Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

hizo catalyst ndiyo anazo jongoo. akishameza hizo punje za mahindi ndipo anarelease hizo catalyst za utajiri kwa kipindi maalum. Baada ya hapo unakufa, technically anakuchukua ukamtumikie kutajirisha wahanga wengine.

Hakuna utajiri mzuri kama unaotokana na kufanya kazi kwa bidii. Huwi na pressure, huzuni wala wasiwasi
Utajiri wa kubeti vp
 
Nikiwa kwenye basi katika harakati za kuitafuta shs, tumesimama kuchimba dawa eneo linaonekana kama kijiji baada ya makambako kuelekea mafinga, ni eneo flani inaonekana kuna vyoo vya mtu binafsi ila abilia hatulipi na sijui nani anayehudumia hivyo vyoo!.

Nikiwa ndani ya chumba natoa oil chafu ya mwilini kwa nyuma nasikia majibizano makali tu kutoka kwa watu wawili, kutokana na majibizano yao nikagundua mmoja ni mganga na mwingine ni mteja.

Jamaa aliyekuwa anafoka alikuwa anadai inakuwaje jogoo akala punje 3 za mahindi kisha kuondoka wakati hakuwa na chakula kwa muda?, Sikusikia jibu kutoka upande wa pili ila baadaye jamaa inaonekana ni mteja akaomgeza "jogoo wangu niliyekuja naye mpaka sasa bado anakula punje za mahindi ila wako amekula 3 na kuondoka, kwa nini?"

Ila kwa sababu tulipewa dakika 5 za kuchimba dawa sikuweza kufuatilia au kujua kilichoendelea katika kujiuliza nimeileta ili wale wadau wa Jogoo na punje za mahindi mje mtujuze ni nini hiki?.

Niliwahi sikia utajiri wa punje za mahindi kuwa jogoo anapokula punje kadhaa basi huo ndiyo uhai wa utajiri wako kulingana na alivyokula but imekuwaje kukawa na jogoo wawili tofauti, yaani wa mteja na wa witchcraft. na huyo wa mganga akala tatu na kusepa ila wa mteja akaendelea kula?
Kma vp tu Mtagg frev vunja
 
Nikiwa kwenye basi katika harakati za kuitafuta shs, tumesimama kuchimba dawa eneo linaonekana kama kijiji baada ya makambako kuelekea mafinga, ni eneo flani inaonekana kuna vyoo vya mtu binafsi ila abilia hatulipi na sijui nani anayehudumia hivyo vyoo!.

Nikiwa ndani ya chumba natoa oil chafu ya mwilini kwa nyuma nasikia majibizano makali tu kutoka kwa watu wawili, kutokana na majibizano yao nikagundua mmoja ni mganga na mwingine ni mteja.

Jamaa aliyekuwa anafoka alikuwa anadai inakuwaje jogoo akala punje 3 za mahindi kisha kuondoka wakati hakuwa na chakula kwa muda?, Sikusikia jibu kutoka upande wa pili ila baadaye jamaa inaonekana ni mteja akaomgeza "jogoo wangu niliyekuja naye mpaka sasa bado anakula punje za mahindi ila wako amekula 3 na kuondoka, kwa nini?"

Ila kwa sababu tulipewa dakika 5 za kuchimba dawa sikuweza kufuatilia au kujua kilichoendelea katika kujiuliza nimeileta ili wale wadau wa Jogoo na punje za mahindi mje mtujuze ni nini hiki?.

Niliwahi sikia utajiri wa punje za mahindi kuwa jogoo anapokula punje kadhaa basi huo ndiyo uhai wa utajiri wako kulingana na alivyokula but imekuwaje kukawa na jogoo wawili tofauti, yaani wa mteja na wa witchcraft. na huyo wa mganga akala tatu na kusepa ila wa mteja akaendelea kula?
Kuna mwamba ana a.k.a vunja bei kama Dar hapo kati ya miji ulotaja jogoo aligonga punje 60,jamaa aligawa bia mji mzima watu walikesha wakila ngano,jogoo aliandaliwa maalumu na nyota ya mhusika ilikuwa juu mno
 
Haya mambo yanafanyika sana Congo na West Africa hata Malawi na Msumbiji. Hapa Tanzania watu wanay-afanye kwa siri.

West Africa unaingia kwenye secret society na unaweka nadhiri. Chochote unachotaka unafanyiwa. Si biashara tu hata vyeo kazini.

Inabidi utoe kafara kila mwaka na kila unapofanikiwa jambo lako. Unaweza kukumkuta bwana mdogo ametoka chuoni juzi baada ya mwaka ni boss mkubwa kabisa.
Huko weast Africa tatizo ni Matapeli kuliko kuna mmoja anaitwa chief Ngaliba yuko Ghana,anasema.nothing comes for nothing
 
Nikiwa kwenye basi katika harakati za kuitafuta shs, tumesimama kuchimba dawa eneo linaonekana kama kijiji baada ya makambako kuelekea mafinga, ni eneo flani inaonekana kuna vyoo vya mtu binafsi ila abilia hatulipi na sijui nani anayehudumia hivyo vyoo!.

Nikiwa ndani ya chumba natoa oil chafu ya mwilini kwa nyuma nasikia majibizano makali tu kutoka kwa watu wawili, kutokana na majibizano yao nikagundua mmoja ni mganga na mwingine ni mteja.

Jamaa aliyekuwa anafoka alikuwa anadai inakuwaje jogoo akala punje 3 za mahindi kisha kuondoka wakati hakuwa na chakula kwa muda?, Sikusikia jibu kutoka upande wa pili ila baadaye jamaa inaonekana ni mteja akaomgeza "jogoo wangu niliyekuja naye mpaka sasa bado anakula punje za mahindi ila wako amekula 3 na kuondoka, kwa nini?"

Ila kwa sababu tulipewa dakika 5 za kuchimba dawa sikuweza kufuatilia au kujua kilichoendelea katika kujiuliza nimeileta ili wale wadau wa Jogoo na punje za mahindi mje mtujuze ni nini hiki?.

Niliwahi sikia utajiri wa punje za mahindi kuwa jogoo anapokula punje kadhaa basi huo ndiyo uhai wa utajiri wako kulingana na alivyokula but imekuwaje kukawa na jogoo wawili tofauti, yaani wa mteja na wa witchcraft. na huyo wa mganga akala tatu na kusepa ila wa mteja akaendelea kula?
yeah huo ni utajiri hope maarufu sana kwa jina la ndago kama sijakosea

kinachofanyika baada ya kukubaliwa na mizimu kuwa unafaa kupewa utajiri basi utachukuliwa na kutolewa nje baada ya kumaliza kafara zote then atachukuliwa jogoo na kumwagiwa punje za nafaka zinaweka kuwa mahindi nk,

then kwa kila idadi atakayokula huyo jogoo ndio itakuwa muda wako wa kuishi na huo utajiri naomba hapa nieleweke sasa nini kinatokea endapo akila punje 2?

kinachotokea ni mambo 2
1, Endapo kama utakuwa hai mfano umri wako bado upo kwa mungu basi baada ya miaka miwili utaaga dunia katika macho ya dunia yetu tutajua umekufa lakini utakuwa kama msukule ambae utaenda kutumikia kwenye ulimwengu wa giza mpaka pale umri wako wa kufa utakapo fika,

na mali zako ulizoziacha duniani zitakukutika zote mpaka zitaisha inshort hazitaendelea kamwe

2, Endapo kuku akala punje 2 pia alafu wew ndani ya mwaka mmoja ukafariki kwa idhini ya mungu utajiri wako utaendelea kukua kwa hichi kipindi kilichobakia mpaka itimie miaka miwili na kama mrithi wako akaamua na yeye kwenda kuubeba bas urithi utaendelea kulingana na punje zitazoliwa,

kwa hyo utajiri huu wa ndago kwa maana nyingine unaweza kuendelezwa na mrithi wako endapo atajua nature ya utajiri wako ila kama hajui atashangaa tu anafilisika kama moto,

ndo maana unakuta mzee anafariki anaacha majumba magari na mali kibao lakini familia wanashndwa kuziendesha hali ya kuwa watoto ote walikuwa wanafanya kazi na mzee lakini baada ya kufa mali zitauzwa hovyo familia itafilisika lna wengine mixer kuuana

lakini hili ni tofauti kwa wenzetu waarabu na wahindi ambao wao hutumia utajiri wa majini ambayo familia nzima hujua na hirithishana ndo maana unakuta utajiri wa babu lakini mpaka wajukuu wanaukuta na kuuendeleza
 
yeah huo ni utajiri hope maarufu sana kwa jina la ndago kama sijakosea

kinachofanyika baada ya kukubaliwa na mizimu kuwa unafaa kupewa utajiri basi utachukuliwa na kutolewa nje baada ya kumaliza kafara zote then atachukuliwa jogoo na kumwagiwa punje za nafaka zinaweka kuwa mahindi nk,

then kwa kila idadi atakayokula huyo jogoo ndio itakuwa muda wako wa kuishi na huo utajiri naomba hapa nieleweke sasa nini kinatokea endapo akila punje 2?

kinachotokea ni mambo 2
1, Endapo kama utakuwa hai mfano umri wako bado upo kwa mungu basi baada ya miaka miwili utaaga dunia katika macho ya dunia yetu tutajua umekufa lakini utakuwa kama msukule ambae utaenda kutumikia kwenye ulimwengu wa giza mpaka pale umri wako wa kufa utakapo fika,

na mali zako ulizoziacha duniani zitakukutika zote mpaka zitaisha inshort hazitaendelea kamwe

2, Endapo kuku akala punje 2 pia alafu wew ndani ya mwaka mmoja ukafariki kwa idhini ya mungu utajiri wako utaendelea kukua kwa hichi kipindi kilichobakia mpaka itimie miaka miwili na kama mrithi wako akaamua na yeye kwenda kuubeba bas urithi utaendelea kulingana na punje zitazoliwa,

kwa hyo utajiri huu wa ndago kwa maana nyingine unaweza kuendelezwa na mrithi wako endapo atajua nature ya utajiri wako ila kama hajui atashangaa tu anafilisika kama moto,

ndo maana unakuta mzee anafariki anaacha majumba magari na mali kibao lakini familia wanashndwa kuziendesha hali ya kuwa watoto ote walikuwa wanafanya kazi na mzee lakini baada ya kufa mali zitauzwa hovyo familia itafilisika lna wengine mixer kuuana

lakini hili ni tofauti kwa wenzetu waarabu na wahindi ambao wao hutumia utajiri wa majini ambayo familia nzima hujua na hirithishana ndo maana unakuta utajiri wa babu lakini mpaka wajukuu wanaukuta na kuuendeleza
Sidhani kama ni kweli, Ingekuwa hivyo matajiri wangerelax sana maana tunawaona wanahangaika mixer kudhurumu watu, kuua na maovu chungu mzima ili tu wapate mali. Sasa kama ni easy hivyo nani angejitesa. Tufanye kazi huu upuuzi ni wa wendawazimu, mtahira na wavivu(mademu).
 
Back
Top Bottom