gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 683
- 956
Hata mimi nimekubaliana na mtoa mada sema anavyoshambuliwa nadhani wengi hawaja muelewaNakubaliana na mtoa MADA kwa mara ya kwanza 100% kamata like mkuu
Hata mimi nimekubaliana na mtoa mada sema anavyoshambuliwa nadhani wengi hawaja muelewaNakubaliana na mtoa MADA kwa mara ya kwanza 100% kamata like mkuu
Hizi bangi unazovutia chooni zinakupeleka kubaya.. Hakuna mtu analazimishwa kwenda jumuia kiazi ww..Wanafiki wakubwa nyie na ndio mnaoogoza kwa uzinzi na uasherati.Mnajidai kuheshimu imani zenu wakati matendo yenu bora hata ya mpagani.
Nasisitiza hizi Jumuiya za kila Week-end kuzunguka kwa mtu mmoja mmoja na kuchangishana ni miradi tu ya kukusanya pesa huku watu wakilazimizhwa kushiriki hizi Jumuiya.
Wengi wanashiriki kwa kulazimika tu kutokana na mashariti mlioweka ambayo hata kwenye Biblia hayapo.
Fanyeni kazi na si kukutana huko kwa mara kwa mara kwa ajili ya Jumuiya hizo kuliko pitiliza.
Jumuiya hazitawafikisha mbinguni.
Toomuch of everything is harmful!
Naona unabadili mada,baada ya upupu wa mwanzo kukosa weledi!!Kusali kwenyewe mnasali kama fashion tu na mazoe ila matendo yenu ni bora hata wapagani!
Tumejijengea imani ya kipuuzi sana eti kuwa kusali swala tano na kwenda Kanisani ndio tumemaliza kila kitu wakati kitakachotuhukumu ni matendo yetu.
Unatoka Kanisani au Msikitini na gari lako una mkutana kilema njiani huku mvua ikimnyeshea unampita kama humuomi?
Unatoka kwenye sala yako dakika mbili baadae unaenda kuzini!
Sisi binadamu ni wanafiki wakubwa bora hata wanyama wasiomjua mungu kuliko sisi tuliopewa akili na mungu.
Watu ni mabingwa wa kutetea imani zao lakini ni mabingwa wakubwa wa kutenda dhambi kila kikicha tena pasipo hata kujutia dhambi zao!
Mkuu wewe ni miongoni mwa members wenye heshima kubwa hapa JF; tafadhali linda heshima yako. Katiba ya nchi imetoa uhuru wa kuabudu na kwamba ni suala la mtu/watu binafsi mbali kabisa na mamlaka ya/za nchi.
Hapa kuna kitu nahisi hakiko sawa kati yako na hizi jumuiyaWanafiki wakubwa nyie na ndio mnaoogoza kwa uzinzi na uasherati.Mnajidai kuheshimu imani zenu wakati matendo yenu bora hata ya mpagani.
Nasisitiza hizi Jumuiya za kila Week-end kuzunguka kwa mtu mmoja mmoja na kuchangishana ni miradi tu ya kukusanya pesa huku watu wakilazimizhwa kushiriki hizi Jumuiya.
Wengi wanashiriki kwa kulazimika tu kutokana na mashariti mlioweka ambayo hata kwenye Biblia hayapo.
Fanyeni kazi na si kukutana huko kwa mara kwa mara kwa ajili ya Jumuiya hizo kuliko pitiliza.
Jumuiya hazitawafikisha mbinguni.
Toomuch of everything is harmful!
KMtu atahudhuria kanisani pengine karibu kila Jumapili ila asiposhiriki hizi Jumuiya basi anaonekana mbaya mnatamani hata mumtenge wakati nyie wenyewe matendo yenu yanatosha kabisa kuwatenga na mungu japo yeye hafanyi hivyo.Hizi bangi unazovutia chooni zinakupeleka kubaya.. Hakuna mtu analazimishwa kwenda jumuia kiazi ww..
Mpaka wameanza kuingilia uhuru wa kuabudu.Madhara ya ZUNGUSHA MIKONO na KUIMBISHWA MABADILIKO FEKI yameanza kuonekana ....kama ilivyo kwa chama chako ...Magufuli kawafunga midomo na sasa hamna ajenda ya kuongelea!
Labda ulimcheleweshea vidonge vyake.Kamanda hapo umegusa pengine.nakuacha upigane peke yako.kama vipi kausha tu
Binafsi sion logic ya kuzunguka nyumba hadi nyumba kwa zamu kwa lengo eti la kufanya ibada.Kwani wakikutana mara moja au mbili kwa mwezi nini kinaharibika?uko sahihi kabisa, Vipi kama huu utaratibu wa jumuia ukahamishiwa kwenye shughuli za maendeleo ya kijamii na kuinuana kiuchumi??
Ukweli ni kwamba kuna zaidi ya ujinga mwingi unaoendelea kwenye taifa hili zaidi ya hiyo Pool table, idadi ya wacheza pool ni ndogo kuliko wale wakutanao kwenye jumuia...
Huudhuriagi utajuaje?Utetezi wenu wengi ni zero.Sijaona sababu ya msingi ya watu kukutana nyumbani kwa mtu mmoja mmoja tena kila week-end kujadili mambo yale yale kwa kisingizio cha kufanya ibada.Ni wangapi kati yenu mnaotetea utaratibu huu mmetumia mikusanyiko hii kuchukua namba za simu za mabinti kwa lengo la kukiuka amri ya saba?
Ni lini tumewahi kutumia Jumuiya zetu hizi kukusanya michango ya kwenda kusaidi yatima au kuhudumia wagonjwa mahospitalini?
CC: moghasaBinafsi sion logic ya kuzunguka nyumba hadi nyumba kwa zamu kwa lengo eti la kufanya ibada.Kwani wakikutana mara moja au mbili kwa mwezi nini kinaharibika?
Watu wa aina hii hata vibustani vya mboga za majani majumbani kwao hawana lakini kila week-end jumuiya!
Hawa watu wakiambiwa washiriki ulinzi wa sungusungu kwenye mitaa yao hawaonekani.
Hawa watu wakitakiwa kushiriki mikutano ya ya kijiji/mtaa watakwambia wako busy!
Cha ajabu,pamoja na kusali pamoja kwenye hizo Jumuiya,wao kwa wao ndio wanapigana majungu,wengine hata vitu hawaazimani kwenye majumba yoa,majirani wengine humo humo kwenye hizo jumuiya hawapendani,wengine wakitoka wakimaliza jumuiya wananza ku-discuss waliyoyaona nyumbani kwako, n.k.Eti hawa ndio wacha mungu!!
Kumjengea mtu imani mpaka mzunguke kwenye majumba ya watu?Mjikusanye basi na muende mkahubiri injili kwenye masoko n.k kama kweli mko serious.Huudhuriagi utajuaje?
Kwenye jumuiya yanafanyika makubwa zaidi ya kuwasaidia yatima na hao wasiojiweza.
Kuwajenga watu kiimani ni jambo kubwa kuliko kumpa hela.
Uwe unawaza mara mbili au zaidi usiwe unakurupuka.
Tatizo lako ni bangi unayovuta.Nimekuambia yanafanyika mengi ya msingi.Kumjengea mtu imani mpaka mzunguke kwenye majumba ya watu?Mjikusanye basi na muende mkahubiri injili kwenye masoko n.k kama kweli mko serious.