Katiba imetoa kinga ya rais kutoshitakiwa kwa makosa atakayofanya wakati akitekeleza majukumu yake.
Sasa nawaulizeni enyi wanasheria na mnaojua sheria.
(a) Ikitokea rais akatoa amri ya kuua watu wake, hashitakiwi?
(b) Kama jibu la swali (a) ni NDIYO, hamuoni kuna hatari kwamba rais anaweza kutoa amri watu wa mkoa fulani/kanda fulani/mrengo fulani wa kisiasa wauawe?
(c) Kama jibu la swali ( a) ni HAPANA, hili agizo la rais kuwataka polisi wakiuwa wapandishwe vyeo, haliwezi kuwa kosa la kumtia hatiani na kumuondoa madarakani?
Naomba majibu ya kina ikibidi nipewe hata nukuu za katiba na vifungu vya sheria.
Sasa nawaulizeni enyi wanasheria na mnaojua sheria.
(a) Ikitokea rais akatoa amri ya kuua watu wake, hashitakiwi?
(b) Kama jibu la swali (a) ni NDIYO, hamuoni kuna hatari kwamba rais anaweza kutoa amri watu wa mkoa fulani/kanda fulani/mrengo fulani wa kisiasa wauawe?
(c) Kama jibu la swali ( a) ni HAPANA, hili agizo la rais kuwataka polisi wakiuwa wapandishwe vyeo, haliwezi kuwa kosa la kumtia hatiani na kumuondoa madarakani?
Naomba majibu ya kina ikibidi nipewe hata nukuu za katiba na vifungu vya sheria.