Cf hall,cf Petro station,cf truckDon cf huyo refer ajali ya moto moro
Cf hall,cf Petro station,cf truckDon cf huyo refer ajali ya moto moro
Unauhakika hiyo pepo ipo au umejawa na stori za wazungu na waarabuSidhani kama mtu aliyepata utajiri wa njia za kichawi atakwenda peponi. Labda awe ametubia uovu wake wa ushirikina kabla ya kuaga dunia
Labda siku hizi wanatafuta average wapate mtu amepangiwa miaka mngapi ya utajiri.Hapana, hapo kuna jogoo wawili (kutokana na mazungumzo ya wale watu) huyu wa mganga alikuwa punje 3 but yule wa mteja alikuwa akiendelea kula.
Hapo ndipo sikupaelewa why jogoo wawili?.
Na sisi wa kusafisha nyota na kuondoa mabalaa maana ata chumvi ya mawe aifanyi kazkama unataka kupajua njoo dm nkuunganishe but uwe serious usijaribu sababu utakuwa unayatafuta usiyoyaweza
Jogoo asipodonoa hata moja inakuwaje??kama unataka kupajua njoo dm nkuunganishe but uwe serious usijaribu sababu utakuwa unayatafuta usiyoyaweza
Mkuu hizo issues wanafahamiana huko gizani na kila uchawi una mamlaka yake kieneo so usidhani ni issue ndogo kama ya kula wali kwa maharagwe!.Hivi wale wanaosemaga kuwa Wazungu nao ni wachawi kuna vilinge vyenye mambo kama haya?
Kwa research wanazopendaga kufanya wazungu hakuna hata mmoja amekuja Africa kufanya juu ya haya mambo? Documentary
😂😂Ndo nashangaaWatanzania tunaamin sana upumbavu...
Cha ajabu hatuna matajiri wetu wachawi kule Forbes
Kwanini usiende kwenye taasisi hususani shule zilizopo wilayani kwako ukaamua kufanya huo ufadhili/mradi?Hata Mimi nawaza kujenga vyoo vya kisasa kwenye chimba dawa zote lengo kuu ni kupata mbolea kwa ajili ya mashamba ya kahawa kwa ajili ya kuexport.
Mbolea namba moja kwa ubora ni ile izalishwayo na binadamu
😁😁😆😆😆***** Una kufa hapo hapoYaani kuikana nafsi hapo ndiyo pagumu, utajiri wa masharti mara usile kuku, usilale kitandani, usivae viatu dah utajiri gani huo sasa, hujakaa sawa kuku kadonoa punje 1 yaani 1 aisee ntampiga huyo kuku na huyo mganga wake😂😂
😃😃 ukisikia mganga kapigwa na hiyo kuku wake; ujue sababu ndiyo hiyo, kwanza utajiri wa masharti hivo hapana bora tuendelee kupambana mdogo mdogo tu.😁😁😆😆😆***** Una kufa hapo hapo