SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,968
- 2,631
Kweli mtu huweza kudharaulika kwa maneno yako tu kutoka kwenye kinywa chako, hivi jamani ikapita siku bila kupost ishu humu jf vidole huwa vinawasha hadi mtu uandike ujinga wa hivi, yani imeonesha kiasi gani pooltable linavyokuuma tangu ukatazwe kulicheza,kiasi gani ni mvivu wa kufikiri, hizo dakika zote ulizotumia kuandika huu utumbo ungezitumia kuwaza jambo la maendeleo maana ishu za kuingilia imani ya mtu si jambo la maendeleo.
Polepole tu ndugu usijerudi hapa na hoja pia jumamosi na jumapili watu wasiende kwenye ibada wafanye kazi.
Viroba hivi jamani vijana tunaangamia.
Unamfananisha mcheza pool na mtu anae sali jumuiya.
Polepole tu ndugu usijerudi hapa na hoja pia jumamosi na jumapili watu wasiende kwenye ibada wafanye kazi.
Viroba hivi jamani vijana tunaangamia.
Unamfananisha mcheza pool na mtu anae sali jumuiya.