Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Huwezi kuzungusha mikono miezi mitatu halafu ukawa na akili
MkuuMikutano ya mitaa/vijiji hamshiriki ila Jumuiya ndio muhimu zaidi huku kila siku tukilia umasikini.Tutafika?Kwanini hizi Jumuiya zisifanywe kimtaa wala mara moja kwa wiki kuliko kuzunguka nyumba hadi nyumba kila week-end?Tujali muda.
Linapokuja swala la imani watu huwa mbogo lakini kiukweli nyinyi binadamu ni wanafiki wakubwa.Hakuna atakaenda mbinguni kwa kutetea imani yake bali kwa kwa kuheshimu maelekezo ya mwenyezi mungu.Mkuu
Huo ni utaratibu wa Kanisa.
Kumbuka kuwa Kanisani hauwezi kupata huduma yeyote pasi kupitia kwenye Jumuiya.
Mfano ubatizo,Ndoa etc.
Mkuu hili ni Suala la kiimani na watu wanaenda kusali (Kumuomba Mungu wao) na sio kucheza Kamali ama Pool table.
Kufananisha Kusali Jumuiya na kucheza Pool table ni Dhambi kubwa sana unefanya Mkuu na unahitaji toba kama ni m Kristu.
Pia kumbuka kuwa kuna watawa ambao muda wao karibu wote wanautumia kusali kufunga na kuomba,hawa utasema wanapoteza Muda ?
Salary Slip leo umeongea kipuuzi sana kama yale ma Nyumbu ya Lumumba
Linapokuja swala la imani watu huwa mbogo lakini kiukweli nyinyi binadamu ni wanafiki wakubwa.
Hazina maana ni upotezaji wa muda tuNiambienii kuna nini cha maana tunacho-achieve kama jamiii ambacho bila kukaa katija hizo Jumuiya kingeshindikana?
Nijibuni sio kutoka povu.
We jamaa wewe! Tumsifu Yesu Kristo......itikia "Milele, Amina"...kisha tafakari....Huu utaratibu wa kusali kila week-end nyumbani kwa mtu mmoja umepitwa na wakati na ni bora kuwa na utaratibu wa kutenga eneo moja katika mtaa kwa ajili hiyo na iwe mara moja,mbili au tatu kwa mwezi na inatosha kabisa.Tuache kuishi kwa mazoea na kupoteza muda wa kufanya kazi.
IQ ndogo? Kws hiyo ww unajihisi huko timamu?Mada mzuri mkuu ila tatizo wanaoenda jumuiya ni wavivu na wana IQ ndogo na ndio hawa wanaokushambulia hizo jumuiya zipigwe tu marufuku
Halafu ni mwanachadema wewe. Mmeingiwa na kitu gani nyinyi? Unalinganishaje wanaoenda kuabudu asbh saa12 na wacheza pool? Hopeless kabisa weweMikutano ya mitaa/vijiji hamshiriki ila Jumuiya ndio muhimu zaidi huku kila siku tukilia umasikini.Tutafika?Kwanini hizi Jumuiya zisifanywe kimtaa wala mara moja kwa wiki kuliko kuzunguka nyumba hadi nyumba kila week-end?Tujali muda.