Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,320
Sunctify ur self , and pray for u r soul,sake, am holly and submitted to my GOD,
Mmh which God ?
Sunctify ur self , and pray for u r soul,sake, am holly and submitted to my GOD,
Kwa hiyo kuwachoma moto, kuwapiga , na kuwafunga , unataka niunge mkono ujinga, sipo tayari
Umeona changu tu , mnunuzi yuko wapi? Huo ndio uzaifu ninao upinga , mnampiga anti na kumwacha Basha
Pontless, huna sababu ya kupinga haki ya mtu, asiyekuhusu
Kwani ushoga ni u 'aunt' peke yake ?
Mmh which God ?
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?
Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?
Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?
Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!
Mh, we ni shoga? Mwenzio si kaweka kifungu cha biblia hapo? Ndani ya moyo wako unatamani sana huo ushenzi uhalalishwe hapa
Halafu unajiita String theorist, Sidhani hata kama umeielewa string theory labda umependezwa na jina Tu!
siku haya mambo yakíingia kwenye familia yako utajua maana ya huu ----- unaoutetea,watch out crful,usiongee tu kwa vile unataka ujaze mi-comment humu.Na suport ndio lakini sishiriki ,na wala sihamasishi , waliopo wakubaliwe , na kama unawapinga basi ,
Busara itumike sio kuwachoma moto , kuwafunga jela , kuwazomea, nakuwapiga .
Wewe ni mvuta bangi , (Nkwesa makambo) hoja za kibangiiii
siku haya mambo yakíingia kwenye familia yako utajua maana ya huu ----- unaoutetea,watch out crful,usiongee tu kwa vile unataka ujaze mi-comment humu.
My God,,,,,,
Kwa hiyo wewe ni shoga?Hivi ww umewahi kukaa na Shoga , na kujua kwa nini , maana usinione mimi kichaa
Na suport ndio lakini sishiriki ,na wala sihamasishi , waliopo wakubaliwe , na kama unawapinga basi ,
Busara itumike sio kuwachoma moto , kuwafunga jela , kuwazomea, nakuwapiga .
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?
Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?
Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?
Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!