Wanapata wapi ujasiri wa kutuomba Hela?

Wanapata wapi ujasiri wa kutuomba Hela?

Kwan nyie mnapata wap ujasir wa kututongoza na kuomba K ?

Tatzo wanaume mnaonyesha sana udhaifu kwenye K, hebu jiulze we dem wako nan anamwomba sana mwenzie kufanya mapenz ? So kufanya mapenz inaonekana kama hitaj la mwanaume hivo mwanamke anaombwa kwenda kutmiza, so anaona inabd alipwe kwa huduma ya kutimiza haja zako coz ww ndo umeomba game sio yy japo utam mmepata wote.

Hebu acha kuombaomba K uone ka utaombwaombwa pesa.

Halaf kumbuken nyie ndo mnatuomba game then mnatusugua sana had michubuko ka sio vidonda, so lazma tuwaombe pesa za kununua viprotini kwajili ya kureplace worn out tissues

Sina kaz, sina kibarua then unaomba game, npo mabwepande upo kisiju, then unataka huo mzgo wa naul nimtwishe baba angu akat we ndo unataka ule K ? Nonsense, unataka K toa naul ya kuja, na ukishakula K toa ya kurud, pia kumbuka hapo nimetumia gharama kujipura na kua msaf ili uinjoy so lazma uchangie gharama sio ukenue tu ukiniona na vutia

Hutaki kutoa pesa, tubadlshane jinsia uone ntavokuhudumia
Na nyie mkiomba Gemu vp?
 
huo ujasiri unakuja automatically kama unavyoona mtu anazaliwa ana macho,miguu,nywele nk
 
Papuchi kwa pesa au sio?
Yes!!!!!!
Kila mtu apate anachokipenda, kama nyie mlivyo mstari wa mbele kuomba tamu vivyo hivyo na wenzenu walivyo mstari wa mbele kuomba pesa, ukipewa unafurahia usisite kurejesha, muache ubinafsi kwa wenzenu
 
Kwan nyie mnapata wap ujasir wa kututongoza na kuomba K ?

Tatzo wanaume mnaonyesha sana udhaifu kwenye K, hebu jiulze we dem wako nan anamwomba sana mwenzie kufanya mapenz ? So kufanya mapenz inaonekana kama hitaj la mwanaume hivo mwanamke anaombwa kwenda kutmiza, so anaona inabd alipwe kwa huduma ya kutimiza haja zako coz ww ndo umeomba game sio yy japo utam mmepata wote.

Hebu acha kuombaomba K uone ka utaombwaombwa pesa.

Halaf kumbuken nyie ndo mnatuomba game then mnatusugua sana had michubuko ka sio vidonda, so lazma tuwaombe pesa za kununua viprotini kwajili ya kureplace worn out tissues

Sina kaz, sina kibarua then unaomba game, npo mabwepande upo kisiju, then unataka huo mzgo wa naul nimtwishe baba angu akat we ndo unataka ule K ? Nonsense, unataka K toa naul ya kuja, na ukishakula K toa ya kurud, pia kumbuka hapo nimetumia gharama kujipura na kua msaf ili uinjoy so lazma uchangie gharama sio ukenue tu ukiniona na vutia

Hutaki kutoa pesa, tubadlshane jinsia uone ntavokuhudumia

Dah
Umetumia nguvu saana kujitetea........

Nataka nikutumie nauli
 
Siku hizi tumekuwa kama wanaume wenzao wanafanya wanachotaka yaani hawatuogopi kabisa,heshima hakuna tunaishi kama kambare! Utampa huduma zote kula,kulala atavaa vizuri lakini bado kuna siku atakuita mpumbavu na mitusi kibao ukiwa mzembe anakupa za uso! Tumerogwa na nani sisi wanaume wa kizazi hiki....Tusaidiane jamani,mi mwenyewe nishachoka kuhonga ila nashindwa kuacha!
Kuhonga ni moyo,ugumu ni kipaji
 
Hivi nini maana ya kuhonga... Kwanini uite kuhonga?
Bebe ana kitu ama vitu ambavyo kila mwanamume anivitaka kutoka kwake.. Kwanini asimpe yule na yule na huyu anayekuja na kukitaka..tena free kabisa.. Nafkiri mwanamke akitoka nje akasema nataka mtu wa kulala nae wanaume kumi watakuja... Ila mwanaume zaidi ya kutaka itabidi ufanye jitihada za ziada! Auhongi unalinda heshima yako..
 
Kwan nyie mnapata wap ujasir wa kututongoza na kuomba K ?

Tatzo wanaume mnaonyesha sana udhaifu kwenye K, hebu jiulze we dem wako nan anamwomba sana mwenzie kufanya mapenz ? So kufanya mapenz inaonekana kama hitaj la mwanaume hivo mwanamke anaombwa kwenda kutmiza, so anaona inabd alipwe kwa huduma ya kutimiza haja zako coz ww ndo umeomba game sio yy japo utam mmepata wote.

Hebu acha kuombaomba K uone ka utaombwaombwa pesa.

Halaf kumbuken nyie ndo mnatuomba game then mnatusugua sana had michubuko ka sio vidonda, so lazma tuwaombe pesa za kununua viprotini kwajili ya kureplace worn out tissues

Sina kaz, sina kibarua then unaomba game, npo mabwepande upo kisiju, then unataka huo mzgo wa naul nimtwishe baba angu akat we ndo unataka ule K ? Nonsense, unataka K toa naul ya kuja, na ukishakula K toa ya kurud, pia kumbuka hapo nimetumia gharama kujipura na kua msaf ili uinjoy so lazma uchangie gharama sio ukenue tu ukiniona na vutia

Hutaki kutoa pesa, tubadlshane jinsia uone ntavokuhudumia
 
Siku hizi tumekuwa kama wanaume wenzao wanafanya wanachotaka yaani hawatuogopi kabisa,heshima hakuna tunaishi kama kambare! Utampa huduma zote kula,kulala atavaa vizuri lakini bado kuna siku atakuita mpumbavu na mitusi kibao ukiwa mzembe anakupa za uso! Tumerogwa na nani sisi wanaume wa kizazi hiki....Tusaidiane jamani,mi mwenyewe nishachoka kuhonga ila nashindwa kuacha!
Pole sana mkuu, mm hiyo tabia nimeikomesha na sitaki kuwa na kupe hususani kipindi hiki cha magu

Kuna kakupe kamoja nilikuwa nacho previous nikaona kakazoea na kuanza maneno ya kejeli nisipokatumia hela mara ooh siku hizi hunipi care kama zaman

Nilikapiga chini nikablock no zake nikatafuta mfanyakaz sasa mambo safi siombwi chochote zaidi ya mgegedo tu labda nijisikie kumnunulia zawadi ila hela hataki. Sasa naishi kama peponi japo shida za kidunia zipo
 
Kwan nyie mnapata wap ujasir wa kututongoza na kuomba K ?

Tatzo wanaume mnaonyesha sana udhaifu kwenye K, hebu jiulze we dem wako nan anamwomba sana mwenzie kufanya mapenz ? So kufanya mapenz inaonekana kama hitaj la mwanaume hivo mwanamke anaombwa kwenda kutmiza, so anaona inabd alipwe kwa huduma ya kutimiza haja zako coz ww ndo umeomba game sio yy japo utam mmepata wote.

Hebu acha kuombaomba K uone ka utaombwaombwa pesa.

Halaf kumbuken nyie ndo mnatuomba game then mnatusugua sana had michubuko ka sio vidonda, so lazma tuwaombe pesa za kununua viprotini kwajili ya kureplace worn out tissues

Sina kaz, sina kibarua then unaomba game, npo mabwepande upo kisiju, then unataka huo mzgo wa naul nimtwishe baba angu akat we ndo unataka ule K ? Nonsense, unataka K toa naul ya kuja, na ukishakula K toa ya kurud, pia kumbuka hapo nimetumia gharama kujipura na kua msaf ili uinjoy so lazma uchangie gharama sio ukenue tu ukiniona na vutia

Hutaki kutoa pesa, tubadlshane jinsia uone ntavokuhudumia

Reasoning yako is somehow wrong, kwahivyo sisi wanaume tukiwatongoza nyie ni kama tunatangaza udhaifu wetu, bhas ndo kwamfano wanaume wote tuache kuwatongoza, nyie ndo mtutongoze hapo ndo mtaona favor tunayowapa tukiwatongoza

Hlf kingine sio kila demu anaepiga mizinga ni kwamba umemtongoza, au una nia ya kumtongoza, mwingine ukimzoea kidogo tu bhas ataanza kukushushia shida hizo, mara ninunulie hiki, Mara kile GREENER
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom