Benki Kuu (BoT) yadai kuna watu wameficha dola

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
1708447847181.png
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema nchi haina uhaba wa dola, bali baadhi ya watu wamezihifadhi wakitarajia bei itapanda, ikisisitiza hakutakuwa na ongezeko hilo kutokana na hatua za ndani na nje zinazochukuliwa katika kuimarisha upatikanaji wake.

Imezitaja hatua hizo zinajumuisha uamuzi wa Marekani kulegeza masharti ya riba kwenye masoko yake ya fedha, kupungua kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia na ya nchini na kuendelea kutoa bei elekezi na kufuatilia kwa karibu sekta ya fedha nchini.

Meneja Msaidizi Utafiti wa BoT, Dk. Lusajo Mwankemwa, amebainisha hayo alipotoa mada kuhusu majukumu ya taasisi hiyo benki hiyo wakati wa semina kwa waandishi wa habari, ambao walitaka kujua hatua zinazochukuliwa kuimarisha upatikanaji dola nchini.

"BoT tunajua na tunaona dola zipo ila ni ngumu kukufuata kutaka tuchukue dola nyumbani kwako, mimi (BoT) nitasema dola moja ni kiasi hiki (bei elekezi).

"Siwezi kuja nyumbani kwako wewe uliyezihifadhi nikikwambie lazima kuuza kwa bei hii, BoT jukumu lake ni kutoa mwongozo wa kuhakikisha bidhaa hiyo inapatikanaje," amesema.

Pia soma:

- BoT: Mnaoshikilia Dola mziweke sokoni kwenye mfumo rasmi
 
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema nchi haina uhaba wa dola, bali baadhi ya watu wamezihifadhi wakitarajia bei itapanda, ikisisitiza hakutakuwa na ongezeko hilo kutokana na hatua za ndani na nje zinazochukuliwa katika kuimarisha upatikanaji wake.

Imezitaja hatua hizo zinajumuisha uamuzi wa Marekani kulegeza masharti ya riba kwenye masoko yake ya fedha, kupungua kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia na ya nchini na kuendelea kutoa bei elekezi na kufuatilia kwa karibu sekta ya fedha nchini.

Meneja Msaidizi Utafiti wa BoT, Dk. Lusajo Mwankemwa, amebainisha hayo alipotoa mada kuhusu majukumu ya taasisi hiyo benki hiyo wakati wa semina kwa waandishi wa habari, ambao walitaka kujua hatua zinazochukuliwa kuimarisha upatikanaji dola nchini.

"BoT tunajua na tunaona dola zipo ila ni ngumu kukufuata kutaka tuchukue dola nyumbani kwako, mimi (BoT) nitasema dola moja ni kiasi hiki (bei elekezi).

"Siwezi kuja nyumbani kwako wewe uliyezihifadhi nikikwambie lazima kuuza kwa bei hii, BoT jukumu lake ni kutoa mwongozo wa kuhakikisha bidhaa hiyo inapatikanaje," amesema.

Pia soma:
- BoT: Mnaoshikilia Dola mziweke sokoni kwenye mfumo rasmi

Mtu anaficha vipi pesa zake?

Si mseme tu gharama za viongozi na misafara yao ndani na nje ya nchi zinaifilisi nchi?
 
(๐ˆ๐ฆ๐ž๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐๐š ๐’๐š๐ฅ๐จ๐ฆ๐ž ๐Š๐ข๐ญ๐จ๐ฆ๐š๐ซ๐ข)

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema nchi haina uhaba wa dola, bali baadhi ya watu wamezihifadhi wakitarajia bei itapanda, ikisisitiza hakutakuwa na ongezeko hilo kutokana na hatua za ndani na nje zinazochukuliwa katika kuimarisha upatikanaji wake.

Imezitaja hatua hizo zinajumuisha uamuzi wa Marekani kulegeza masharti ya riba kwenye masoko yake ya fedha, kupungua kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia na ya nchini na kuendelea kutoa bei elekezi na kufuatilia kwa karibu sekta ya fedha nchini.

Meneja Msaidizi Utafiti wa BoT, Dk. Lusajo Mwankemwa, amebainisha hayo alipotoa mada kuhusu majukumu ya taasisi hiyo benki hiyo wakati wa semina kwa waandishi wa habari, ambao walitaka kujua hatua zinazochukuliwa kuimarisha upatikanaji dola nchini.

"BoT tunajua na tunaona dola zipo ila ni ngumu kukufuata kutaka tuchukue dola nyumbani kwako, mimi (BoT) nitasema dola moja ni kiasi hiki (bei elekezi).

NIPASHE
 
Huu ni uwongo wa makusudi na kujichanganya!

Dollar ni pesa kama zilivyo pesa zingine, niifiche nyumbani kwangu ili niishije sasa na ukata uliopo?

Wanazificha ili iwe faida gani kwao

Kama soko la wanaobadirisha Dollar kuwa shilingi halipo na wadau hakuna, jua dollar haipo na haiingii nchini

Kama hao wa kubadirisha tu hawapo, hao wafanyabiashara wa Dollar wanaficha zipi na zinazotoka wapi?
 
... kwamba kuna watu wanaichezea serikali? Kwamba wanatuambia nini? Ule mkono mrefu wa serikali haupo siku hizi au?

Wao wakilialia sisi wananchi tufanyeje? Wachukue hatua waache siasa nyepesi!
 
Benki Kuu yasema Tanzania haina upungufu


View: https://m.youtube.com/watch?v=GlUgSu-zBMA&pp=ygUcVXB1bmd1ZnUgd2EgZmVkaGEgemEga2lnZW5pIA%3D%3D
  • Akiba ya fedha za kigeni ni himilivu
  • Itanunua dhahabu ili itumike kutunisha akiba ya dola za kimerakani
  • Serikali kuongeza msukumo wa uzalishaji wa Mazao na bidhaa nyingi za ndani kuuzwa nje ili kuleta fedha za kigeni
  • Serikali na sekta binafsi kuzalisha bidhaa mbadala ya zile zinazoangizwa toka nje ili kupunguza kuagiza kutoka nje
  • Thathimini endelevu ya ripoti ya Benki Kuu inaona mwenendo wa kiuchumi wa dunia, inaonesha uchumi wa dunia kuelekea kuimarika zaidi kuanzia mwezi Agosti 2023 hivyo kutaondoa upungufu wa fedha za kigeni
 
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema nchi haina uhaba wa dola, bali baadhi ya watu wamezihifadhi wakitarajia bei itapanda, ikisisitiza hakutakuwa na ongezeko hilo kutokana na hatua za ndani na nje zinazochukuliwa katika kuimarisha upatikanaji wake.

Imezitaja hatua hizo zinajumuisha uamuzi wa Marekani kulegeza masharti ya riba kwenye masoko yake ya fedha, kupungua kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia na ya nchini na kuendelea kutoa bei elekezi na kufuatilia kwa karibu sekta ya fedha nchini.

Meneja Msaidizi Utafiti wa BoT, Dk. Lusajo Mwankemwa, amebainisha hayo alipotoa mada kuhusu majukumu ya taasisi hiyo benki hiyo wakati wa semina kwa waandishi wa habari, ambao walitaka kujua hatua zinazochukuliwa kuimarisha upatikanaji dola nchini.

"BoT tunajua na tunaona dola zipo ila ni ngumu kukufuata kutaka tuchukue dola nyumbani kwako, mimi (BoT) nitasema dola moja ni kiasi hiki (bei elekezi).

"Siwezi kuja nyumbani kwako wewe uliyezihifadhi nikikwambie lazima kuuza kwa bei hii, BoT jukumu lake ni kutoa mwongozo wa kuhakikisha bidhaa hiyo inapatikanaje," amesema.

Pia soma:
- BoT: Mnaoshikilia Dola mziweke sokoni kwenye mfumo rasmi
Kama ndo hivyo basi magufuli alikuwa sahihi kuban huu ujinga wa bureau de change.

Huwezi kuwa na ofisi au taasisi ambazo huwezi kudhibiti uendeshaji wao hasa wanapoenda kinyume na taratibu..
 
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema nchi haina uhaba wa dola, bali baadhi ya watu wamezihifadhi wakitarajia bei itapanda, ikisisitiza hakutakuwa na ongezeko hilo kutokana na hatua za ndani na nje zinazochukuliwa katika kuimarisha upatikanaji wake.

Imezitaja hatua hizo zinajumuisha uamuzi wa Marekani kulegeza masharti ya riba kwenye masoko yake ya fedha, kupungua kwa bei ya mafuta kwenye soko la dunia na ya nchini na kuendelea kutoa bei elekezi na kufuatilia kwa karibu sekta ya fedha nchini.

Meneja Msaidizi Utafiti wa BoT, Dk. Lusajo Mwankemwa, amebainisha hayo alipotoa mada kuhusu majukumu ya taasisi hiyo benki hiyo wakati wa semina kwa waandishi wa habari, ambao walitaka kujua hatua zinazochukuliwa kuimarisha upatikanaji dola nchini.

"BoT tunajua na tunaona dola zipo ila ni ngumu kukufuata kutaka tuchukue dola nyumbani kwako, mimi (BoT) nitasema dola moja ni kiasi hiki (bei elekezi).

"Siwezi kuja nyumbani kwako wewe uliyezihifadhi nikikwambie lazima kuuza kwa bei hii, BoT jukumu lake ni kutoa mwongozo wa kuhakikisha bidhaa hiyo inapatikanaje," amesema.

Pia soma:
- BoT: Mnaoshikilia Dola mziweke sokoni kwenye mfumo rasmi
Kwanini mtu afiche dola na asifiche hii ya madafu? je ni wangapi wana uwezo wa kukaa na dola majumbani kwao,tupo wengi tu wala hatujui dola ikoje au hata hatujawahi kuishika, ninavyojua TZ pesa yetu halalini TZS HAYO MAMBO YA DOLA NI YA KWENYU WENYEWE NA MABILIONEA WENU.
 
Dawa ni kupunguza matumizi ya Dola. Manunuzi kama yanafanyika Nje, basi tununue kwenye nchi ambazo hazihitaji Dola mfano China na Russia kwa baadhi ya Biashara, au popote ambapo Dola si Dili ki hivyo!!! Hao waliozificha watazitoa wenyewe!
 
Back
Top Bottom