Vigogo na Watoto wa Vigogo wana mitaji lakini mbona hawajiajiri?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,133
20,295
Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.

Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.

Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.

Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.

Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.

Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.

Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.

Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.

Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.

Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.

Je tunapigwa?
 
Lakini wako vizuri kwenye bidii ya masomo na wanafanya vizuri sana.....kama ni swala la kuhustle nadhani wako vizuri
Kuwa na bidii ya masomo darasani na ku hustle in real life vitu viwili visivyohusiana moja kwa moja, kutegemeana na mazingira pia. If you conduct research on these variables and run reggression analysis there are some cases you won't find the best line of fit on scattered dots.
 
Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.

Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.

Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.

Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.

Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.

Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.

Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.

Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.

Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.

Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.

Je tunapigwa?
Huju kuwa sasa Tanzani ainakwenda kuwa dynastic democracy? Huoni vitegemezi kama vile Abdul Hafidh Samia shemeji Mohamed Mchengerwa, January Makamba, Hussein Mwinyi, RIdhiwan Kikwete, Godfrey Pinda, Omar Kigoda, Nape Nnauye, na wengine wengi wanavyotesa? Nyie kazi yenu ni kuwapikia kura za kula basi
 
Huju kuwa sasa Tanzani ainakwenda kuwa dynastic democracy? Huoni vitegemezi kama vile Abdul Hafidh Samia shemeji Mohamed Mchengerwa, January Makamba, Hussein Mwinyi, RIdhiwan Kikwete, Godfrey Pinda, Omar Kigoda, Nape Nnauye, na wengine wengi wanavyotesa? Nyie kazi yenu ni kuwapikia kura za kula basi
Daah hii comment yako inafikirisha sana
 
Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.

Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.

Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.

Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.

Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.

Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.

Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.

Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.

Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.

Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.

Je tunapigwa?
Na huyo :Richa" ni mtoto wa "kigogo" pia?

Itakuwa hujawaona watoto wa Kinondoni, umezowea kuwaona wa kigogo wenzako tu.

Vipi wewe, wanakupiga hao watoto wa kigogo?
 
Back
Top Bottom