Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,198
Kuhonga sio sheria wala lazima..ni hiyari yako tu!
Kama umechoka kuhonga muoe kabisa ili ukampe kiuhalali
Hivi nikitaka free P nakosea wapi??? Binafsi huwa nikiwa na nyege natega mitego km minne hivi kama siyo yote minne basi mitatu itanasa, afu nachagua mwnyw hutaki nenda zako.
Ndiyo maana huwa mnamegwa na kutupwa kero za kuombwa pesa! Hamna wazazi au km wakubwa fanya kazi.
Baba na kaka zako, ndiyo walikusimulia mpk unishawishi nami nijaribu???Hela ya mwanaume tamu asikwambie mtu.
Kama vipi nawe jaribu.
Hili jina mbona ni la kike, inakuwaje unatamka maneno haya !!!![]()
![]()
mi mwenyewe nimechoka kuhonga ila ninashidwa kuachaa!!!??
![]()
![]()
Baba na kaka zako, ndiyo walikusimulia mpk unishawishi nami nijaribu???
Shika adabu yako, utakuwa from poor family ndiyo maana unaendekeza kuongwa wewe!
Naona umentumia tafadhali npgie badala ya kutuma pesa, ningekua na namba za walomteka Roma ningemwambia awateke wanaume wabahili wote coz mnatuchosha humu jukwaani, kila siku mnalialia, ........hahahaaaaa....(kidding)Vuta subira ukiwa unaangalia angalia simu yako
Nlikuwa najaribu namba kama ndio yenyewe......Naona umentumia tafadhali npgie badala ya kutuma pesa, ningekua na namba za walomteka Roma ningemwambia awateke wanaume wabahili wote coz mnatuchosha humu jukwaani, kila siku mnalialia, ........hahahaaaaa....(kidding)
Anaweza akawa nazo lakini Bado anatamaaaKwani umeambiwa huyo mwanamke yeye hana hela zake?!
Naona umentumia tafadhali npgie badala ya kutuma pesa, ningekua na namba za walomteka Roma ningemwambia awateke wanaume wabahili wote coz mnatuchosha humu jukwaani, kila siku mnalialia, ........hahahaaaaa....(kidding)



