya awamu ya tano ambayo ilikuwa assessed tangu kampeni na kufanyiwa thorugh analysis, haikuwa kazi ngumu kutengeneza kesi ambazo zatumia technical terms and subjugation phrases
to keep out wanasheria wetu.

Sasa tumebadili sheria zilezile (kuanzia 2017) ili kuwapa room DP world lakini hapohapo kumetengenezwa mazingira ya kuhakikisha twatolewa fedha zaidi jambo ambalo laingia katika vile vitendo vya economic hitmen ambao siku zote huwa karibu na eneo la tukio.
 
Mkuu, tatizo hilo la ( incompetent legal experts and advisers) ndilo ambalo huko nje wameligundua na watahakikisha they dwell in perpendicularly.

Pili, serikali au taasisi nyingi za nje huwa (interested) kufahamu how the incoming government work mechanism assert itself na huwa tayari kukabiliana nayo.

From day one serikali ya awamu ya tano ambayo ilikuwa assessed tangu kampeni na kufanyiwa thorugh analysis, haikuwa kazi ngumu kutengeneza kesi ambazo zatumia technical terms and subjugation phrases
to keep out wanasheria wetu.

Sasa tumebadili sheria zilezile (kuanzia 2017) ili kuwapa room DP world lakini hapohapo kumetengenezwa mazingira ya kuhakikisha twatolewa fedha zaidi jambo ambalo laingia katika vile vitendo vya economic hitmen ambao siku zote huwa karibu na eneo la tukio.

..kwa hiyo mnataka kusema Prof.Kabudi na Prof.Kilangi ni vilaza?

..kwanini msiwaelimishe wasomaji kuhusu utaratibu unaotumika ICSD ili kila mmoja aje ukweli uko wapi?
 
Taja hoja ya contract breach Indian waliyopeleka ICSD, justification yao ya madai ya tsh 300 kama ni halali based on breach and lost of initial investment.

Hizo kesi mnashindwa kwa sababu mnawaza ngono, mnabeba vimada wa kwenda nao NY wakuwaburudisha, mnabebana marafiki, mnakariri lines of defence badala ya kuelewa msingi wake kwa mapana. Jamaa wakiwa wa twist kidogo kwenye maswali nje ya kukariri kasheshe.

Lipeni hayo madeni kwa uzembe wenu.

Like seriously kama mmeshindwa kuelewa mantiki ya kitu chepesi kama IGA hiyo nchi aiwezi kushinda kesi ya mkataba nje ya Tanzania,

Narudia tena ni mimi ndio niliestua nchi hatuna mkataba wa kukadhia kesi na Sourh Africa ndio wakaenda na hiyo argument. Ile ilikuwa rahisi haya mengine ni technical arguments Ila kwa kile nilichokiona ICSD shida ni uwezo mdogo wa ku-argue
Mkuu Quimby input yako inahitajika sana. Unaweza wakilisha mchango wako kwa AG ama CG kwa njia ya email ama barua. Ikishindikana vyote ivyo kuna room ya kupakua humu jamvini na wengi wakapata hayo madini.
 
Back
Top Bottom