Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,324
- 18,479
Unapewa miaka michache duniani kwa mkataba na shetani but unakua tajiri mkubwa Sana then baada ya mkataba kuisha unakwenda kuzimu kumtumikia shetani miaka yako yote hadi mda wako wa kufa ambao Mungu amekupangia ukifa mwili wako unaliwa nyama na wenzio waliokuzimu na nafsi yako ni motoni moja kwa moja.Unakwenda mbinguni kutokea duniani kulingana na matendo yako,ukienda kuzimu ni motoni direct Mungu hana kibali na wewe.Unatumika vipi kuzimu unaweza ukawa ajent yaani unatumwa duniani kuleta watu kwa shetani mfano,kuwaangusha watu wa Mungu watende dhambi,kusababisha ajali,magomvi mafarakano kwenye ndoa familia,nk.Kuzimu zipo Kazi nyingi plus kuteswa usiku na mchana kwa maana ulikula raha sasa ni mateso.Ni kweli nautaka utajiri ila huo wa kufa mapema hapana
Shetani hana huruma kabisa na binadamu.Yafaa nini kupata vyote na ukaukosa uzima wa milele.Pili ukifa na utajiri wako unakufa aurithiki.