Wanasema tujiajiri wao mbona hawajiajiri?

Wanasema tujiajiri wao mbona hawajiajiri?

Mkuu mara nyingi sana sisi watz na waafrika kwa ujumla, Neno 'SINA MTAJI" ndio excuse kubwa ya kuhalalisha umasikini wetu. Mimi napingana kabisa na excuse hii. TATIZO LETU KUBWA ni kukosa LENGO na NJIA (plan) pamoja na UTASHI wa kufikia Lengo Hilo.
Hebu fikiria, Leo ni jumapili. Je, kuanzia j3 hadi jumamosi umetumia kiasi gani cha fedha kwenye matumizi yako ya kawaida? fedha umetoa wapi?? Huko huko ulikotoa fedha uliyotumia kuanzia jumatatu hadi leo, ndio kwenye mtaji wako, haijalishi ni kiasi kidogo kiasi gani! Wakati nasomea degree yangu ya Business Administration, mwalimu wangu alinifudisha strategy ya kuanzisha biashara ni hii "start small, think big"

Mkuu, una uhakika watu hao wanafanya matumizi yeyote kuanzia j3 hadi j2...? Watu hata hela ya kula hawana zaidi wanakula kwa wazazi ama ndugu...

Tambua tu watu wanaposema hawana mtaji ni kuwa hawana kitu kbs, japo sio wote ila karibu wote hali ndio hii...!

Sasa tunashangaa hao watoto wa vigogo badala ya kujiajiri maana wana means ya kupata mtaji ndio kwanza wanatafutiwa ajira NONO...

MI nalaumu yule ambaye yuko na ajira na akashindwa kufanya mambo mengine akabakia tu kutegemea salary...!
 
Hapo sasa... Anazingua jamaa...

Ujue ht kukopesheka wanasema hatukopesheki.... Sasa sijui jamaa anataka watu wakaokote mitaji

Mkuu kama umeweza kupata fedha ya kununulia angalau simu kama sio kompyuta au kifaa chochote kingine ulichotumia kupost hii coment, basi unaweza kupata mtaji wa biashara, basi tu hujaamua. Fanya maamuzi
 
Mkuu, una uhakika watu hao wanafanya matumizi yeyote kuanzia j3 hadi j2...? Watu hata hela ya kula hawana zaidi wanakula kwa wazazi ama ndugu...

Tambua tu watu wanaposema hawana mtaji ni kuwa hawana kitu kbs, japo sio wote ila karibu wote hali ndio hii...!

Sasa tunashangaa hao watoto wa vigogo badala ya kujiajiri maana wana means ya kupata mtaji ndio kwanza wanatafutiwa ajira NONO...

MI nalaumu yule ambaye yuko na ajira na akashindwa kufanya mambo mengine akabakia tu kutegemea salary...!

Mkuu hata MB unazotumia kupostia hizi coments fedha si inatumika?? nazo zimetoka kwa wazazi?
 
Mkuu hata MB unazotumia kupostia hizi coments fedha si inatumika?? nazo zimetoka kwa wazazi?

Mkuu, labda kama uwe mgeni wa nchi hii ama unatoka kwa wazazi wa kipato cha kati... nafikiri pia hujawahi kuishi maisha ya hao wanaolalamika ukosefu wa ajira...!
 
Mkuu hata MB unazotumia kupostia hizi coments fedha si inatumika?? nazo zimetoka kwa wazazi?

Jamaa unazngua... Tehhhhhhhhh eti MB kwi kwi kwi... Bado hujakutana na maisha watz wenzako halisi yalivyo.. Ungesimulia

yote tisa

turudi kwenye mada.. Kwamba licha ya watoto wa vigogo kuwa na uhakika wa fedha za kuanzisha biashara au kujiajiri lakin hawafanyi hivyo ndo kwanza wanabana ajira hzhz huku wakiwalaumu watoto wa maskin kuwa hawataki kujiajiri.. Lakini yy anamhangaikia mwanaye ajira ya kuajiriwa
 
,,,laiti kama mitaji ingetolewa kwa graduate then waseme wajiajr lakn mmmmh! ndo tz,,maneno meng zaid ya matendo,, wanaboa sana hao wanaosema kujiajr bla kuweka mising bora ya kuwezesha kjana ajiajr!
 
Mkuu, labda kama uwe mgeni wa nchi hii ama unatoka kwa wazazi wa kipato cha kati... nafikiri pia hujawahi kuishi maisha ya hao wanaolalamika ukosefu wa ajira...!

Mkuu mimi familia niliyotokea ni kama familia nyingi za wakulima wa jembe la mkono. Lakini nimetoa mfano wa MB mtu anazo tumia kuchati naona watu wanaona nazingua, hebu fikiria kama kila siku unatumia MB300 za Voda na unalipa Tshs 500. Kama ukaziweka akiba itakuwa hvi
1. Wiki moja = 500 x 7 = 3,500
2. Kwa mwezi mmoja = 500 x 30 = 15,000
sasa hebu niambie kwa miezi miwili ukiwa na Tshs30,000= sio mtaji?? Ukitengeneza kahawa na tangawizi ukaja navyo kijiweni tukiangalia mpira ukatuuzia kila kikombe sh 100 na wewe umesema uko kwa wazazi si unatengeneza hela taratibu hapo mwisho wa siku una mtaji mkubwa??
Soma nukuu hii
Henry Ford, poor and uneducated, dreamed of a horseless carriage, went to work
with what tools he possessed, without waiting for opportunity to favor him, and
now evidence of his dream belts the entire earth. He has put more wheels into
operation than any man who ever lived, because he was not afraid to back his
dreams.
By Napoleon

 
Lazima tutambue kwamba hata labour market ikiwa free and fair(yan hamna kuekana kwa kujuana/rushwa etc) bado si muarobaini wa tatizo la ajira, kitu ni kile kile maana bado nafasi nichache ni muda wa kuumiza kichwa namna ya kupata mitaji kwa masharti nafuu yanayowawezesha graduates wasio na dhamana kupata ili kujiajiri hii ikiwa sambamba na utungwaji wa sera zinazounga mkono program hii kwa mfano serikali inaeza ikafanya total ban kwenye importation ya vitu vya muhimu kama mchele/sukari etc wakati huo huo hawa graduates watakaopatiwa mikopo na financial insitutions watawekeza kwenye hizo bidhaa ambazo tumestopisha ku import ili kuwahikikshia solo la uhakika, hivyo Ndivyo nchi za wenzetu walioendelea walivyofanya kipindi chini zao zilivokua changa kwa programme kama hizo ndo ajira zingine zinatengezwa uko uko
 
Mkuu mimi familia niliyotokea ni kama familia nyingi za wakulima wa jembe la mkono. Lakini nimetoa mfano wa MB mtu anazo tumia kuchati naona watu wanaona nazingua, hebu fikiria kama kila siku unatumia MB300 za Voda na unalipa Tshs 500. Kama ukaziweka akiba itakuwa hvi
1. Wiki moja = 500 x 7 = 3,500
2. Kwa mwezi mmoja = 500 x 30 = 15,000
sasa hebu niambie kwa miezi miwili ukiwa na Tshs30,000= sio mtaji?? Ukitengeneza kahawa na tangawizi ukaja navyo kijiweni tukiangalia mpira ukatuuzia kila kikombe sh 100 na wewe umesema uko kwa wazazi si unatengeneza hela taratibu hapo mwisho wa siku una mtaji mkubwa??
Soma nukuu hii
Henry Ford, poor and uneducated, dreamed of a horseless carriage, went to work
with what tools he possessed, without waiting for opportunity to favor him, and
now evidence of his dream belts the entire earth. He has put more wheels into
operation than any man who ever lived, because he was not afraid to back his
dreams.
By Napoleon


Lol nikauze kahawa na kashata, very interesting aisee
 
Mi nafikiri ili ilete maana zaidi wale wote wenye 55+wastaafu isipokuwa kwa doctors ili wakajiajiri maana tayari wana mitaji ya kujiajiri halafu nafasi zao zichukuliwe na fresh graduates na iwe sheria ukifika 55 unastaafu kwa lazima watu mbona wataanza kujipanga mapema maana hata kama serikali ikitoa mokopo itaishia kwenye mifuko ya wachache
 
Mi nafikiri ili ilete maana zaidi wale wote wenye 55+wastaafu isipokuwa kwa doctors ili wakajiajiri maana tayari wana mitaji ya kujiajiri halafu nafasi zao zichukuliwe na fresh graduates na iwe sheria ukifika 55 unastaafu kwa lazima watu mbona wataanza kujipanga mapema maana hata kama serikali ikitoa mokopo itaishia kwenye mifuko ya wachache

Juzi juzi hivi nilikwenda mahakama ya mwanzo sehemu fulani hivi(jina kapuni) kutengeneza Affidavit, dah watu wapo wapo tu hata speed ya kazi ni ndogo, umri inaonesha ulishaenda sana,miandiko mibaya(kama anajifunza kuandika), maswali wanayouliza mengine unaona kabisa hata uelewa wao ni mdogo, ila kustaafu wakawapisha vijana wafanye kazi hawataki. Ila ndio hao hao wako mstari wa mbele kubeza vijana wanaotafuta ajira. Tutafika tu lakini.
 
Mkuu mimi familia niliyotokea ni kama familia nyingi za wakulima wa jembe la mkono. Lakini nimetoa mfano wa MB mtu anazo tumia kuchati naona watu wanaona nazingua, hebu fikiria kama kila siku unatumia MB300 za Voda na unalipa Tshs 500. Kama ukaziweka akiba itakuwa hvi
1. Wiki moja = 500 x 7 = 3,500
2. Kwa mwezi mmoja = 500 x 30 = 15,000
sasa hebu niambie kwa miezi miwili ukiwa na Tshs30,000= sio mtaji?? Ukitengeneza kahawa na tangawizi ukaja navyo kijiweni tukiangalia mpira ukatuuzia kila kikombe sh 100 na wewe umesema uko kwa wazazi si unatengeneza hela taratibu hapo mwisho wa siku una mtaji mkubwa??
Soma nukuu hii
Henry Ford, poor and uneducated, dreamed of a horseless carriage, went to work
with what tools he possessed, without waiting for opportunity to favor him, and
now evidence of his dream belts the entire earth. He has put more wheels into
operation than any man who ever lived, because he was not afraid to back his
dreams.
By Napoleon


Mahesabu ya kiwehu kabisaaa.. Unamaanisha asiweke vocha kwa simu kabisaaa kwa mahesabu hayo

oh GODS must be crazies
 
Mkuu mimi familia niliyotokea ni kama familia nyingi za wakulima wa jembe la mkono. Lakini nimetoa mfano wa MB mtu anazo tumia kuchati naona watu wanaona nazingua, hebu fikiria kama kila siku unatumia MB300 za Voda na unalipa Tshs 500. Kama ukaziweka akiba itakuwa hvi
1. Wiki moja = 500 x 7 = 3,500
2. Kwa mwezi mmoja = 500 x 30 = 15,000
sasa hebu niambie kwa miezi miwili ukiwa na Tshs30,000= sio mtaji?? Ukitengeneza kahawa na tangawizi ukaja navyo kijiweni tukiangalia mpira ukatuuzia kila kikombe sh 100 na wewe umesema uko kwa wazazi si unatengeneza hela taratibu hapo mwisho wa siku una mtaji mkubwa??
Soma nukuu hii
Henry Ford, poor and uneducated, dreamed of a horseless carriage, went to work
with what tools he possessed, without waiting for opportunity to favor him, and
now evidence of his dream belts the entire earth. He has put more wheels into
operation than any man who ever lived, because he was not afraid to back his
dreams.
By Napoleon


Shida ya hivi vitabu vinaficha ukweli kwa mfn. . Vitabu vinaweza kueleza kuwa.. Eti jamaa alijiwekea akiba kila week... Akapata 50000 akaanzisha biashara ndogo..

Baada ya hapo stori inarushwa kuwa kwa sasa anamiliki mabasi yaendayo mikoan

sasa hapo huoni kuwa kuna gape kubwa ya stori imefichwa

ht hyo stori ya napoleon wameficha stori ndefu sana
 
Lazima tutambue kwamba hata labour market ikiwa free and fair(yan hamna kuekana kwa kujuana/rushwa etc) bado si muarobaini wa tatizo la ajira, kitu ni kile kile maana bado nafasi nichache ni muda wa kuumiza kichwa namna ya kupata mitaji kwa masharti nafuu yanayowawezesha graduates wasio na dhamana kupata ili kujiajiri hii ikiwa sambamba na utungwaji wa sera zinazounga mkono program hii kwa mfano serikali inaeza ikafanya total ban kwenye importation ya vitu vya muhimu kama mchele/sukari etc wakati huo huo hawa graduates watakaopatiwa mikopo na financial insitutions watawekeza kwenye hizo bidhaa ambazo tumestopisha ku import ili kuwahikikshia solo la uhakika, hivyo Ndivyo nchi za wenzetu walioendelea walivyofanya kipindi chini zao zilivokua changa kwa programme kama hizo ndo ajira zingine zinatengezwa uko uko

Keynessian hayo yote hakuna anayepinga.. Lakinj nani anayejali. Zaidi ya kuropoka kwenye vyombo vya habari kuwalaumu vijana wa wakulima hawajiajiri???

Ukweli unabaki palepale tu kuwa kama mtoto wa kigogo atachukuliwa kwa uzito sawa na na mtoto wa familia ya kawaida huenda ikawa mwarobaini wa kushughulikia matatizo yanayohusu vijana

lakin kama mtoto wa kigogo ana uhakika kuwa akisoma atapewa kipaumbele cha ajira maana yake ni kwamba usitegemee kiongoz wa nchi hii atakumbuka matatizo ya mtt wa mkulima kwa kuwa wa kwake hana tatizo.......

Mfn mzuri ni ktk elimu... Kwamba kama watoto wa vigogo wangekuwa wanasoma ktk shule hzi za JK nafhan chamgamoto zake zingepewa kipaumbele
 
Mkuu mimi familia niliyotokea ni kama familia nyingi za wakulima wa jembe la mkono. Lakini nimetoa mfano wa MB mtu anazo tumia kuchati naona watu wanaona nazingua, hebu fikiria kama kila siku unatumia MB300 za Voda na unalipa Tshs 500. Kama ukaziweka akiba itakuwa hvi
1. Wiki moja = 500 x 7 = 3,500
2. Kwa mwezi mmoja = 500 x 30 = 15,000
sasa hebu niambie kwa miezi miwili ukiwa na Tshs30,000= sio mtaji?? Ukitengeneza kahawa na tangawizi ukaja navyo kijiweni tukiangalia mpira ukatuuzia kila kikombe sh 100 na wewe umesema uko kwa wazazi si unatengeneza hela taratibu hapo mwisho wa siku una mtaji mkubwa??
Soma nukuu hii
Henry Ford, poor and uneducated, dreamed of a horseless carriage, went to work
with what tools he possessed, without waiting for opportunity to favor him, and
now evidence of his dream belts the entire earth. He has put more wheels into
operation than any man who ever lived, because he was not afraid to back his
dreams.
By Napoleon


Mkuu lkn ww ulituambia uliajiriwa kwanza ndo ukapata nafac ya kujiajiri. Je b4 kuajiriwa uliyafanya yote haya? au ulitoka tu kwa shule moja kwa moja ukaingia kazini.
Katika hesabu zako umesahau kuweka vitu kama post za kaz zinazotoka hapo katikati zinahitaji kufanyiwa application, kuna nauli za kwenda kufuatilia michakato na kupeleka cv's sehemu mbali mbali, yote hayo yanahitaji pesa. sasa kiasi cha kuweka hapo kitatoka wapi mkuu.
 
Back
Top Bottom