Wanaotafuta Utajiri wa Punje za Mahindi na Jogoo, Imekaaje Hii?

Ni kweli nautaka utajiri ila huo wa kufa mapema hapana
Unapewa miaka michache duniani kwa mkataba na shetani but unakua tajiri mkubwa Sana then baada ya mkataba kuisha unakwenda kuzimu kumtumikia shetani miaka yako yote hadi mda wako wa kufa ambao Mungu amekupangia ukifa mwili wako unaliwa nyama na wenzio waliokuzimu na nafsi yako ni motoni moja kwa moja.Unakwenda mbinguni kutokea duniani kulingana na matendo yako,ukienda kuzimu ni motoni direct Mungu hana kibali na wewe.Unatumika vipi kuzimu unaweza ukawa ajent yaani unatumwa duniani kuleta watu kwa shetani mfano,kuwaangusha watu wa Mungu watende dhambi,kusababisha ajali,magomvi mafarakano kwenye ndoa familia,nk.Kuzimu zipo Kazi nyingi plus kuteswa usiku na mchana kwa maana ulikula raha sasa ni mateso.
Shetani hana huruma kabisa na binadamu.Yafaa nini kupata vyote na ukaukosa uzima wa milele.Pili ukifa na utajiri wako unakufa aurithiki.
 
Na walikuwa wanafanikiwa chief kutegua?
Hii unaweza kutegua kupitia Nguvu ya Jesus Christ na iwe imejaa mwilini mwako,maana huwezi mshinda shetani kama huna Mungu na hasa kama ulishakula chake, kumbuka hela ya shetani haiendi bure ni lazima irudi na damu.
 
Raha ya utajiri ni kula na kufurahia na ndugu, wazazi, familia,nk.Yafaa nini utajiri wa mateso hali unaweza kuwa tajiri bila kuuza nafsi yako kwa shetani.
Shetani kafanikiwa Sana kupandikiza mawazo machafu kwa watu kwamba huwezi fanikiwa bila dawa huu ni uongo mtupu na matumizi mabaya ya akili aliyokupa Mwenyezi Mungu.Maaana lengo kuu la idea hii ni kutengeneza utegemezi wa mawakala wa shetani Dunia waganga na washirikina lengo kuu la ndumba ni kupunguza uwezo wa kufikiri uache kutumia akili yako utumie akili zao.
 
Hee hadi umesema under the "son" badala ya sun ila umeeleweka. Kiukweli mimi ntapambana kihalali kabisa bila kuhusisha hayo mambo meusi, nataka utajiri wa kujimudu tu na familia na jamii yangu ikiwezekana, Mungu wetu ni wa neema atabariki kazi za mikono yetu.
Binadamu anachagua mwenyewe awe kwa Mungu au Shetani au awe kotekote
 
Nafikiri umeelezea vyema na kujijibu mwenyewe
Nikiwa kwenye basi katika harakati za kuitafuta shs, tumesimama kuchimba dawa eneo linaonekana kama kijiji baada ya makambako kuelekea mafinga, ni eneo flani inaonekana kuna vyoo vya mtu binafsi ila abilia hatulipi na sijui nani anayehudumia hivyo vyoo!.

Nikiwa ndani ya chumba natoa oil chafu ya mwilini kwa nyuma nasikia majibizano makali tu kutoka kwa watu wawili, kutokana na majibizano yao nikagundua mmoja ni mganga na mwingine ni mteja.

Jamaa aliyekuwa anafoka alikuwa anadai inakuwaje jogoo akala punje 3 za mahindi kisha kuondoka wakati hakuwa na chakula kwa muda?, Sikusikia jibu kutoka upande wa pili ila baadaye jamaa inaonekana ni mteja akaomgeza "jogoo wangu niliyekuja naye mpaka sasa bado anakula punje za mahindi ila wako amekula 3 na kuondoka, kwa nini?"

Ila kwa sababu tulipewa dakika 5 za kuchimba dawa sikuweza kufuatilia au kujua kilichoendelea katika kujiuliza nimeileta ili wale wadau wa Jogoo na punje za mahindi mje mtujuze ni nini hiki?.

Niliwahi sikia utajiri wa punje za mahindi kuwa jogoo anapokula punje kadhaa basi huo ndiyo uhai wa utajiri wako kulingana na alivyokula but imekuwaje kukawa na jogoo wawili tofauti, yaani wa mteja na wa witchcraft. na huyo wa mganga akala tatu na kusepa ila wa mteja akaendelea kula?
Hivi kama nikimkamata huyo jogoo na kumlisha KWA nguvu vipi? Kitatokea nini?
 
Yeah hii wanategua kwa maelezo ya jamaa mwaka 2016...Yani ikifika karibu na ile tarehe Kuna nyama ya mbuzi inapakwa dawa...halafu muhusika anakaa juu ya mti akiwa na nyama a..chini linachimbwa kaburi..halafu muhusika mdogo mdogo anaangusha nyama shimoni alafu kiumbe kinatokea kwenye ile kaburi na kuanza kula nyama kikiamini Ni muhusika aliechukua utajiri...kikimaliza kinapotelea kaburini...means kimerudi kilipotoka...hivo muhusika anakua ametapeli majini mamaeeeee.....ambao naona hawatapeliki Ni Freemason..au mabingwa wa congo au Malawi maana inavoonekana huku tz Kuna loop waganga walikua wanaacha ndo Mana magwiji wa kigoma kina juma marasta walikua wanategua
 
Utajiri huu wa punje alipewa yule Askofu tajiri wa madini akapata pesa akachanganyikiwa akapanda juu akawamwagia watu.Yupo kuzimu anatumika kwa shetani hadi mda wake utakapoisha.
Muongo mkubwa wewe,askofu ameishi miaka mingi Sana,unajua Parson imejengwa mwaka gani? amekuja kufariki kwa maradhi ya kiutu uzima tu.
 
Yeah hii wanategua kwa maelezo ya jamaa mwaka 2016...Yani ikifika karibu na ile tarehe Kuna nyama ya mbuzi inapakwa dawa...halafu muhusika anakaa juu ya mti akiwa na nyama a..chini linachimbwa kaburi..halafu muhusika mdogo mdogo anaangusha nyama shimoni alafu kiumbe kinatokea kwenye ile kaburi na kuanza kula nyama kikiamini Ni muhusika aliechukua utajiri...kikimaliza kinapotelea kaburini...means kimerudi kilipotoka...hivo muhusika anakua ametapeli majini mamaeeeee.....ambao naona hawatapeliki Ni Freemason..au mabingwa wa congo au Malawi maana inavoonekana huku tz Kuna loop waganga walikua wanaacha ndo Mana magwiji wa kigoma kina juma marasta walikua wanategua
Baada ya kutegua bado anaendelea na utajiri wake?
 
huo upo mbeya huko na tunduma. unauza uhai wako kwa shetani na manake unakubaliana naye kwamba hata ukifa utaenda motoni moja kwa moja kwa raha chache za dunia hii. ndio maana kuku akidonoa punje moja, utaishi maisha ya pesa ndefu kwa mwaka mmoja na utapata kifo cha kushtukiza tu hata nafasi ya kutubu hutapata, watasikia tu umedondoka umekufa. wale wa Mbeya wanajua kilichompata yule jamaa wa kahotel golden city hotel pale sae. sitaki kuongeza neno.
Naona hotel bado ipo hahahaah
 
Back
Top Bottom